Tetesi: Zoezi la vyeti: 256 kupigwa chini NSSF

Tetesi: Zoezi la vyeti: 256 kupigwa chini NSSF

Kuna watu watakuja kusema ndugu zao wanaonewa kisa dini
Kibo,
Huko kuonewa kwa ajili ya dini si tatizo geni Tanzania wala hakuna Muislam atakaeshangazwa na hili.

Hamza Njozi aliandika haya katika kitabu chake, ''Mwembechai Killings..:''

''This book is about one old skeleton in our national cabinet; the burden of religious discrimination which we have always carried in our hearts but which we have carefully managed to conceal to the rest of the world. President Reagan of the United States once boasted about the global reach of his country by saying: You can run but you cannot hide. But as far as our religious skeleton is concerned, we have managed to fool even the arrogantly boastful America. All the official reports published by the US Department of State from 1994 to 1999 have failed to detect religious discrimination in Tanzania. The focus of this book is on the discrimination which Muslims suffer in their country. This does not mean that no one has suffered in Tanzania except the Muslims. To be sure, in their numerous writings, Issa G. Shivji and Chris Peter Maina have unearthed several sickening skeletons as far as our general record in respecting human rights is concerned. But it is the suffering of Muslims in Tanzania which has rarely been acknowledged even in our own country. Who can imagine, for example, that President Mkapa’s speech quoted above was delivered nine months after his government had ordered policemen to shoot and kill Muslims at Mwembechai? This book is offered as a modest attempt to understand the intricate weave of social and political factors which threaten our national unity.''

http://www.islamtanzania.org/mwembechai/mchai-chap1.pdf
 
Kuwa mfanyakazi wa NSSF inahitajika sifa gani ya ziada maana kazi zao ni ukarani mtupu.Vyeti wakague kwa wanasayansi huko ndio kwenye madhara siyo kwa watu wa kuplus na kuminus.
Mwaka huu mtaisoma namba, watu wenye sifa za kufanya hiyo kazi wapo mtaani huku vihiyo mnaingia kufanya kazi badala ya kuja huku shambani tulime.
 
Jamani Jamani mimi bado siamini kama ni kweli wanafanya hili zoezi maana litaondoka na wengi.
 
Mwaka huu mtaisoma namba, watu wenye sifa za kufanya hiyo kazi wapo mtaani huku vihiyo mnaingia kufanya kazi badala ya kuja huku shambani tulime.
Wewe kama hukusoma SAYANSI utasubiri sana kazi za ukarani safari hii ni kwa walemavu wa viungo kama vipi kajiburuze na bodaboda.Vidume wako Mtwara kwenye gesi asilia.
 
hahaaa huyu mama ndio afisa rasilimali pale NSSF ambaye alisimamishwa juzi kwa uchunguzi anaitwa Chiku, anatakiwa ahojiwe kisha afungwe ni kwa nini aliajiri vihiyo wengi hivyo??

42n.jpg
Halfu ni cuf
 
Its OK ila isiishie nssf tu iende hata mashirika mengine mbona watakoma watu mtihan huu siyakucheka
Mashirika mengi yana watu wa dizain hiyo watu wamepachikana kisa mwanaye,mpenzi,mtoto wa mjomba,rafiki nk.
 
Heshima ya Ichi inaelekea kurudi mahala pake, hongera JPM kwa mambo mazuri unayoyafanya, pale unapokuwa na mapungufu ya kibinadam tutakukosoa mheshimiwa raisi
 
NSSF ilikusa ni sehemu ya kuegesha watoto wa wenye neema bila qualification kipindi kirefu.

Mimi nilikataa anira shirika lolote la serikali kwa sababu sikutaka kuchanganywa kwenye habari hizi.

Watu wakawa wanashangaa sana, mbona wewe hufanyi kazibsehemu fulani au fulani.

Nikawaambia sitaki kunichanganya kwenye watu wanaofanya kazi kwa kujuana.

Mwishowe nikaamua kukipa kitu kabisa niende wasikonijua mimi wala familia yangu.
 
hahaaa huyu mama ndio afisa rasilimali pale NSSF ambaye alisimamishwa juzi kwa uchunguzi anaitwa Chiku, anatakiwa ahojiwe kisha afungwe ni kwa nini aliajiri vihiyo wengi hivyo??

42n.jpg

Mchungaji.jpg


Chinchilla...
Vipi na huyu anaetoa fedha za shirika la umma kujenga kanisa.
Mimi nahifadhi jina lake na taasisi yake.

Huyu hastahili na yeye kuhojiwa vipi anatoa mamilioni ya shirika
lake kulipa kanisa lake?

Naiomba Majlis ilitazame na hili.
Huu ndiyo uadilifu.
 
Naona ccm mnajitekenya na kucheka wenyewe
 
Nakumbuka tuliwahi kuitwa kwenye usaili wa kuandika watu elfu 12,ebana nilikutana na nyomi ya hatariii pale ifm,ili ilikua safi nilionana na xkull mate wengi sana!
 
Mchungaji.jpg


Chinchilla...
Vipi na huyu anaetoa fedha za shirika la umma kujenga kanisa.
Mimi nahifadhi jina lake na taasisi yake.

Huyu hastahili na yeye kuhojiwa vipi anatoa mamilioni ya shirika
lake kulipa kanisa lake?

Naiomba Majlis ilitazame na hili.
Huu ndiyo uadilifu.
Sheria iwe msumeno kweli, kama alifanya hivyo kweli naye achukuliwe hatua
 
Kazi ipo pale kuna watoto wa wakubwa waliingia kwa vimemo!! Mkurugenzi w IT ni Mpwa wa Dr Balozi! Utaelewa hapo hapo! Udini ndio usiseme! Kuna chumba rasmi cha kuswalia!! Sijui bado kipo
Hizi chuki za kidini sijui zinawasaidia kitu gani. Mioyo yenu imejaa chuki tu. Mungu awasamehe tu na kuwapa moyo wakutokuwa na chuki kwa wengine.
 
Kazi ipo pale kuna watoto wa wakubwa waliingia kwa vimemo!! Mkurugenzi w IT ni Mpwa wa Dr Balozi! Utaelewa hapo hapo! Udini ndio usiseme! Kuna chumba rasmi cha kuswalia!! Sijui bado kipo
Hugo was IT Hana mwezi atapigwa chini,wallah nasema
 
Back
Top Bottom