Zuchu kuimba 'matusi', nimeghafirika sana...

Zuchu kuimba 'matusi', nimeghafirika sana...

I'm highly disappointed in her. She is too young to be this stupid.. It is too early..

Wakati mwingine najiuliza WCB wana mikataba na nguvu gani... Wanaimba matusi lakini bado wanasurvive.

Hovyo kabisa...

....kula kichwa hadi mkia... naipaka mate naifanyeje sijui...

Takataka kabisa
Hako ka zuchu ni kahuni tangu hakajaanza mziki.

Sasa kamepoa kuogopa camera za mapaparazi..

Anammeza kweli mzima mzima habakishi hata mkia..

Wala sio mtoto kama unavyomfikiria.
 
I'm highly disappointed in her. She is too young to be this stupid.. It is too early..

Wakati mwingine najiuliza WCB wana mikataba na nguvu gani... Wanaimba matusi lakini bado wanasurvive.

Hovyo kabisa...

....kula kichwa hadi mkia... naipaka mate naifanyeje sijui...

Takataka kabisa
Wanaongozwa na pepo wachafu
 
kwani unaweza kukielezea kiwango cha dhambi zao ??..

ni sawa na chetu, kilichopita au hicho nilichokiongelea
Kiwango Cha dhambi kinajulikana na mwenye mzani wa kupima dhambi za wanadamu........
 
Simuungi mkono ila tukumbuke kuna nyimbo nyingi za unyamwezini zina lyrics kama hizo au mbaya zaidi tunazicheza miaka nenda rudi
 
Hako ka zuchu ni kahuni tangu hakajaanza mziki.

Sasa kamepoa kuogopa camera za mapaparazi..

Anammeza kweli mzima mzima habakishi hata mkia..

Wala sio mtoto kama unavyomfikiria.
Inawezekana kabisa,haiwezekan mtoto aliyekulia mwananyamala uswazi na kuelewa na mama mswaz awe na maadili,ni ngumu mno,afu kwa staili chafu anazozicheza anaonekana kakubuhu kwenye mazingira hayo toka mdogo.matokeo ya malezi mabovu kama ya Domo.
 
Inawezekana kabisa,haiwezekan mtoto aliyekulia mwananyamala uswazi na kuelewa na mama mswaz awe na maadili,ni ngumu mno,afu kwa staili chafu anazozicheza anaonekana kakubuhu kwenye mazingira hayo toka mdogo.matokeo ya malezi mabovu kama ya Domo.
Huyo kakubuhu tangu bado hajapata umaarufu.

.mwanamke hamna humo mkuu.
 
Pamoja na yote ila Zuchu anaonekana ni mtamu sana kwenye masuala ya kugegedana
 
I'm highly disappointed in her. She is too young to be this stupid.. It is too early..

Wakati mwingine najiuliza WCB wana mikataba na nguvu gani... Wanaimba matusi lakini bado wanasurvive.

Hovyo kabisa...

....kula kichwa hadi mkia... naipaka mate naifanyeje sijui...

Takataka kabisa
Wanadrop mdogo mdogo,
 
Wadau na zile semi porno videos za wanamuziki wa US, UK, South Africa na karibu Western world yote hamzishangai? Zile r&b za wakati ule mlikuwa mkisoma/sikiliza mashairi yake? Mbona ndo soko lenyewe linavyokwenda?

Bila hivyo hutoboi. NDio maana kuangalia mziki kwenye TV ukiwa na watoto wako no kazi Sana Sasa hivi. Kwa hiyo Zuchu ni mfanyabiashara anayekwenda na demand ya soko! Otherwise asingefanya hayo.

