Zone of Confession! Njoo utubu dhambi zako, za kwenye Mahusiano

Zone of Confession! Njoo utubu dhambi zako, za kwenye Mahusiano

Tembosa

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2013
Posts
4,487
Reaction score
3,978
Wanajamii wenzangu!
Ni kweli, Mwanadamu awe Mwanaume au Mwanamke mpaka anakuwa mtu mzima anapitia mambo mengi sana kwenye mahusiano.
Pamoja na kuumizwa kuna wale ambao pia umewaumiza.

Tuhamasishane kuombana msamaha na kusamehe.

Njoo utubu hiyo dhambi uliyoifanya ukiwa kwenye mahusiano, wengine wametoa hadi uhai wa viumbe visivyokuwa na hatia! Confess.

Kudanganya hapo, ndio karibia wengi tumepita hapo. Confess!

Kuwaacha wale waliotujali sana bila sababu za msingi na kuoa wengine, Confess!!

Binafsi nakiri kuwa nimefanya dhambi nyingi sana kwenye mahusiano.
1. Ninaomba msamaha kwa Glory alijua ningemwoa kumbe sikufanya hivyo.

2. Nimemsamehe Vane kwa kuniacha na kwenda kwa mtu mwingine.

3. Mimi na Jo tumeshiriki kutoa mimba alizopata tukiwa chuo mimba zaidi ya 3!! ( sijui ilikuwa inakuwaje) anapata mimba mara kwa mara. Mungu atusamehe.

4. Nilivyoanza kazi, Temeke nilikuwa na mahusiano na DUCE mmoja yeye pia tulitoa mimba 2. Mungu atusamehe.

5. Nisamehe sana Si. Sikuwa na nia mbaya kuachana na wewe kipindi kile, nilikuwa nimetengenezwa na mtu mwingine.

6. Es...sorry you loved me why u were too young. I know! I do u wrong but forgive me.

7. Ro...ulikuja kwangu ukiwa na mambo mengi sana, nisamehe kwa kutokuwa na mpango na wewe.
 
Anza wewe
Sawa, nikiri nimefanya dhambi nyingi sana kwenye mahusiano.
1. Ninaomba msamaha kwa Glory alijua ningemwoa kumbe sikufanya hivyo.
2. Nimemsamehe Vane kwa kuniacha na kwenda kwa mtu mwingine.

3. Mimi na Jo tumeshiriki kutoa mimba alizopata tukiwa chuo mimba zaidi ya 3!! ( sijui ilikuwa inakuwaje) anapata mimba mara kwa mara. Mungu atusamehe.

4. Nilivyoanza kazi, Temeke nilikuwa na mahusiano na DUCE mmoja yeye pia tulitoa mimba 2. Mungu atusamehe.

5.
 
Zabibu umesababisha sijalala nyumbani. Ntamwambia nini mke wangu? Nguo zangu zote umeziloweka majini, hadi boksa, simu umeenda kuzichaji CCM, nitafanyeje mie, na ni baba wa familia?
Alisikika akilia mshamba mmoja
Atubu kwa familia yake.
 
Wapiga nyeto wanakomenti wapi..?

Okay ngoja nami nitubu..
Khadija samahi nilikudanganya kuwa sijawahi kulala na mwanamke mwengine lkn list yangu ninayoikumbuka ni hi..
Zena
Tatu
Swaumu
Eva
Chau
Khadija 1
Khadija 2
Khadija 3
Chaupele
Edina
Gloria
Neema
Miss ugwadu(jina lake halisi nimelisahau)
Hanifa pamoja na mdogo wake zenifa!
Pili huyu ilitokea tu hata sikumbuki!
Cleopatra huyu ni mjerumani aliniomba tucheze mechi za ugenini nashukuru sikuliangusha taifa.. hivyo hapo ndo nikanogewa na mechi za nchi ya nje hivyo nikaanza kwenda huku..
Laura huyu mmarekani mama!
Xi chi huyu mchina baby!
Maria huyu mfaransa!
Evarlyn huyu sikumbuki alitokea nchi gani!! Nisamehe bure!
Zulfa huyu alitokea uarabuni huko sweetie!
Datar huyu hakutokea mbali ni hapo Somalia tu baby!

