Zuchu ana nyota kali sana (Female version of Diamond)

KUNA WATU HAWAUJUI MZIKI KABISA AISEE, YANI ZUCHU NDIO MSANII BORA WA KIKE TANZANIA?
AU SABABU YA TEAM WCB NINI? AU SABABU NI CCM? TUACHE U TEAM KWENYE KILA KITU BWANA ZUCHU HAMUWEZI HATA RUBY ACHILIA MBALI NANDY NA JD.
 
KUNA WATU HAWAUJUI MZIKI KABISA AISEE, YANI ZUCHU NDIO MSANII BORA WA KIKE TANZANIA?
AU SABABU YA TEAM WCB NINI? AU SABABU NI CCM? TUACHE U TEAM KWENYE KILA KITU BWANA ZUCHU HAMUWEZI HATA RUBY ACHILIA MBALI NANDY NA JD.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] unaongea lakini naona aibu Mimi, msanii mkubwa unajua anapimwa kwa nini, Kuna streams, kuuza ,MZIKI wako na kadhalika, so for now JAYDEE NDO mkali anafatia ZUCHU hao wengi e hatuwajui.
 
kuna kipi kiba anamzidi harmo? kuanzia pesa hadi namba kupitia platform zinambeba harmo mbele ya kiba, sema kiba kinachombeba ni ule u-team bt ukifuata uhalisia wa namba kiba ni msanii no4 kwa sasa.
Hapoa sawa na rank ni Kama hivi:
1.diamond platinumz.
2.rayvanny.
3.harmonize
4.alikiba
 
Fact zuchu wa Moto #1 female artist
 
Mtazamo wako sio reality
 
Mwenye ako na connection anione inbobo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…