Tembosa
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 4,487
- 3,978
Wanajamii wenzangu!
Ni kweli, Mwanadamu awe Mwanaume au Mwanamke mpaka anakuwa mtu mzima anapitia mambo mengi sana kwenye mahusiano.
Pamoja na kuumizwa kuna wale ambao pia umewaumiza.
Tuhamasishane kuombana msamaha na kusamehe.
Njoo utubu hiyo dhambi uliyoifanya ukiwa kwenye mahusiano, wengine wametoa hadi uhai wa viumbe visivyokuwa na hatia! Confess.
Kudanganya hapo, ndio karibia wengi tumepita hapo. Confess!
Kuwaacha wale waliotujali sana bila sababu za msingi na kuoa wengine, Confess!!
Binafsi nakiri kuwa nimefanya dhambi nyingi sana kwenye mahusiano.
1. Ninaomba msamaha kwa Glory alijua ningemwoa kumbe sikufanya hivyo.
2. Nimemsamehe Vane kwa kuniacha na kwenda kwa mtu mwingine.
3. Mimi na Jo tumeshiriki kutoa mimba alizopata tukiwa chuo mimba zaidi ya 3!! ( sijui ilikuwa inakuwaje) anapata mimba mara kwa mara. Mungu atusamehe.
4. Nilivyoanza kazi, Temeke nilikuwa na mahusiano na DUCE mmoja yeye pia tulitoa mimba 2. Mungu atusamehe.
5. Nisamehe sana Si. Sikuwa na nia mbaya kuachana na wewe kipindi kile, nilikuwa nimetengenezwa na mtu mwingine.
6. Es...sorry you loved me why u were too young. I know! I do u wrong but forgive me.
7. Ro...ulikuja kwangu ukiwa na mambo mengi sana, nisamehe kwa kutokuwa na mpango na wewe.
Ni kweli, Mwanadamu awe Mwanaume au Mwanamke mpaka anakuwa mtu mzima anapitia mambo mengi sana kwenye mahusiano.
Pamoja na kuumizwa kuna wale ambao pia umewaumiza.
Tuhamasishane kuombana msamaha na kusamehe.
Njoo utubu hiyo dhambi uliyoifanya ukiwa kwenye mahusiano, wengine wametoa hadi uhai wa viumbe visivyokuwa na hatia! Confess.
Kudanganya hapo, ndio karibia wengi tumepita hapo. Confess!
Kuwaacha wale waliotujali sana bila sababu za msingi na kuoa wengine, Confess!!
Binafsi nakiri kuwa nimefanya dhambi nyingi sana kwenye mahusiano.
1. Ninaomba msamaha kwa Glory alijua ningemwoa kumbe sikufanya hivyo.
2. Nimemsamehe Vane kwa kuniacha na kwenda kwa mtu mwingine.
3. Mimi na Jo tumeshiriki kutoa mimba alizopata tukiwa chuo mimba zaidi ya 3!! ( sijui ilikuwa inakuwaje) anapata mimba mara kwa mara. Mungu atusamehe.
4. Nilivyoanza kazi, Temeke nilikuwa na mahusiano na DUCE mmoja yeye pia tulitoa mimba 2. Mungu atusamehe.
5. Nisamehe sana Si. Sikuwa na nia mbaya kuachana na wewe kipindi kile, nilikuwa nimetengenezwa na mtu mwingine.
6. Es...sorry you loved me why u were too young. I know! I do u wrong but forgive me.
7. Ro...ulikuja kwangu ukiwa na mambo mengi sana, nisamehe kwa kutokuwa na mpango na wewe.