Tetesi: Zoezi la vyeti: 256 kupigwa chini NSSF

Tetesi: Zoezi la vyeti: 256 kupigwa chini NSSF

Ni tetesi zenye ukweli,dau na mates a waliajiri wasioajirika ni wengi sana,dau alipoingia alisema kuna over employment akapunguza na kubaki 800 mwaka 2003,baada ya mkwere kuchukua nchi dau akaanza kuajiri na sasa wako 1400 na 95% ya hizo ajira 600 ni watu wa dini Mona,kuna mkoa mmoja Nssf INA staff 98% waislamu na 99% ni wapya na 25% no std seven!!!!!!!!!!
Sawa kabisa tunaomba majina yao hapa, msije baadae kumgeuka magufuli wenu ،kwa jinsi nnayowajua nyinyi kukiwa na wafanyakazi 10 kati ya waislam 4 na 6 ni nyinyi hapo lazima mtalia udini mlishazoea kwenye 10 nyinyi muwe 8 mpaka 9 sasa mkiona kina Dada wawili wamevaa shungi inakuwa kosa,
Nadhani hujaona kwenye matangazo yakupotelewa vyeti vya masomo ni kina nani walioanza kulialia sana,
 
Sawa kabisa tunaomba majina yao hapa, msije baadae kumgeuka magufuli wenu ،kwa jinsi nnayowajua nyinyi kukiwa na wafanyakazi 10 kati ya waislam 4 na 6 ni nyinyi hapo lazima mtalia udini mlishazoea kwenye 10 nyinyi muwe 8 mpaka 9 sasa mkiona kina Dada wawili wamevaa shungi inakuwa kosa,
Nadhani hujaona kwenye matangazo yakupotelewa vyeti vya masomo ni kina nani walioanza kulialia sana,

Mkuu niwekee email yako ntakutumia
 
USHABIKI wa nini? Siri za elimu za watu zitakuwa wazi.Si jambo la kushangilia wengine wanapopatwa na mabaya.
 
Ni tetesi zenye ukweli,dau na mates a waliajiri wasioajirika ni wengi sana,dau alipoingia alisema kuna over employment akapunguza na kubaki 800 mwaka 2003,baada ya mkwere kuchukua nchi dau akaanza kuajiri na sasa wako 1400 na 95% ya hizo ajira 600 ni watu wa dini Mona,kuna mkoa mmoja Nssf INA staff 98% waislamu na 99% ni wapya na 25% no std seven!!!!!!!!!!


JAcqueline, Mathias, Delphine, Afif, Grace, Zitta, Ritesh, Joyce, Josephine, Mugyabuso, Felista, Allace, Emilia, Ahmad, Jema, Confort, Nuru, Rehema, Irene, Magubiko Peter, Isack Charles na Joel...

Hao wamepotelewa na vyeti... PATAMU HAPO!!

Kila msifia kiwingu mvua imemnyeshea! ukifurahi jambo bakisha na maneno ya akiba! mwaka huu tutaona Mengi

Magufuli kaza buti tupo nyuma yako!

Celinewetu, hawa ni waliopotelewa vyeti juzi na jana, na bado list ni ndefu!

NSSF wanatakiwa wafanye hii kazi ya kuhakiki kwa weledi, na IKIWEZEKANA ITOKE TAASISI NYINGINE NJE YA SHIRIKA HILO, ambalo halilalii upande wowote ifanye uhakiki huo! ili kila upande uridhike!

msiwe mnahakiki branch moja moja na mikoa ambayo waislam ni wengi kama pwani! twendeni na mikoani!
 
USHABIKI wa nini? Siri za elimu za watu zitakuwa wazi.Si jambo la kushangilia wengine wanapopatwa na mabaya.
 
