Ukishasoma zikaisha unarudia kusoma nini tena wakati zishaisha? au zinazaliwa upya?Yaani hapo mtu unasoma namba zinaisha unaanza kuzisoma tena.....mpaka zinaisha.....aliyetunga huu wimbo nae aliwaza sana.Hongera zake!!!
Hicho kichwa shughuli pevu, unajua unachojibu? au upo kwenye mashindano ya kuongeza namba ya posts?Nani asiishie NSSF tu? kwani Mkurugenzi Mkuu wa NSSF ambaye ndiye anayeendesha hili zoezi ana Mamlaka ya kulifanya sehemu nyingine?
Ndio.maana vijana wa oya oya wengi walikuwa wanamtaka mamvi,kazi ipo!Wakuu salama!...
Kwanza nianze kwa kupongeza NSSF. Wamechukua maamuzi magumu na kuanzia Jumatatu watumishi wao zaidi ya 256 wanapigwa chini kwa kukosa sifa pindi walipojiunga na shirika hilo... Hawana vyeti halisi
Hatua hii ni tafsiri kwamba watoto wa masikini waliosota kusoma UDSM na vyuo vingine sasa wanaenda kupata kazi kihalali. Watoto hawa walisota kwa muda mrefu pasipo msaada wa Godfathers..
Na mimi sijui nitapitiwa duuh halafu nasikia unaburuzwa mahakamani urudishe pesa za magufuli ulizolipwa kipindi ukiwa mtumishi feki kama vyeti
Ulipe kwani ulikuwa unafanya kazi bure?
Na kweli,maana kuna taasisi waliwekana kisa wako nyumba moja ya ibadaKuna watu watakuja kusema ndugu zao wanaonewa kisa dini
Hapo ni mwendo wa kuzisoma tu hata kama zimeisha,we hujawahi kuwaona watoto wanaojifunza kusoma hasa namba? wanarudia rudia ili ziwakae kichwani!!Ukishasoma zikaisha unarudia kusoma nini tena wakati zishaisha? au zinazaliwa upya?
Acha kujidanganya ndani ya nafsi yako unajuwa ulikuwa unamaanisha nini.unafiki si dili dogoWewe ndio una matatizo sijataja dini ya aina yoyote pole sana kwa fikra zako mgando nimesema dini dini zipo nyingi siyo ukristo Na uislam tu
katika process ya inch kubadilika kuondoa ubabaishaji na kuleta uwajibikaji, uadilifu. haya lazima yatokee. watu lazima tuumie.Awamu hii...
Tutegemee kuongezeka idadi ya wategemezi, wagonjwa wa misongo ya mawazo na pengne vifo!
labda wakague vya makatibu wakuu. uwaziri ni cheo cha kisisasa, hakunaga criteria ya vyeti. ili mradi ajue kusoma na kuandika. (kwa mujibu wa katiba)safi sana...hili ifanyike kwenye taasisi zingine zote
Hata kwenye baraza la mawaziri na ikulu
RIP kombaYaani hapo mtu unasoma namba zinaisha unaanza kuzisoma tena.....mpaka zinaisha.....aliyetunga huu wimbo nae aliwaza sana.Hongera zake!!!
huu ni mwanzo tuu mheshimiwa! bado kabisa hata kwako watabisha hodi coming soonMbona idadi ndogo...
labda wakague vya makatibu wakuu. uwaziri ni cheo cha kisisasa, hakunaga criteria ya vyeti. ili mradi ajue kusoma na kuandika. (kwa mujibu wa katiba)
Wapige kila mahali mpaka huko BOT na mama'ake yamejazana huko kama waliwwkana kidini watajua wenyeweKuna watu watakuja kusema ndugu zao wanaonewa kisa dini
Hii issue Ina ukweli flan[emoji23]Huyo jamaa ni mdini kwelikweli ladla kashatoka Syria au Iraq kwa mafunzo wakati wa likizo!!! CIA(TISS) imfanyie kazi
Wakuu salama!...
Kwanza nianze kwa kupongeza NSSF. Wamechukua maamuzi magumu na kuanzia Jumatatu watumishi wao zaidi ya 256 wanapigwa chini kwa kukosa sifa pindi walipojiunga na shirika hilo... Hawana vyeti halisi
Hatua hii ni tafsiri kwamba watoto wa masikini waliosota kusoma UDSM na vyuo vingine sasa wanaenda kupata kazi kihalali. Watoto hawa walisota kwa muda mrefu pasipo msaada wa Godfathers..