Ibilisi
JF-Expert Member
- Jul 12, 2017
- 3,465
- 5,578
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Punguza hasira mwamba, maisha umeyakosea mwenyewe usitafute pakufia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Punguza hasira mwamba, maisha umeyakosea mwenyewe usitafute pakufia
Sema macho yako yanamuona ni mbaya na sio ukweli.
Hana ubaya wowote ni macho yenu yana makengeza.kwamba ana macho yenye makengeza
hata mimi namuona mbaya anzia sura,shepu,kutembea, kuvaa,yaani kama katoka bush flan kumbe kazaliwa mjini tena na mtu maarufu anayejua kuvaa ila yeye sasa daaah
Ni mzuriInawezekana ikawa macho yako yana makengeza dada, huyo hataki hata tochi
Dola 75 ni milion mbili??
Msiba wa ruge ulifichua mambo mengi sana nyuma ya pazia....Msiwa-over-rate hawa vijana. Wanatafuta hela na bado hawajatoka kuwawekea mabei ya juu wakati uwezo huo hawajafikia ni kuwabebesha mizigo ya misumali. Waliugua wasanii wakubwa mpk tukachangishwa hapa nchini wakati tuliaminishwa wanapata hela nyingi sana. RIP Ruge, Sajuki, Mzee Majuto, Ngwea na wengine. Mlipofariki ndio tuliona picha halisi kwa hao niliowataja wengine hawakua hata na makazi wanayomiliki mbali na sifa nyingi hapa nchini
1 dol = 2,318TshsDola 75 ni milion mbili??
Vitakosaje? 🤣 🤣 🤣. We hujaona Iphone X famba zimejaa kariakooo na watu wanapigwa kama kawa?hivyo viatu haviwezi kuwa feki?
==========
Hvi kuna iPhone fake ?! May be uuziwe used alaf udanganywe ni mpya .....!! Anyway yote yanawezekanaVitakosaje? 🤣 🤣 🤣. We hujaona Iphone X famba zimejaa kariakooo na watu wanapigwa kama kawa?
Wamezoea kuongeza sifuri nyuma.Sioni milioni 2 hapo naona ushuzi tu
Karibu bro. Protector bure.Hvi kuna iPhone fake ?! May be uuziwe used alaf udanganywe ni mpya .....!! Anyway yote yanawezekana
20,000 itapendezaWamezoea kuongeza sifuri nyuma.
Kama umeona wamesema 2,000,000 jua ni laki 2😀
Hata angenunua bilioni 1 kimpango wake,miguu yake na kwa faida yake, sijui anatangaza ili iweje,huu ni ushambaHiyo yepo ndio ya million mbili?? Au ni million mbili ya Zimbabwe![]()
wabongo mna![]()
Halafu Kanye ni Psychiatric case.Ndio maana kanye west anazidi kujilimbikizia utajiri