...mwishowe,itaoneshwa jinsi Rais mstaafu Nyerere alivyokuja kuwa kiungo cha kipekee kati ya chama/kanisa na kanisa katoliki. Uhusiano huo unaelezwa kwanza kama msingi wa kuelewa jinsi gani na kwa kiasi viongozi wa kanisa walivoingilia kati maendeleo ya siasa hapa Tanzania.
Kanisa katoliki na siasa ya Tanzania.
Babu...
Nataka nikuunge mkono kwa kukuwekea nukuu kutoka kwa Njozi (2002):

''The church was particularly worried by the unity and organisational capacity of Muslims under the East African Muslim Welfare Society (1992:35-37). Because the church said the EAMWS was dangerous in that it would weaken Christianity, it had to be so. Mwalimu Nyerere used his political powers to ban this legitimate organisation, to confiscate all its properties and to impose on the Muslims a puppet organisation, BAKWATA. As its name suggests, the EAMWS was a welfare organisation whose primary objective was to provide education and health services. The intellectual brilliance of Mwalimu Nyerere is well-known, and so is his sense of social justice. But Nyerere was also a sincere Roman Catholic. He could not pick and choose what to follow and what to reject in his faith.''
 
USHABIKI wa nini? Siri za elimu za watu zitakuwa wazi.Si jambo la kushangilia wengine wanapopatwa na mabaya.
 
USHABIKI wa nini? Siri za elimu za watu zitakuwa wazi.Si jambo la kushangilia wengine wanapopatwa na mabaya.
 
Huyo jamaa ni mdini kwelikweli ladla kashatoka Syria au Iraq kwa mafunzo wakati wa likizo!!! CIA(TISS) imfanyie kazi
Kiyawi,
Udini ni tatizo kubwa sana na Waislam wameathirika mno katika
dhulma hii kubwa.

Soma hii nukuu kutoka kwa Njozi (2002):

''It is therefore quite disturbing to learn that in private he championed the sectional interests of his own church. In 1970 Nyerere invited to the State House the then Secretary General of the Tanzania Episcopal Conference, Fr. Robert Rweyemamu and the Pope’s Representative to Tanzania Mgr. Giovano Cerrano. Among other things Nyerere told his guests that he was doing every thing in his power to strengthen Catholicism in the country. He also requested them to go and inform the Bishops that he had established a Department of Political Education in TANU (the ruling and only political party at that time), and that he had appointed a Christian Reverend to head that department, not because of his competence as a political analyst, but because of his strong faith as a Christian. His responsibility was to guide and control the political direction of the party. He also informed them that in the Party’s National Executive Committee (NEC) two members were Reverends. He said he believed that was the best way of ensuring that the party got good people (van Bergen, 1981:333-336). It is quite obvious that by “good people” Mwalimu Nyerere meant Christians in general and Roman Catholics in particular. It is not surprising therefore that Sivalon (1992:49) reports that in the same year 1970 Roman Catholics could boast that they constituted 70% of the 75% elected Christian members of Parliament. Out of the 108 elected Members of Parliament, 23 were Muslim, 5 Traditionalist and 80 Christian. Throughout his rule Nyerere was both President and Chairman of the ruling Party. His promise to strengthen Catholicism was not an empty one. Catholics could now use Parliament to promote their religious interests if they so wished.''
 
Ni tetesi zenye ukweli,dau na mates a waliajiri wasioajirika ni wengi sana,dau alipoingia alisema kuna over employment akapunguza na kubaki 800 mwaka 2003,baada ya mkwere kuchukua nchi dau akaanza kuajiri na sasa wako 1400 na 95% ya hizo ajira 600 ni watu wa dini Mona,kuna mkoa mmoja Nssf INA staff 98% waislamu na 99% ni wapya na 25% no std seven!!!!!!!!!!

Mbona Dk.Dau ni msomi hivi inaingia akilini kwamba anaweza kufanza mambo ya kipuuzi kama KILAZA! Au yanakuja yale yale ya kudai wakurugenzi na mameneja karibu wote wa NSSF ni waislaam baadae inakuja gundurika waislaam hawazidi wawili!!!

Mambo ya ajila wakulahumiwa na watu wa HR unless kama walikuwa wanapata shinikizo/maelekezo la aina fulani kutoka ngazi ya juu Serikalini au humo humo NSSF, kama ni.kweli waajiliwa 200 na kitu wamebainika wana vyeti vya kughushi basi Taifa letu limekwisha - maana uozo huu hauko confined NSSF tu itakuwa vile vile kwenye mashirika mengine ya hifadhi ya jamii, Bandarini, BOT, TRA, Ofisi ya Bunge, Tamisemi huko ndio kabisaa!!! nk.

