Zuchu atangaza kuachana na Diamond Platinumz

Kumbe walikuwa kwenye mahusiano?
Nakumbuka juzi juzi hapa kuna watu walitukanwa kwa ajili ya drama za Hawa jamaa...
Natumaini hata siku zijazo kuna kujirudia tena kwa masimango kwa watakaoshabikia....
 
Zuchu ameongeza kuwa; "Mapenzi ni heshima kwa bahati mbaya sana hiko kimekosekana kwetu. as for him bado tuna kazi za pamoja i wish him and his family the absolute best[emoji173]
 
Siku zote
Nitamsapoti Zuchu
Nitamsapoti Mondi
Nitawasapoti Wasanii wa Tanzania.

Privacy lives zao hazitanidistract
 
Unahitaji Mpenzi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…