Zuchu ana nyota kali sana (Female version of Diamond)

ID mbili zote za nini
Hizo Ni ID mbili tofauti kabisa labda kilichokuchanganya hapo Ni Hilo jina la independent hata ukichuguza zaidi muandiko wangu na huyo jamaa Ni vitu viwili tofauti me ni wa hoja nzito a.k.a mzee wa fact huyo mwingine Ni mropokaji.
 
Hizo Ni ID mbili tofauti kabisa labda kilichokuchanganya hapo Ni Hilo jina la independent hata ukichuguza zaidi muandiko wangu na huyo jamaa Ni vitu viwili tofauti me ni wa hoja nzito a.k.a mzee wa fact huyo mwingine Ni mropokaji.
😄😄😄
 
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 ama kweli nyani haoni takole
Hizo Ni ID mbili tofauti kabisa labda kilichokuchanganya hapo Ni Hilo jina la independent hata ukichuguza zaidi muandiko wangu na huyo jamaa Ni vitu viwili tofauti me ni wa hoja nzito a.k.a mzee wa fact huyo mwingine Ni mropokaji.
 
vijana wa dar [emoji23][emoji23]
 
Hizo Ni ID mbili tofauti kabisa labda kilichokuchanganya hapo Ni Hilo jina la independent hata ukichuguza zaidi muandiko wangu na huyo jamaa Ni vitu viwili tofauti me ni wa hoja nzito a.k.a mzee wa fact huyo mwingine Ni mropokaji.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ni ID zako zoteeh, sema unajitofautisha kweny uropokaji na facts. Aaaaaaaa weeee
 
Huyo anaimba unashindwa kuelewa ni taarab au bongo fleva?
Huo ndio utofauti Sasa na ndiobatakachokuja kuwazidia wenzie,,
Nikupe mfano mdogo tu unamjua fireboy dml jamaa anastyle yake ambayo huwez kuelewa Kama Ni afrobeat au Ni nn yeye anaiita afro fusion jamaa Ni shida na ndio utofauti wake huo
 
Sa unachobisha Ni nn kwahy we kufuta ndio nawengine tumefuta angalia number of streams utajua Ni nn jamaa kasema amewazid wasanii wa kike wote na hata YouTube subscribers anaowengi Kama sio wa kwanza kwa wasichana Basi wa pili na ndiye msanii pekee wa kike afrika kupata YouTube award ndani ya muda mfupi tu kwa kufikisha sub..bers 100K
 
Just imagine angekuwa anpata airtime in all media platforms Tanzania si ingekuwa kihama yule mtoto ananyota Kali sana we subir watakili wenyewe mwanzon walianza kusema Ni muimba taarab alipotoa quarantine wa2 hawakuamin kaimba kwenye huu wa ccm ndio kabisaa kawaua
 
Doh! tuache unafiki jamani Zuchu niwakawaida sana sema sehemu alipo panambeba hata Harmonize alipokuwa wcb alionekana mkali zaidi ya kiba sasahivi amekuwa wakawaida
kuna kipi kiba anamzidi harmo? kuanzia pesa hadi namba kupitia platform zinambeba harmo mbele ya kiba, sema kiba kinachombeba ni ule u-team bt ukifuata uhalisia wa namba kiba ni msanii no4 kwa sasa.
 
Hana Nyota huyo!! Anatembelea beat ya mama yake na Kiki za Domo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…