Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulipe kwani ulikuwa unafanya kazi bure?
Ni kweli ndugu. Wahenga wanasema "SHORTCUT IS ALWAYS A WRONGCUT"Kila "shortcut" ina gharama yake. Jambo kama si lako, si lako tu.
Nimecheka sana....alikuwa ni Komba ambaye sasa ni MarehemuYaani hapo mtu unasoma namba zinaisha unaanza kuzisoma tena.....mpaka zinaisha.....aliyetunga huu wimbo nae aliwaza sana.Hongera zake!!!
Upande Wa haki haunaga virazaKuna watu watakuja kusema ndugu zao wanaonewa kisa dini
Anatoka mkristo anaingia mkristo, amatoka muisilamu anaingia mkristo. Hatima yake ...Utakuwa na matatizo ya ubongo hii timuatimua itawaathiri sana wakristo maana ndo wamejaa kwenye taasisi za serikali kwa kisingizio kwamba wao ni wasomi sana.
..hahahaa nimecheka sana!Yaani hapo mtu unasoma namba zinaisha unaanza kuzisoma tena.....mpaka zinaisha.....aliyetunga huu wimbo nae aliwaza sana.Hongera zake!!!
Nafikiri anamaanisha NSSFUtakuwa na matatizo ya ubongo hii timuatimua itawaathiri sana wakristo maana ndo wamejaa kwenye taasisi za serikali kwa kisingizio kwamba wao ni wasomi sana.
WaDAU WA NSSF POLENI [emoji482]Wakuu salama!...
Kwanza nianze kwa kupongeza NSSF. Wamechukua maamuzi magumu na kuanzia Jumatatu watumishi wao zaidi ya 256 wanapigwa chini kwa kukosa sifa pindi walipojiunga na shirika hilo... Hawana vyeti halisi
Hatua hii ni tafsiri kwamba watoto wa masikini waliosota kusoma UDSM na vyuo vingine sasa wanaenda kupata kazi kihalali. Watoto hawa walisota kwa muda mrefu pasipo msaada wa Godfathers..
..nawe pia mmoja wapo?Kuwa mfanyakazi wa NSSF inahitajika sifa gani ya ziada maana kazi zao ni ukarani mtupu.Vyeti wakague kwa wanasayansi huko ndio kwenye madhara siyo kwa watu wa kuplus na kuminus.
Wakuu salama!...
Kwanza nianze kwa kupongeza NSSF. Wamechukua maamuzi magumu na kuanzia Jumatatu watumishi wao zaidi ya 256 wanapigwa chini kwa kukosa sifa pindi walipojiunga na shirika hilo... Hawana vyeti halisi
Hatua hii ni tafsiri kwamba watoto wa masikini waliosota kusoma UDSM na vyuo vingine sasa wanaenda kupata kazi kihalali. Watoto hawa walisota kwa muda mrefu pasipo msaada wa Godfathers..
Hapa sasa ndo pa wanaharakati kuitisha petition ya kuwangá watu kama hao. Sasa hizi kusiwena kuleana. Tanzania ni yetu sote lazima tuijenge kwa ajili ya vizazi vijavyo hata kama waliotutangulia hawakufanya hivyo. Tumegundua tulipokosea sasa turekebishe makosa.Nimelog kutaka kuandika the same thing nakutana na post yako.
Kwamba utashanga HR manager bado anabaki na kazi yake, hakutakuwa na investigation kujua other factors kama wengine walipachikwa nani wahusika wachukuliwe hatua ikibidi, utakuta hakuna review ya recruitment process ambayo ina hakikisha in the future recruitment and selection is fair on merit and so forth.
The whole thing is based on the simple assumption evidence based za criteria; lakini tatizo la msingi kuhusu system nzima ya HRM kama inafaa huko awagusi matokeo yake those responsible wataachwa na ukute kati yao ata kama wanavyeti halali bado incompetent in their roles na wale walioajiri kwa malipo watabaki.
Pole mkuu kama nimekugusa, lakini kazi za Nssf ni ukarani yeyote mwenye basic education aweza fanya.Vidume wako kwenye mateknolojia na magesi hao ndio tuwajadili tusihangaike na hesabu simple za asilimia kumi ya mshahara.Hesabu za wahazini kule church...nawe pia mmoja wapo?