Zombe aachiwa huru, Mshirika wake ahukumiwa kunyongwa hadi kufa

Zombe aachiwa huru, Mshirika wake ahukumiwa kunyongwa hadi kufa

Zombe ni mtaalamu wa kupuliza haiwezekani kapona wakati yeye ndo alikuwa main character
 
Hapa police akili Ku mkichwa kama alivokuwa nakupenda kusema.jk.Matukio mengi hawa jamaa huwa wanakurupuka badala ya kushirikisha ubongo sasa Bageni amevuna alichokipanda nasikitika tu kwanini Zombi kasalimika ukute alienda sumbawanga kuwanga
 
Hili ni fundisho kwa wale wasio na uwezo wa kuchambua amri wanazopewa na mabwana zao. Huyo aliyetekeleza maagizo ya mkubwa wao anaenda kuwekwa kitanzi wakati aliyemuagiza kutekeleza mauwaji akiachiwa huru. HAHAHAHAHAHA
Kuna siku moja kesi ya Mwangosi itafanyiwa appeal halafu kwenye hio appeal hukumu ya yule dogo itakua kama ya huyu huyu..... BAK tpaul
 
Kuna siku moja kesi ya Mwangosi itafanyiwa appeal halafu kwenye hio appeal hukumu ya yule dogo itakua kama ya huyu huyu..... BAK tpaul
Nadhani sasa polisi wetu waone ubaya wa kutumika kama mbwa. Zombi ndiye aliyewaagiza waue, lakini kwa kuwa Zombi hakushika bunduki, yeye ameachiwa huru huku mbwa wake akihukumiwa kunyongwa. Nafahamu kwamba kuna askari ambao wamefutwa kazi na wengine wana kesi mahakamani kwa kuua watu wakati wa operesheni tokomeza huku wale waliowaagiza kuua wakiwa hawana kesi yoyote ya kujibu. Hili liwe fundisho kwa polisi kutumiwa vibaya na wanasiasa au watu wengine kwa maslahi yao binafsi. Aidha tazama jinsi ambavyo muuaji wa Mwangosi amehukumiwa kwenda jela (ijapokuwa kifungo laini) huku akina kamanda Kamuhanda na wengine waliomtuma wakipandishwa vyeo. Sasa polisi wetu wajifunze somo hapa na wakatae kutumika kama kondomu au toilet paper.
 
Ushahidi wa kuwatia hatiani umekosekana..!
Inaonekana Li-Zombe lilikuwa likicheza hizi deal kimakini sana.
Katika kesi za MAUAJI anayetiwa hatiani ni yule aliyeshika bunduki sio aliyetoa amri ya kuua. Ndio maana liZOMBI limekwepa kitanzi. Polisi wetu wanaotumiwa kama vyangudoa wana jambo la kujifunza hapa.
 
This is a serious allegation, kama huna uhakika ifute. Ni insult kubwa kwa judiciary. Meaning kwamba haki haikutendtka na aliyehukumiwa kunyongwa ni
Nakubaliana na contention yako. Lkn for Zombe case you can not say for sure kuwa haki haikutendeka kuwa alipewa options mbili na mahakama ikaangukia kwenye options hizo.
So there was a deal that if he drops the civil case against the state he will walk free from the criminal charges.is that what you mean?
 
Ushahidi wa kuwatia hatiani umekosekana..!
Inaonekana Li-Zombe lilikuwa likicheza hizi deal kimakini sana.
Umesema kweli kabisa
kiuhalisia zombe ndo muhusika mkuu kwenye hili jambo na ndiye big killer of all the time by then..sema lilikuwa very smart kwenye hii game
Ilibidi nae apewe adhabu kama hii ya huyu aliekuwa anatoa amri ya kuwaua wafanyabiashara ..
Ki ukweli hawa jamaa ndo michezo yao ya kugawana fedha na majambazi au kuwaua raia walopata mali kihalali na kuwapora kama hivi
 
Nashangaa yupo huru zoote?!!! haaa nadhani hata christopher hanyongwi wala nn nimekulia magumashini najua mambo yanavyoenda upande huo[emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji102] m 7[emoji37] [emoji37] [emoji37] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40]

Funguka mkuu tutakuchangia Iyo M7 usijali
 
Angehukumiwa Kunyongwa Zombe ningefurahi zaidi kwani huyu naye alishiriki kikamilifu. Lilikuwa ni genge Lao.
 
Sikujuwa kama Jamhuri ilikatia rufaa kesi, ila naomba kujuzwa je washtakiwa walikuwa jela muda wote wakisubiri hii hukumu ya rufaa?
Hapana Walikuwa Uraiani wakijibu Rufani Yao.
 
..sasa serikali inatakiwa kulipa MABILIONI kwa familia za marehemu waliouawa na polisi.
Na watayalipa Haswaa maana Yule Muhalifu alitenda mauaji Yale kwa Kofia ya Cheo Chake. Manina na Walipe Tu
 
Back
Top Bottom