Naomba niishie hapo natubu natumai kupata msamaha wako naahidi ikibidi nitatulia baby.
 
Wapiga nyeto wanakomenti wapi..?

Okay ngoja nami nitubu..
Khadija samahi nilikudanganya kuwa sijawahi kulala na mwanamke mwengine lkn list yangu ninayoikumbuka ni hi..
Zena
Tatu
Swaumu
Eva
Chau
Khadija 1
Khadija 2
Khadija 3
Chaupele
Edina
Gloria
Neema
Miss ugwadu(jina lake halisi nimelisahau)
Hanifa pamoja na mdogo wake zenifa!
Pili huyu ilitokea tu hata sikumbuki!
Cleopatra huyu ni mjerumani aliniomba tucheze mechi za ugenini nashukuru sikuliangusha taifa.. hivyo hapo ndo nikanogewa na mechi za nchi ya nje hivyo nikaanza kwenda huku..
Laura huyu mmarekani mama!
Xi chi huyu mchina baby!
Maria huyu mfaransa!
Evarlyn huyu sikumbuki alitokea nchi gani!! Nisamehe bure!
Zulfa huyu alitokea uarabuni huko sweetie!
Datar huyu hakutokea mbali ni hapo Somalia tu baby!

Naomba niishie hapo natubu natumai kupata msamaha wako naahidi ikibidi nitatulia baby.
Daaah, umetisha mkuu.
Aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapiga nyeto wanakomenti wapi..?

Okay ngoja nami nitubu..
Khadija samahi nilikudanganya kuwa sijawahi kulala na mwanamke mwengine lkn list yangu ninayoikumbuka ni hi..
Zena
Tatu
Swaumu
Eva
Chau
Khadija 1
Khadija 2
Khadija 3
Chaupele
Edina
Gloria
Neema
Miss ugwadu(jina lake halisi nimelisahau)
Hanifa pamoja na mdogo wake zenifa!
Pili huyu ilitokea tu hata sikumbuki!
Cleopatra huyu ni mjerumani aliniomba tucheze mechi za ugenini nashukuru sikuliangusha taifa.. hivyo hapo ndo nikanogewa na mechi za nchi ya nje hivyo nikaanza kwenda huku..
Laura huyu mmarekani mama!
Xi chi huyu mchina baby!
Maria huyu mfaransa!
Evarlyn huyu sikumbuki alitokea nchi gani!! Nisamehe bure!
Zulfa huyu alitokea uarabuni huko sweetie!
Datar huyu hakutokea mbali ni hapo Somalia tu baby!

Naomba niishie hapo natubu natumai kupata msamaha wako naahidi ikibidi nitatulia baby.
Naona karibu wote hapo majina yamekaa kimiss buza.😀
 
Naomba msamaha dada Betty popote ulipo,tulikubaliana kwenda kuchakatana na kwa ahadi ya malipo,na nilikulipa kabisa,

Tukiwa ngomani baada ya mshindo wa kwanza ulionekana kuelemewa na mkunyege wangu,ulilalamika sana,huku Mimi mzuka ukiwa unazidi kupanda,nilikupa show ya kibabe ukaamua kunig'ata baada ya uzalendo kukushinda na kuamua kurudisha pesa yote,
Nisamehe na pia uliniachia kovu la meno naomba nitafute ulione ,

Na ile pesa bado nimekutunzia ikitokea tumeonana nitakupa maana nimetambua kuwa sikukutendea haki japo ulinikatisha utamu kwa kunig'ata na kunitia alama
 
Back
Top Bottom