Tetesi: Zoezi la vyeti: 256 kupigwa chini NSSF

Tetesi: Zoezi la vyeti: 256 kupigwa chini NSSF

Pagan Amum

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2015
Posts
1,932
Reaction score
4,403
Wakuu salama!...

Kwanza nianze kwa kupongeza NSSF. Wamechukua maamuzi magumu na kuanzia Jumatatu watumishi wao zaidi ya 256 wanapigwa chini kwa kukosa sifa pindi walipojiunga na shirika hilo... Hawana vyeti halisi

Hatua hii ni tafsiri kwamba watoto wa masikini waliosota kusoma UDSM na vyuo vingine sasa wanaenda kupata kazi kihalali. Watoto hawa walisota kwa muda mrefu pasipo msaada wa Godfathers..
 
HII NI HATUA NZURI, ILA ITAKUWA NZURI ZAIDI KAMA WALIOWEZESHA UOZO HUO NAO WAKAFUATIA MAANA KUTOFANYA KAZI KWA KUFUATA MAADILI YA KAZI NI SAWA NA KUWA NA VYETI FEKI. VINGINEVYO NI SAWA NA KUUA MCHWA HUKU MALIKIA ANAENDELEA KUTAMBA.

kAZI HII NJEMA NA NZURI IINGIE KWA NDANI ZAIDI YA HAPO.
 
HII NI HATUA NZURI, ILA ITAKUWA NZURI ZAIDI KAMA WALIOWEZESHA UOZO HUO NAO WAKAFUATIA MAANA KUTOFANYA KAZI KWA KUFUATA MAADILI YA KAZI NI SAWA NA KUWA NA VYETI FEKI. VINGINEVYO NI SAWA NA KUUA MCHWA HUKU MALIKIA ANAENDELEA KUTAMBA.

kAZI HII NJEMA NA NZURI IINGIE KWA NDANI ZAIDI YA HAPO.

Uko sahihi Mkuu.... Lazima watu wawajibishwe
 
Jamani kusoma kugumu eti...!! acha kabisa, sasa kama mtu unakimbia umande afu unataka shortcut, hili panga likikupata sijui unamlaumu nani?

Hongera sana JPM.

Kila lenye mwanzo halikosi mwisho wake...

Hakuna marefu yasiyo na ncha...

Aliye juu mngoje chini...
 
Utakuwa na matatizo ya ubongo hii timuatimua itawaathiri sana wakristo maana ndo wamejaa kwenye taasisi za serikali kwa kisingizio kwamba wao ni wasomi sana.
Wewe ndio una matatizo sijataja dini ya aina yoyote pole sana kwa fikra zako mgando nimesema dini dini zipo nyingi siyo ukristo Na uislam tu
 
HII NI HATUA NZURI, ILA ITAKUWA NZURI ZAIDI KAMA WALIOWEZESHA UOZO HUO NAO WAKAFUATIA MAANA KUTOFANYA KAZI KWA KUFUATA MAADILI YA KAZI NI SAWA NA KUWA NA VYETI FEKI. VINGINEVYO NI SAWA NA KUUA MCHWA HUKU MALIKIA ANAENDELEA KUTAMBA.

kAZI HII NJEMA NA NZURI IINGIE KWA NDANI ZAIDI YA HAPO.
Kwamba waliosababisha matatizo haya yote wahahakikishiwa 'kulindwa' alafu sisi huku kwenye keyboards zetu tunajidanganya matatizo yataisha!
 
hahaaa huyu mama ndio afisa rasilimali pale NSSF ambaye alisimamishwa juzi kwa uchunguzi anaitwa Chiku, anatakiwa ahojiwe kisha afungwe ni kwa nini aliajiri vihiyo wengi hivyo??

42n.jpg
 
Its OK ila isiishie nssf tu iende hata mashirika mengine mbona watakoma watu mtihan huu siyakucheka


Nani asiishie NSSF tu? kwani Mkurugenzi Mkuu wa NSSF ambaye ndiye anayeendesha hili zoezi ana Mamlaka ya kulifanya sehemu nyingine?
 
Kwamba waliosababisha matatizo haya yote wahahakikishiwa 'kulindwa' alafu sisi huku kwenye keyboards zetu tunajidanganya matatizo yataisha!
Nimelog kutaka kuandika the same thing nakutana na post yako.

Kwamba utashanga HR manager bado anabaki na kazi yake, hakutakuwa na investigation kujua other factors kama wengine walipachikwa nani wahusika wachukuliwe hatua ikibidi, utakuta hakuna review ya recruitment process ambayo ina hakikisha in the future recruitment and selection is fair on merit and so forth.

The whole thing is based on the simple assumption evidence based za criteria; lakini tatizo la msingi kuhusu system nzima ya HRM kama inafaa huko awagusi matokeo yake those responsible wataachwa na ukute kati yao ata kama wanavyeti halali bado incompetent in their roles na wale walioajiri kwa malipo watabaki.
 
Back
Top Bottom