Zuchu avaa kiatu cha zaidi ya Tshs. Milioni 2

Na hapo bado hamjafanya negotiation

Hawa mastaa wakibongo wameendekeza drama na kufake maisha sana kuliko uhalisia wao ulivyo
Mtu kavaa viatu vyake yupo na mishe zake wewe unapata maumivu eti drama [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Yani awa watu mpaka wakivaa viatu mnachukia [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yani yeboyebo ndio kanunua kwa hela hiyo wakati kariakoo 10k alaf li yeboyebo lenyewe limekaa kama kwenye ile movie ya Avenger ..kabila gani kwanza huyo ili niweke conlusion
 
Viatu vyenyewe sasa 🀣 🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…