Zuchu awachana watu wa kwenye migahawa kisa kumnyima faragha

Zuchu awachana watu wa kwenye migahawa kisa kumnyima faragha

This.

Nakubali kabisa, tena kwa hivyo viingereza alivyoandika hapo sidhani kama ni yeye, ni PR team hiyo wanajaribu ku-appeal kwa posh ladies.
Ubaya Zuchu hana Appeal kwa slayers kama Nandy.. Maana Nandy anatengeneza clean image kama ya Beyonce, family woman ambaye hataki negative spotlight. Ila zuchu wanavyomtengeneza kama bad girl sidhani kama itamsaidia sana maana alipokuwa innocent alipendwa zaidi

Sasa hizi stunt za kupiga watu na mic kama cardi B zinaweza kumtengenezea negative image. Na team yake ni kama inapitia mkeka wa Rihanna, Cardi, Nicki na Lil Kim kumtengeneza. Kuanzia lifestyle hadi mavazi. Wangeumiza kichwa zaidi
 
Ana hoja ya msingi ila kashindwa kuiwasilisha kwa staha, kaiweka kwa majivuno na kiburi kwamba anatambua yeye ni nani haitaji kuambiwa hilo anakoenda.

Lakini mpenzi Zuchu, furahia nyakati hizi unazoziona ni usumbufu kwani huwa zinaisha.

Yuko wapi Linah? Anatamani aupate huo unaouona ni usumbufu hivi sasa lakini wakati haurudi.
Kama angekuwa hapendi spotlight asingekuwa anajisogeza kwa diamond ili itengenezwe stunt..
Yeah anaweza kuwa na point kiubinadamu lakini kiuhalisia kabisaa anafurahia hiyo attention.

Zingine ni attitude za kidiva tu
 
Hii pumbavu nyingine. Anajikuta celebrity halafu anakwenda kula chips vumbi na kutarajia VIP treatment.

Wanyakyusa wenzangu walifanya vyema kabisa kumpopoa. Walimdhihirishia nafasi yake hasa kwenye jamii kuwa ni takataka isiyo na thamani.

Anajikuta Rihanna wakati ni nguchiro moja tu inayotrend kwa nguvu ya kuwa kipusa wa demu wa diddy.
 
Ana hoja ya msingi ila kashindwa kuiwasilisha kwa staha, kaiweka kwa majivuno na kiburi kwamba anatambua yeye ni nani haitaji kuambiwa hilo anakoenda.

Lakini mpenzi Zuchu, furahia nyakati hizi unazoziona ni usumbufu kwani huwa zinaisha.

Yuko wapi Linah? Anatamani aupate huo unaouona ni usumbufu hivi sasa lakini wakati haurudi.
Exactly. Kaiwakilisha ki ngebe ngebe kama vile uwepo wake ni msaada mkubwa kwa jamii.
 
Hiyo ni kazi ya publicists tu mkuu, mara ya kwanza Zuchu alitambulishwa kama innocent musician Ila kwa sasa kuna Image shift kumfanya female version ya Diamond.

Kwa hiyo hizo attitude za kidiva zipo well planned kumuonesha kama msanii mwenye Exceptional class and fame.

Hata Diamond kwa sasa ndio anachofanya kutengeneza ukubwa wa kuonekana kama yeye ndio industry. Kama vile Taylor Swift anachofanya kwa sasa
But they need to march to her reality. She is far from being a diva. If anything she fits an image of a pauper.
 
Wakimsusa asije konda kwa stress.

Pia wahudumu na wafanyabiashara waache ushamba. Staa akinunua kitu kwao full picha utadhan kapewa kwa msaada au kapunguziwa bei pakubwa kumbe wala.

Anyway zuchu siku nyingine povu toa kwa kiswahili,hicho kithungu akina tiffa tu huwa unawakimbia au kubaki ukicheka cheka kama trekta lililoharibika breki
 
Ana hoja ya msingi ila kashindwa kuiwasilisha kwa staha, kaiweka kwa majivuno na kiburi kwamba anatambua yeye ni nani haitaji kuambiwa hilo anakoenda.

Lakini mpenzi Zuchu, furahia nyakati hizi unazoziona ni usumbufu kwani huwa zinaisha.

Yuko wapi Linah? Anatamani aupate huo unaouona ni usumbufu hivi sasa lakini wakati haurudi.
Siku atavunja simu ya mtu uyo demu,anaonyesha majivuno kabisa aisee😀😀
 
But they need to march to her reality. She is far from being a diva. If anything she fits an image of a pauper.
Wapo busy kumpa sex appeal na hiyo bad girl aura ambayo hana kwa sababu hayupo sexy na nyimbo zake kwa kiasi flani ni nyepesi. Ila naweza kuwaelewa kwa sababu first Lady wa WCB hawezi kuwa kapoa

Kosa hilo hilo naliona kwa Yammy, wapo busy kumfanya sexy symbol kiasi kwamba watu wameanza kumuona yeye kuliko kipaji chake

Japo hao wote wanajaribu kufanya kitu ambacho RAY C alikuwa, the sexy diva who is talented ila bahati mbaya warithi wote hawana hiyo sex appeal ya Ray c
 
Vitako vinalia mbwata.
Kabisa.hao mashabiki ndo wanasikiliza nyimbo zake na kudownload kwenye platform mbali mbali za mziki na yeye ndo anapata hela.au hajui kuwa mashabiki ndo wanamuweka mjini?hawaoni akina Messi wanafuatwa mpaka uwanjani.?
Wcb wamfundishe msanii wao kuheshimu mashabiki. Mashabiki wakiamua kukushusha ni sekunde tu.awaulize east coast team kipindi wana bifu na tmk wanaume. Jinsi walivyokuwa wanazomewa kwenye majukwaa.
 
View attachment 3121823

Kwa kweli anacholalamika Zuchu namuelewa sana msanii ameenda sehemu kuinjoi maisha yake anataka privacy na kuinjoi dunia ya kawaida.

Wahudumu wanajaa na camera zao za simu kuomba picha.

Nakumbuka kuna hospital ilitakiwa ilipe hela nyingi kwa Marioo baada ya nesi kuvujisha picha za Marioo na Paula kwa Mange. Wabongo ni washamba sana hatueshimu privacy za watu.

Mtu kaingia club kuinjoi zake kimya kimya utaskia shout-out kwa Lavalava in da house. Wtf

Well said Zuchu.
Kamkopi michael Jackson
 
Ndo maisha waliyochagua hayo, wewe mtu anakuona kwenye TV tu ukikata viuno ghafla anakuona live - lazima wenge lipande tu. Yeye ni celebrity wa kibongo ndo cons zenyewe hizo..atulie tu
 
Yaani Zuchu anapitia the same situation na mimi, yaani mtu unataka upige plate yako utambae, mama lishe anaanza hoo PAGAN siku hizi uonekani, mara imeshuka imepanda, sijui nini, watu wanasema uliisha ukawekwa Segerea, mara sijui ukiondoka uniage, dah. Wewe si una mume wako Buguruni huko?
 
Back
Top Bottom