I am Groot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,929
- 10,747
Designer wa hivyo viatu alikuwa nani? Isije kuwa ni mtoto aliyekuwa akijifunza kuchora viatu ikawa imetoka hiyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
$75 si kama laki na 70 hivi. TRM wivu unatusumbua 😀 tizama kwanza hii skirt yakeMmh mkuu hapo juu kasema dola 75! Ila hata hivo naiona kubwa kwa kiatu gani hicho kama gari Hiace au Noah vibayaa! Sijui ni wivu huu😀
Wivu utatuua huu dear! Hivi hii skirt ndiyo kavaa na hizo Hiace zake za Mil 2? 😀😀😀$75 si kama laki na 70 hivi. TRM wivu unatusumbua 😀 tizama kwanza hii skirt yake
View attachment 1710368
Jamaa itakuwa hajui hesabu, kama boda boda bei yake ni laki na sabini plus Basi sawaMmh mkuu hapo juu kasema dola 75! Ila hata hivo naiona kubwa kwa kiatu gani hicho kama gari Hiace au Noah vibayaa! Sijui ni wivu huu[emoji3]
Mtu kavaa viatu vyake yupo na mishe zake wewe unapata maumivu eti drama [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na hapo bado hamjafanya negotiation
Hawa mastaa wakibongo wameendekeza drama na kufake maisha sana kuliko uhalisia wao ulivyo
Halafu eti mtoa post ni wa kiume