Zombe aachiwa huru, Mshirika wake ahukumiwa kunyongwa hadi kufa

km mm ndio Bageni baada ya hapo ni kutoka nduki tuu...bora nipigwe risasi.....ila Zombe kachomoka vp humo??...hawa lengo lao si lilikua moja??
 
nilikuwa kadato cha tano tukio hilo lililopotendeka kesi iliendeshwa mahakamani kwa mda mrefu baadae nikasikia jamaa yupo huru. familia ya hao wafanyabiashara niliwaona kwenye runinga wakilia sana kwa hukumu ya kuwekwa huru. baadae siku ya pili rais jk alitangaza warudishwe rumande kwa uchunguzi zaidi. ilikuwa jambo zuri mh rais kuingilia vinginevyo haki isingetendeka. god bless our retaired president
 

Yes that is what he meant. He has raised that allegation
 
Mkuu hata kama ni majambazi kwanini umuue mtu ambae yuko chini ya ulinzi wako? manake tayari wale victims walishakuwa overpowered.
 
mkuu kwa hiyo kumbe sheria inamfunga muamrishaji na kumuacha mshika bunduki? kama ndivyo, basi hata Zombi angehukumiwa kunyongwa...hakustahili kuachiwa huru hata kidogo. hapa lazima kuna jambo limejificha. huenda mahakimu walifanya yao baada ya Zombi kueleweka.
 
ninavyojua na ninavyosikia kuwa endapo jambazi au mateka wowote wale wakitii sheria hawauawi bali wanachukuliwa kama mateka na siyo vingine hii yakuwaua imetoka wapi?
 
Nakumbuka tukio la mauaji lilipotokea, Zombe alitetea sana mauaji ya wale vijana akisisitiza kuwa ni majambazi akaonyesha kwenye TV hata eti silaha walizokuwa wanatumia!!
 
Wataanza na ESCROW halafu rader na Yale mengine !!
 
Mkuu hata kama ni majambazi kwanini umuue mtu ambae yuko chini ya ulinzi wako? manake tayari wale victims walishakuwa overpowered.
Ni kweli mkuu. Ndio maana huwa polisi hawarusiwi kuua jambazi labda wawe wanajihami baada ya jambazi kuonyosha kutishia maisha yao. Katika kila washukiwa wa ujambazi 100 wanaokamatwa kuna wengi tu wanakamatwa kimakosa.
 

Hukumu hii ni muhimu sana kuisoma. Please mwenye nayo atuwekee
 
Something wrong, murder case rufaa unasikilizia nje?

Basi ndio maana Zombe limepata nafasi ya kukesha kwa waganga.

Ukishinda unaachiwa huru. Rufani unakuwa nje kwa sababu ulishinda kesi.
 
Well said, ila muda ni msema ukweli siku zote, ukweli utadhirika tu muda ukifika, 10, 20 or 30 years bado haki ya mtu itapatikana one day
 
Hatimae Miaka 10 baada ya mauaji yale, Hukumu imetoka japo ina ukakasi kidogo.

Zombe ameachajwe, iannikumbusha movie moja ya Bollywood iitwayo, " Andha Kanoon " yaani Sheria ni kipofu.


Hahahahhaa mkuu kweli Hui Andhaa kanoon (mahakama kipofu/sheria haioni
 
Duniani kuna sheria hamna haki wengi wamefungwa kwa she ria sio haki
 
TUNATAKA AKIWA ANANYONGWA TV ZOTE ZIRUSHE LIVE HILO TUKIO ILI TUSHUHUDIE ANAVYO KUFA NA WATU WENGINE WENYE TABIA KAMA ZA BAGENI WAACHE MARA 2. HONGELA MAHAKAM KWA KUTENDA HAKHI.
 
Anaweza fia gerezani hata bila kunyongwa maana wakuu wengi hukwepa kusain hati ya kifo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…