Tetesi: Zoezi la vyeti: 256 kupigwa chini NSSF

Tetesi: Zoezi la vyeti: 256 kupigwa chini NSSF

Yaani hapo mtu unasoma namba zinaisha unaanza kuzisoma tena.....mpaka zinaisha.....aliyetunga huu wimbo nae aliwaza sana.Hongera zake!!!
Ukishasoma zikaisha unarudia kusoma nini tena wakati zishaisha? au zinazaliwa upya?
 
Wakuu salama!...

Kwanza nianze kwa kupongeza NSSF. Wamechukua maamuzi magumu na kuanzia Jumatatu watumishi wao zaidi ya 256 wanapigwa chini kwa kukosa sifa pindi walipojiunga na shirika hilo... Hawana vyeti halisi

Hatua hii ni tafsiri kwamba watoto wa masikini waliosota kusoma UDSM na vyuo vingine sasa wanaenda kupata kazi kihalali. Watoto hawa walisota kwa muda mrefu pasipo msaada wa Godfathers..
Ndio.maana vijana wa oya oya wengi walikuwa wanamtaka mamvi,kazi ipo!
 
Ukishasoma zikaisha unarudia kusoma nini tena wakati zishaisha? au zinazaliwa upya?
Hapo ni mwendo wa kuzisoma tu hata kama zimeisha,we hujawahi kuwaona watoto wanaojifunza kusoma hasa namba? wanarudia rudia ili ziwakae kichwani!!
 
Wewe ndio una matatizo sijataja dini ya aina yoyote pole sana kwa fikra zako mgando nimesema dini dini zipo nyingi siyo ukristo Na uislam tu
Acha kujidanganya ndani ya nafsi yako unajuwa ulikuwa unamaanisha nini.unafiki si dili dogo
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Sikia kwa mwenzako tu!
 
safi sana...hili ifanyike kwenye taasisi zingine zote

Hata kwenye baraza la mawaziri na ikulu
labda wakague vya makatibu wakuu. uwaziri ni cheo cha kisisasa, hakunaga criteria ya vyeti. ili mradi ajue kusoma na kuandika. (kwa mujibu wa katiba)
 
labda wakague vya makatibu wakuu. uwaziri ni cheo cha kisisasa, hakunaga criteria ya vyeti. ili mradi ajue kusoma na kuandika. (kwa mujibu wa katiba)

ukitaka kujua wanasiasa nao wanagushi vyeti... ingia ktk tovuti ya bunge angalia c.v za wabunge.
 
Watoto wa wakubwa na mliokuwa na mahusiano na MAGODFATHER kazi kwenu, anzeni kuishi maisha ya KISHETANI ila angalizo msijinyonge! Kila chenye mwanzo kina mwisho wake, yaliyojificha gizani yamefichuliwa na mwanga. HILI NI FUNDISHO KUBWA SANA! BIG-UP JPM pamoja mimi ni mpinzani.
 
Nadhani wangerudisha na mishahara yote tuliowalipa plus allowance walizofaidika nazo kipindi chote cha ajira hewa!!!
 
Wakuu salama!...

Kwanza nianze kwa kupongeza NSSF. Wamechukua maamuzi magumu na kuanzia Jumatatu watumishi wao zaidi ya 256 wanapigwa chini kwa kukosa sifa pindi walipojiunga na shirika hilo... Hawana vyeti halisi

Hatua hii ni tafsiri kwamba watoto wa masikini waliosota kusoma UDSM na vyuo vingine sasa wanaenda kupata kazi kihalali. Watoto hawa walisota kwa muda mrefu pasipo msaada wa Godfathers..

Duh, ikienda kwa Ma-DC nako ni shida, namfahamu mmoja huwa anajifanya ana Masters wakati hana...
 
Back
Top Bottom