Ngoja nisikilize Sikinde ngoma ya Ukae mie Barua toka kwa Mama nipate mashairi yasochuja!
Sio lazima kuimba matusi ndio utoboe, ni maagizo tu wanatekeleza kutoka kuzimu
 
Haka kadada niliposikia kwamba kamekataa deal la billions kutoka kampuni ya bia kwa sababu dini yake airuhusu,!nilishangaa sana huu unafiki,yaani uislam wake unaruhusu aimbe mashairi yenye matusi,ila kugusa bia haukubali!
Uislam dini moja ya ajabu sana,
Uislam umehalamisha kuimba muziki,
Usiuingize uislamu kwenye huu mjadala,si zuchu si wewe,hakuna anayeujya uislamu

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
U

Upo sahihi ila kuutangazia ulimwengu kwamba hutafanya kitu fulani kwa sababu ya dini,harafu wakati huo huo unafanya kingine ambacho pia dini yako inakataza,hapo Kuna walakini acha yote ambayo unafanya hadharani ambayo dini yako inakataza,aache muziki,
Unafiki upo hapo shekh,mie mengine nafanya sirini.
Lini kautangazia ulimwengu?! As far as I know ni Sallam ndie alisema hizo habari alipokuwa akifanya intavyuu na Wasafi. Kama utakumbuka, katika kuonesha Wasanii wa WCB wanaingiza pesa ndefu, ndipo aliongea meeeeengi ikiwamo Rayvanny kulipwa mabilion huku akipotezea deals zingine. Na katika suala la kupotezea deals, ndipo akasema hata Zuchu nae huwa anapotezea deals za kutangaza vileo!! Labda kama nilipitwa lakini ninachofahamu hilo la Zuchu na vileo alilisema Sallam na sio Zuchu mwenyewe!
 
Ulimwengu tuliopo siyo wa ule wa mwaka 1960. Mjifunze kuishi kwa nyakati siyo chochote kile unataka kusikia na kuona kila kitu.
Kuna nyimbo za watu wote (wakubwa na watoto), kuna nyimbo za watoto na kuna nyimbo za wakubwa.
Hapo ndiyo wafrika tunapoonekana wajinga. Tunalazimisha kila nyimbo tuisikie tu.
Hata nyimbo za dini napo huwa tunabagua
I'm highly disappointed in her. She is too young to be this stupid.. It is too early..

Wakati mwingine najiuliza WCB wana mikataba na nguvu gani... Wanaimba matusi lakini bado wanasurvive.

Hovyo kabisa...

....kula kichwa hadi mkia... naipaka mate naifanyeje sijui...

Takataka kabisa
 
Shida ya wafrika mnataka kila msanii aimbe nyimbo km za dini.
Shida kubwa ya wafrika mnataka kusikiliza na kuona kila kitu.
Kuna nyimbo za watu 18+ na za rika lote. Sioni ubaya wowote ule wa Zuchu
Hako ka zuchu ni kahuni tangu hakajaanza mziki.

Sasa kamepoa kuogopa camera za mapaparazi..

Anammeza kweli mzima mzima habakishi hata mkia..

Wala sio mtoto kama unavyomfikiria.
 
Shida ya wafrika mnataka kila msanii aimbe nyimbo km za dini.
Shida kubwa ya wafrika mnataka kusikiliza na kuona kila kitu.
Kuna nyimbo za watu 18+ na za rika lote. Sioni ubaya wowote ule wa Zuchu
Sawa mkuu,,

Mwache aendelee kupaka mate itelezee..
 
Haka kadada niliposikia kwamba kamekataa deal la billions kutoka kampuni ya bia kwa sababu dini yake airuhusu,!nilishangaa sana huu unafiki,yaani uislam wake unaruhusu aimbe mashairi yenye matusi,ila kugusa bia haukubali!
Uislam umehalamisha kuimba muziki,
Nilijifunza hii double standard ya uislam ama baadhi ya waislamu pale Ruge alipokufa.

Alikiba aliweka picha nyeusi kwenye page yake ya instagram kuonyesha maombolezo ya Ruge Mutahaba. Alipoulizwa kwa nini hakuweka picha ya Ruge akasema uislamu unakataza kumposti marehemu, nikasema okay, kumbe uislamu ulishaona hadi mambo ya sosho media long time ago. Haikuchukua muda akafariki Kibonge, jamaa huyo huyo akamposti, nikajiuliza kwani kibonge sio marehemu ama uislamu unakupa uhuru wa kuchagua cha kufanya na sio cha kufanya?

Sasa huyo binti anasema alikataa ofa ya kampuni ya bia ila anaimba mambo mabovu kuliko mambo ya bia, inashangaza kwa kweli.
 
Back
Top Bottom