Zuchu avaa kiatu cha zaidi ya Tshs. Milioni 2

Zuchu avaa kiatu cha zaidi ya Tshs. Milioni 2

Msiwa-over-rate hawa vijana. Wanatafuta hela na bado hawajatoka kuwawekea mabei ya juu wakati uwezo huo hawajafikia ni kuwabebesha mizigo ya misumali. Waliugua wasanii wakubwa mpk tukachangishwa hapa nchini wakati tuliaminishwa wanapata hela nyingi sana. RIP Ruge, Sajuki, Mzee Majuto, Ngwea na wengine. Mlipofariki ndio tuliona picha halisi kwa hao niliowataja wengine hawakua hata na makazi wanayomiliki mbali na sifa nyingi hapa nchini
 
Msiwa-over-rate hawa vijana. Wanatafuta hela na bado hawajatoka kuwawekea mabei ya juu wakati uwezo huo hawajafikia ni kuwabebesha mizigo ya misumali. Waliugua wasanii wakubwa mpk tukachangishwa hapa nchini wakati tuliaminishwa wanapata hela nyingi sana. RIP Ruge, Sajuki, Mzee Majuto, Ngwea na wengine. Mlipofariki ndio tuliona picha halisi kwa hao niliowataja wengine hawakua hata na makazi wanayomiliki mbali na sifa nyingi hapa nchini
Povu lote ili sababu ya viatu tu ?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Yani watu wasivae viatu vikali kwa sababu wataumwa hahahahahahqh
 
Povu lote ili sababu ya viatu tu ?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Yani watu wasivae viatu vikali kwa sababu wataumwa hahahahahahqh
Wala sijatoa povu lolote nimeeleza tu jinsi tunavyowabebesha watu haswa vijana mizigo ya umaarufu na kuwahisi wanapata pesa nyingi kuliko uhalisia. Hili uwapa msongo wa mawazo na kama wakikosa mwongozo mwishowe ndio wanaingia kwenye matumizi ya madawa ya kulevya

Huwezi kuelewa kirahisi nachosema ila jua umaarufu mzigo mkubwa sana ambao usipojiandaa kuubeba unaweza ukakuangusha na kukupoteza kabisa.

Uhalisia ulivyo ni tofauti, ukute kabinti ka watu kamenunua hivyo viatu Karume hata laki haijafika huku mnakuja kusema milioni mbili
 
Wala sijatoa povu lolote nimeeleza tu jinsi tunavyowabebesha watu haswa vijana mizigo ya umaarufu na kuwahisi wanapata pesa nyingi kuliko uhalisia. Hili uwapa msongo wa mawazo na kama wakikosa mwongozo mwishowe ndio wanaingia kwenye matumizi ya madawa ya kulevya

Huwezi kuelewa kirahisi nachosema ila jua umaarufu mzigo mkubwa sana ambao usipojiandaa kuubeba unaweza ukakuangusha na kukupoteza kabisa.

Uhalisia ulivyo ni tofauti, ukute kabinti ka watu kamenunua hivyo viatu Karume hata laki haijafika huku mnakuja kusema milioni mbili
Sasa mkuu itakuwaje inabidi uvumilie tu hayo maumivu mtoto ndio anawaka na yeezy [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
IMG_4011.png

Yebo yebo kiufupi au kuvaa kanya ndio tatizo
 
Hayo maviatu makubwa sijawahi kuona kama Ni fashion yani naonaga ni ushambaaa sana kuvaa miraba kama hiyooo...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kuna ilee mingine kisigine kimeinukaa juu utadhani wameweka spring kwenye kisiginoo..

Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
 
Kwa hizi comments mie niko hoi [emoji3][emoji3][emoji3],
Acha niwe msomaji.
 
Back
Top Bottom