Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Kazi Kweli Kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AllyZuchu njoo kwangu, mimi mtulivu na kuiba mali ya mtu sijafunzwa😁
Acting zote zile hamna jipya ,watu wanachotwa akili huyo angekuwa demu wa Diamond kashajazwa kitambo.Sijawahi amini kama walikua na mahusiano bali kuonjana kwa sekunde tu
SijaelewaWatu waliozaa kwisha usiingilie
Leo umekoment vizuriSijawahi amini kama walikua na mahusiano bali kuonjana kwa sekunde tu
Zuchu ameongeza kuwa; "Mapenzi ni heshima kwa bahati mbaya sana hiko kimekosekana kwetu. as for him bado tuna kazi za pamoja i wish him and his family the absolute best[emoji173]Zuchu adai heshima imekosekana kwenye mahusiano yake na Diamond Platinumz, atangaza kuachana nae rasmi. Hii inakuja wiki kadhaa baada ya Diamond pia kutangaza kuwa yupo single na baadae kurudisha uhusiano wao.
"Hello fan-milly i had to post this to clear my conscience. kuanzia leo hii mimi na Nasibu (diamond) hatuko pamoja. i know this has been our thing but as hard as it is kumuacha mtu unaempenda hii naomba mungu iwe ya mwisho na nianze maisha mapya".
Zuchu ameongeza kuwa; "Mapenzi ni heshima kwa bahati mbaya sana hiko kimekosekana kwetu. as for him bado tuna kazi za pamoja i wish him and his family the absolute best".
View attachment 2913611
Davis Mosha kamuacha Nancy (tapeli)kigezo kikuu niliweka heshima
Mwenye kupoteza n Zuchu hata ajikazaje....huruma huruma....Sa khs Kazi itakuaje?
Siku zoteZuchu adai heshima imekosekana kwenye mahusiano yake na Diamond Platinumz, atangaza kuachana nae rasmi. Hii inakuja wiki kadhaa baada ya Diamond pia kutangaza kuwa yupo single na baadae kurudisha uhusiano wao.
"Hello fan-milly i had to post this to clear my conscience. kuanzia leo hii mimi na Nasibu (diamond) hatuko pamoja. i know this has been our thing but as hard as it is kumuacha mtu unaempenda hii naomba mungu iwe ya mwisho na nianze maisha mapya".
Zuchu ameongeza kuwa; "Mapenzi ni heshima kwa bahati mbaya sana hiko kimekosekana kwetu. as for him bado tuna kazi za pamoja i wish him and his family the absolute best".
View attachment 2913611
Unahitaji Mpenzi?View attachment 2913617Imebidi nikahakiki hili kupitia ukurasa wake rasmi, (Zuchu)
Binafsi nampongeza sana, amekuwa mwanamke sasa na ameitambua thamani yake. Uking’ang’anizi kwa mwanaume asiyekupa heshima sio sifa, ni kujiumiza mwenyewe.
Kila la kheri Zuchu, upate furaha, uhuru na amani katika maisha yako mapya.
My take: Mnakumbuka juzi wakati nasema vigezo vyangu kwa mwanaume kigezo kikuu niliweka heshima? Nafikiri mnaona sasa kwamba pesa sio kila kitu. Joannah
Hapana.Unahitaji Mpenzi?