Zuchu kuimba 'matusi', nimeghafirika sana...

Zuchu kuimba 'matusi', nimeghafirika sana...

Haka kadada niliposikia kwamba kamekataa deal la billions kutoka kampuni ya bia kwa sababu dini yake airuhusu,!nilishangaa sana huu unafiki,yaani uislam wake unaruhusu aimbe mashairi yenye matusi,ila kugusa bia haukubali!
Uislam umehalamisha kuimba muziki,
Basi kapumbavu ka karne. Ka qumer kamoja
 
Nilijifunza hii double standard ya uislam ama baadhi ya waislamu pale Ruge alipokufa.

Alikiba aliweka picha nyeusi kwenye page yake ya instagram kuonyesha maombolezo ya Ruge Mutahaba. Alipoulizwa kwa nini hakuweka picha ya Ruge akasema uislamu unakataza kumposti marehemu, nikasema okay, kumbe uislamu ulishaona hadi mambo ya sosho media long time ago. Haikuchukua muda akafariki Kibonge, jamaa huyo huyo akamposti, nikajiuliza kwani kibonge sio marehemu ama uislamu unakupa uhuru wa kuchagua cha kufanya na sio cha kufanya?

Sasa huyo binti anasema alikataa ofa ya kampuni ya bia ila anaimba mambo mabovu kuliko mambo ya bia, inashangaza kwa kweli.
Nakubaliana na wewe kabisa. Waislamu tuna huo upunguani sana.
 
Kama hauipendi wengine wanaipenda. Tuliopo dunia ya sasa ni ya machaguo.
Shida ya wafrika wengi wanashindwa kutofautisha nyimbo za club, 18+, nyimbo za watoto na nyimbo za kusikiliza watoto na wakubwa.
Mfano.
Nyimbo ya kibamia ya Rostam ft Maua Sama ilitakiwa ipigwe club tu na siyo kwenye vyombo vya Radio.
Mwagia ndani ni nyimbo ya club ila kwa ujinga wa mwafrika analazimisha apige kwenye vyombo vya radio au television.
Zuchu ni mtu mzima na siyo mtoto kwahiyo sikiliza kutoka kwake kile kinachokufaa kile ambacho unakiona hakikufai achana nayo.
Mbona nyimbo za dini hausikilizi za dini zote? Iweje kila nyimbo ya Zuchu unataka uisikilize?
Sawa mkuu,,

Mwache aendelee kupaka mate itelezee..
 
Tunataka nyimbo za kutuhamasisha kilimo,umoja,upendo
Huo upuuzi ulififisha muziki wa Tanzania some decades ago eti waimbe nyimbo za ukombozi na kukawa na bendi kibao za jeshi matokeo yake watu wakahamia kwenye nyimbo za the then Zaire ambazo hata haieleweki wanaimba madudu gani kwa sababu ya ugeni wa Kilingala.
Soko ndiyo huwa lina determine nyimbo gani zinalipa, muziki ni biashara.
 
I'm highly disappointed in her. She is too young to be this stupid.. It is too early..

Wakati mwingine najiuliza WCB wana mikataba na nguvu gani... Wanaimba matusi lakini bado wanasurvive.

Hovyo kabisa...

....kula kichwa hadi mkia... naipaka mate naifanyeje sijui...

Takataka kabisa
Usishangae wazenji kugawa tigo ni kawaida sana inamaana husikii kila leo mtoto wa fulani kaliwa tigo halafu ni midingi kabisa ndio inayopenda vyakunyea hivyo kwahiyo zuchu anaona kama chupi na tako tu
 
Back
Top Bottom