Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
True that...Zuchu anatafuta attention tu kwa mashabiki kwa ajili ya kuachia video ya wimbo wake mpya wa zawadi,,, hana ubavu wa kumuacha Simba kirahisi kama mnavyozani.
Kama kanabwia unga nguvu za kukaza katatoa wapi?Simba dangote hawakuni vizuri nini? Na wanaogopa kusema hilo waziwazi? Na kwamba wataulizwa mbona walikuwa wameng'ang'ania au wanaogopa kwamba wataonekana gold diggers? Ama anawaomba "Mitaro?"
Ohoo tatizo ni domo kuwa karibu na Zari majuzi Zuhura kaona aheshimiwiView attachment 2913617Imebidi nikahakiki hili kupitia ukurasa wake rasmi, (Zuchu)
Binafsi nampongeza sana, amekuwa mwanamke sasa na ameitambua thamani yake. Uking’ang’anizi kwa mwanaume asiyekupa heshima sio sifa, ni kujiumiza mwenyewe.
Kila la kheri Zuchu, upate furaha, uhuru na amani katika maisha yako mapya.
My take: Mnakumbuka juzi wakati nasema vigezo vyangu kwa mwanaume kigezo kikuu niliweka heshima? Nafikiri mnaona sasa kwamba pesa sio kila kitu. Joannah
😁😁Mkuu hebu tuwe serious kidogo.. hivi Zuhura asingekua maarufu.... au basi tuyaache tu.
Heshima inatengenezwa na wewe mwanamke,ukiruhusu upuuzi mwanzoni mwa mahusiano hayo ndio matokeo,,,,Mtu anaweza kuwa na heshima ila Kila siku Hana mia na mwisho wa siku utamvunjia tu heshima maana utamchoka,ni vyema mwanaume awe na economic freedom amini usiamini NifferView attachment 2913617Imebidi nikahakiki hili kupitia ukurasa wake rasmi, (Zuchu)
Binafsi nampongeza sana, amekuwa mwanamke sasa na ameitambua thamani yake. Uking’ang’anizi kwa mwanaume asiyekupa heshima sio sifa, ni kujiumiza mwenyewe.
Kila la kheri Zuchu, upate furaha, uhuru na amani katika maisha yako mapya.
My take: Mnakumbuka juzi wakati nasema vigezo vyangu kwa mwanaume kigezo kikuu niliweka heshima? Nafikiri mnaona sasa kwamba pesa sio kila kitu. Joannah
Tanzania wilaya ya chato.Hicho kiinglish ni cha nchi gani?
Nakaziaa hapa.Heshima inatengenezwa na wewe mwanamke,ukiruhusu upuuzi mwanzoni mwa mahusiano hayo ndio matokeo,,,,Mtu anaweza kuwa na heshima ila Kila siku Hana mia na mwisho wa siku utamvunjia tu heshima maana utamchoka,ni vyema mwanaume awe na economic freedom amini usiamini Niffer
Well said ItandaNgabu’s nugget of wisdom for the weekend…..
All relationships do come to an end, either by force or by choice!
Certified golddiggersHeshima inatengenezwa na wewe mwanamke,ukiruhusu upuuzi mwanzoni mwa mahusiano hayo ndio matokeo,,,,Mtu anaweza kuwa na heshima ila Kila siku Hana mia na mwisho wa siku utamvunjia tu heshima maana utamchoka,ni vyema mwanaume awe na economic freedom amini usiamini Niffer