Mambo ya nepotism ni mabaya sana, watoto wa walala hoi wenye vyeti vizuri na halali hakuna anaye wajali wapo mitaani wanasaga lami, wahusika wala hawashtukii kwa time bomb tunalo lijenga la vijana wasio na ajila kwamba siku mmoja litalipuka na hakuna ambaye atabaki salama - looks like haya yote haya-cross their mind kwa wale wanao husika kubuni miradi endelevu kwa vijana, wanacho jali ni kuajili watoto wao na ndugu zao wa karibu basi - hii ni Tishio jwa Taifa letu.
 
hahaaa huyu mama ndio afisa rasilimali pale NSSF ambaye alisimamishwa juzi kwa uchunguzi anaitwa Chiku, anatakiwa ahojiwe kisha afungwe ni kwa nini aliajiri vihiyo wengi hivyo??

42n.jpg
ungeishia hapo ahojiwe
 
Kiyawi,
Udini ni tatizo kubwa sana na Waislam wameathirika mno katika
dhulma hii kubwa.

Soma hii nukuu kutoka kwa Njozi (2002):

''It is therefore quite disturbing to learn that in private he championed the sectional interests of his own church. In 1970 Nyerere invited to the State House the then Secretary General of the Tanzania Episcopal Conference, Fr. Robert Rweyemamu and the Pope’s Representative to Tanzania Mgr. Giovano Cerrano. Among other things Nyerere told his guests that he was doing every thing in his power to strengthen Catholicism in the country. He also requested them to go and inform the Bishops that he had established a Department of Political Education in TANU (the ruling and only political party at that time), and that he had appointed a Christian Reverend to head that department, not because of his competence as a political analyst, but because of his strong faith as a Christian. His responsibility was to guide and control the political direction of the party. He also informed them that in the Party’s National Executive Committee (NEC) two members were Reverends. He said he believed that was the best way of ensuring that the party got good people (van Bergen, 1981:333-336). It is quite obvious that by “good people” Mwalimu Nyerere meant Christians in general and Roman Catholics in particular. It is not surprising therefore that Sivalon (1992:49) reports that in the same year 1970 Roman Catholics could boast that they constituted 70% of the 75% elected Christian members of Parliament. Out of the 108 elected Members of Parliament, 23 were Muslim, 5 Traditionalist and 80 Christian. Throughout his rule Nyerere was both President and Chairman of the ruling Party. His promise to strengthen Catholicism was not an empty one. Catholics could now use Parliament to promote their religious interests if they so wished.''

Mambo ya uchonganishi yanapo letwa na watu wasomi kama wewe hapo ndipo mnaniachaga njia panda!!!

Hivi Nyerere huyu tu ndiye wa kulahumiwa tu au hata baadhi ya wahumini wenu walichangia sana katika kuwasaliti, kuvunja jumuhia zenu we unafikiri kwa nini walikimbiria kuvunja jumuhiya
mkose umoja iwe rahisi kuwasambaratisha ndicho kilicho tokea - ring leaders waliotumika kufanikisha hilo walikuwa ni akina nani? - Waislaam wenzenu!!!

Narudia kusema ilikuwaje wengi wa mababa na mababu zenu waliwekwa kizuizini ilikuwaje wengine walisalimike kama kweli lenu lilikuwa moja i.e mnaelewana kwa kile ambacho mnakitaka katika Tanganyika uhuru, mnashindwa kuiga mfano wa Jenna aliye kuwa rafiki wa karibu wa Mahatma Ghandi wote walisoma Uingereza katika fani ya sheria lakini lilipo kuja suala ya India kupata uhuru kutoka kwa Waingereza alihakikisha anaweka haki za Waislaam mbele regardless ya urafiki wake na Ghandi, bila shaka Mzee Mshemu ndicho kilikuwa maanani kwake muda wote lakini kwa bahati mbaya baadhi yenu hamkuelewa mkatumiwa kwenye zomea zomea ili mmalize kisiasa na mlifanikiwa sana maana akufa kisiasa tu bali mlisababishia atangulie mbele ya haki kabla ya wakati wake kufika - nilipo soma stori yake nilisikitika sana na kukasirika.

