sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
Chakula kizuri utakipata kwenye migahawa. Hotel gani hapa Dsm ina chakula kizuri kushinda waterfront au levant au fishmonger?Asile kwenye migawaha akale mahoteli makubwa,ye si public figure barna?! Au?
Lebel kubwa duniani kama Rock fella kwa Jay z huwa wanakuwaga na Psychologist (mwanasaikolojia)
Kitendo cha kupigwa machupa Mbeya na kushushwa stejini kimeanza kimemuathiri.
Wcb na Diamond hakikisheni mnakuwa na wataalamu wa magonjwa ya akili
Zuchu anahitaji therapy
Msanini mkubwa ambaye anajitambua hawezi kuandika ujinga Kama huo
Anatafuta attention tu hakuna kitu hapa.View attachment 3121823
Kwa kweli anacholalamika Zuchu namuelewa sana msanii ameenda sehemu kuinjoi maisha yake anataka privacy na kuinjoi dunia ya kawaida.
Wahudumu wanajaa na camera zao za simu kuomba picha.
Nakumbuka kuna hospital ilitakiwa ilipe hela nyingi kwa Marioo baada ya nesi kuvujisha picha za Marioo na Paula kwa Mange. Wabongo ni washamba sana hatueshimu privacy za watu.
Mtu kaingia club kuinjoi zake kimya kimya utaskia shout-out kwa Lavalava in da house. Wtf
Well said Zuchu.
Unakumbuka Zuchu alifungiwa mziki zanzibar kwao baada ya kuimba mambo ya Ki-pididi.Boss/mumewe alipokwenda kwa Diddy mbona hakulalamika?
Pamoja na mtoa uzi wote ni wamoja haoUnakumbuka Zuchu alifungiwa mziki zanzibar kwao baada ya kuimba mambo ya Ki-pididi.
Inaonekana mambo hayo walianza zamani.
HahahPamoja na mtoa uzi wote ni wamoja hao
This.Hiyo ni kazi ya publicists tu mkuu, mara ya kwanza Zuchu alitambulishwa kama innocent musician Ila kwa sasa kuna Image shift kumfanya female version ya Diamond.
Kwa hiyo hizo attitude za kidiva zipo well planned kumuonesha kama msanii mwenye Exceptional class and fame.
Hata Diamond kwa sasa ndio anachofanya kutengeneza ukubwa wa kuonekana kama yeye ndio industry. Kama vile Taylor Swift anachofanya kwa sasa
Hiyo ni kazi ya publicists tu mkuu, mara ya kwanza Zuchu alitambulishwa kama innocent musician Ila kwa sasa kuna Image shift kumfanya female version ya Diamond.
Kwa hiyo hizo attitude za kidiva zipo well planned kumuonesha kama msanii mwenye Exceptional class and fame.
Hata Diamond kwa sasa ndio anachofanya kutengeneza ukubwa wa kuonekana kama yeye ndio industry. Kama vile Taylor Swift anachofanya kwa sasa
Hii comment aisome DR HAYA LAND huyu humwambii kitu kuhusu dimond hata ukisema atakuona hakuna unachojua ila yeye ndio anajua zaidi kwa hio hata hii comment yako ataipuuza maana anaona km vile unamwambia jambo la uzushi tuHiyo ni kazi ya publicists tu mkuu, mara ya kwanza Zuchu alitambulishwa kama innocent musician Ila kwa sasa kuna Image shift kumfanya female version ya Diamond.
Kwa hiyo hizo attitude za kidiva zipo well planned kumuonesha kama msanii mwenye Exceptional class and fame.
Hata Diamond kwa sasa ndio anachofanya kutengeneza ukubwa wa kuonekana kama yeye ndio industry. Kama vile Taylor Swift anachofanya kwa sasa
Ngoja tuone atafika alipofika Linah kweli?Ana hoja ya msingi ila kashindwa kuiwasilisha kwa staha, kaiweka kwa majivuno na kiburi kwamba anatambua yeye ni nani haitaji kuambiwa hilo anakoenda.
Lakini mpenzi Zuchu, furahia nyakati hizi unazoziona ni usumbufu kwani huwa zinaisha.
Yuko wapi Linah? Anatamani aupate huo unaouona ni usumbufu hivi sasa lakini wakati haurudi.
Tulia weweee. Diddy leo mahakamani kadhoofika na kupungua.Chakula kizuri utakipata kwenye migahawa. Hotel gani hapa Dsm ina chakula kizuri kushinda waterfront au levant au fishmonger?
Ni uteam tu mkuuHii comment aisome DR HAYA LAND huyu humwambii kitu kuhusu dimond hata ukisema atakuona hakuna unachojua ila yeye ndio anajua zaidi kwa hio hata hii comment yako ataipuuza maana anaona km vile unamwambia jambo la uzushi tu