Having said that ndiyo maana nawambieni - msiwe mnamulahumu Nyerere peke yake ambaye alikuwa hajui kusoma hata juzuu moja ya Quran, hapa tulisimuliwa zahama zilizo mkuta mzee wa watu Sheikh Mshume Keite(nimesahau jina lake) huyo ndiye alikuwa mpiganaji wa kweli wa haki za Waislaan na wala hakuwa na mpango wa kuigehuza Tanganyika kuwa a Islamic Republic waloikuwa wanayasema hayo walikuwa wanapotosha watu kimakusudi kwa lengo maalumu, Mzee Mshume aliona mbali kwamba mambo yanavyo kwenda si ajabu waislaam wahachwa nyuma na ni kweli - je mlifanya nini? mkaenda mkajikusanya kwenda nyumbani kwake Kariakoo mkamzomea, mkamkashifu eti anatetea udini - yaani mkatumia mob saikiloje ya TANU Youth league kumdhoofisha mzee wa watu kwa kumsingizia vitu ambavyo hakuwa na mpango navyo kasakamwa wee mpaka akafa kwa ugonjwa wa moyo - mkatumiwa kujimaliza wenyewe alafu mnakuja kulahumu watu baki!!!

Mzee Mshume mambo aliyo kuwa anawaonya Waislaam wenzake vile vile na chama cha TANU ndiyo yamekuja kuwapata baadae - hivi sasa mnafanya juhudi gani hata za kumkumbuka unabii wake? - hakuna!

Narudia kuwakumbusheni kwamba jitathimini wenyewe bila ya kutamfuta mchawi ni nani. Nayasema haya kwa nia njema tu kama kuna watu nimewakwaza samahani.
 
Wakuu salama!...

Kwanza nianze kwa kupongeza NSSF. Wamechukua maamuzi magumu na kuanzia Jumatatu watumishi wao zaidi ya 256 wanapigwa chini kwa kukosa sifa pindi walipojiunga na shirika hilo... Hawana vyeti halisi

Hatua hii ni tafsiri kwamba watoto wa masikini waliosota kusoma UDSM na vyuo vingine sasa wanaenda kupata kazi kihalali. Watoto hawa walisota kwa muda mrefu pasipo msaada wa Godfathers..
Wakuu salama!...

Kwanza nianze kwa kupongeza NSSF. Wamechukua maamuzi magumu na kuanzia Jumatatu watumishi wao zaidi ya 256 wanapigwa chini kwa kukosa sifa pindi walipojiunga na shirika hilo... Hawana vyeti halisi

Hatua hii ni tafsiri kwamba watoto wa masikini waliosota kusoma UDSM na vyuo vingine sasa wanaenda kupata kazi kihalali. Watoto hawa walisota kwa muda mrefu pasipo msaada wa Godfathers..
Uhakika kwamba watoto wa masikini ndio watakaoziba pengo hilo umeutoa wapi ?
 
Wakishasimamishwa hao 256 tuleteeni majina yao hapa, mlituaminisha NSSF imejaa maustadh juzi katika wale vigogo waliosimamishwa hata nusu kwa nusu imegoma wengi ni wenzenu mlikuwa mnapiga firimbi bila kujua, kisa mkuu wa shirika tu?

We nyau angalia waliofukuzwa:_
1.magori-mkristu
2. Ludovic mrosso-mkristu
3.mtunda-mkristu
4.ndazi -mkristu
5.kalanje-mkristu
6.kidula-muislm
7.john msemo-muislmu
8.abdallah mseli-muislam
9.amina make was kidula-muislam
10.shemliwa -muislam
11.matessa -muislam
12.komba-mkristu
 
Wewe ndio una matatizo sijataja dini ya aina yoyote pole sana kwa fikra zako mgando nimesema dini dini zipo nyingi siyo ukristo Na uislam tu
Angalia vizuri post yako km uliutaja uislam hapo.
Hivi nyie waislam mna tatzo gani jamani...
Kumbe huu udini bado mnao tuu.. Duuhhhhh
 
Back
Top Bottom