Zuchu kuimba 'matusi', nimeghafirika sana...

Zuchu kuimba 'matusi', nimeghafirika sana...

Haka kadada niliposikia kwamba kamekataa deal la billions kutoka kampuni ya bia kwa sababu dini yake airuhusu,!nilishangaa sana huu unafiki,yaani uislam wake unaruhusu aimbe mashairi yenye matusi,ila kugusa bia haukubali!
Uislam dini moja ya ajabu sana,
Uislam umehalamisha kuimba muziki,
Uislamu sio dini ya ajabu wa ajabu ni huyo mpuuzi.
 
Hana unafiki wowote,pengine wewe mkuu umetafsiri vibaya.

Sasa hapa alichokifanya yeye wewe umeufanya ndio uislamu jambo ambalo mtu mwenye mawazo mazuri hatakiwi kufanya.

Uislamu hauruhusu matusi wala hauruhusu pombe kuinadi ama kunywa.
Zuchu yupo sahihi na wala sio mnafiki

Kwenye Dini aau imani unaweza kuwa ni rahisi kwako kufanya dhambi moja lakini dhambi ingine ikawa ngumu kwako kufanya.

Mfano mtu anaweza kuwa analewa lakini ukimuambia kula nguruwe hataki kabisa,yani anajizuwia kula nguruwe lakini hawezi kujizuia kunywa pombe.

Sasa huwezi kumuambia kwamba kwa kuwa unalewa basi kula na nguruwe tu,huo utakuwa ni ufahamu wa wa chini.

Kuacha kwake tangazo la pombe ni jambo zuri kwa sababu kumempunguzia madhambi ambayo angepata kwa kuitangaza kwake.

Zichu kwa hili asibezwe(kama ni kweli) na kama kaacha kwa sababu hyo Mungu anampa thawabu licha ya kuwa ni muimbaji muovu.

Dini ya ajabu kwa hili hili la zuchu kukataa huku na kukubi kule au ni dini ya ajabu kwa mambo mengine tukiachia jambo hili mkuu ?
Mzee usipoeleweka na hii basi ni kusudi za watu tu!
 
I'm highly disappointed in her. She is too young to be this stupid.. It is too early..

Wakati mwingine najiuliza WCB wana mikataba na nguvu gani... Wanaimba matusi lakini bado wanasurvive.

Hovyo kabisa...

....kula kichwa hadi mkia... naipaka mate naifanyeje sijui...

Takataka kabisa
DHAMBI KANAFANYA KUIMBA MATUSI ILA KANAONA NI SAHIHI.. KAMPUNI ZA POMBE ZIKIMFUATA KWA MATANGAZO NDIO ANAONA NI USHETWANI ILA MATUSI EWALAAA
 
Haka kadada niliposikia kwamba kamekataa deal la billions kutoka kampuni ya bia kwa sababu dini yake airuhusu,!nilishangaa sana huu unafiki,yaani uislam wake unaruhusu aimbe mashairi yenye matusi,ila kugusa bia haukubali!
Uislam dini moja ya ajabu sana,
Uislam umehalamisha kuimba muziki,
Ni sawa na watu wanakula channel O([emoji2539]) lakini kiti moto wanakwambia ni haramu.
 
wanaoenda kula bata na kuspend hela sio walokole, ni walevi wapenda ngono na wapenda anasa, kwahio lazima uwaimbie kitu kitakachokonga nyoyo zao ili upate show umek money.

inasikitisha ila ndo biashara ilivyo.. huwezi kuuza mabwanga nyakati hizi za vimodo ukatarajia kufanikiwa na biashara yako ya nguo.

To a normal human being what you see as CHAOS AND CONFUSION, it is AN OPPORTUNITY TO A BUSINESSMAN.. thats why China made friendship with Taliban, because they saw an opportunity to grow economically, but all you see is CHAOS AND CONFUSION.
Fact.
 
U
Nawe pia acha unafiki! Hata wewe inawezekana yapo mambo unayoacha kwa kuona ni dhambi kwa mujibu wa imani yako lakini haimaanish hutendi dhambi zingine. Hata hao viongozi wa dini na wenyewe huwa wanajiepusha na dhambi hii na kufanya dhambi ile! Yeye amechagua kutotenda dhambi ya kutangaza vileo!!
Upo sahihi ila kuutangazia ulimwengu kwamba hutafanya kitu fulani kwa sababu ya dini,harafu wakati huo huo unafanya kingine ambacho pia dini yako inakataza,hapo Kuna walakini acha yote ambayo unafanya hadharani ambayo dini yako inakataza,aache muziki,
Unafiki upo hapo shekh,mie mengine nafanya sirini.
 
Soma hiyo dokomenti,uone unafiki wa dini yako

Screenshot_20210818-132120.png
 
Soma hiyo dokomenti,uone unafiki wa dini yako
Una matatizo ya akili.

Dini toka lini ikawa na unafki.

Kama unafki ni wa hao wanaoifuata hiyo dini lakini si dini.

Na kuhusu kuwepo kwa wanafki miongoni mwa waislamu wala si jambo geni hata enzi za mtume walikuwepo na wataendelea kuwepo.

Labda kama una chuki zako binafsi na uislamu.
 
Una matatizo ya akili.

Dini toka lini ikawa na unafki.

Kama unafki ni wa hao wanaoifuata hiyo dini lakini si dini.

Na kuhusu kuwepo kwa wanafki miongoni mwa waislamu wala si jambo geni hata enzi za mtume walikuwepo na wataendelea kuwepo.

Labda kama una chuki zako binafsi na uislamu.
Dini inaweza Kuwa Na unafiki.
Mfano Uislam kupitia Kulwani Bila aibu kabisa Wala kuficha u
inawaasa waislam waishi kinafiki Na wasiokuwa waislam...Wawachekee usoni ila moyoni wawatukane.
Huo sio unafiki?
 
Haka kadada niliposikia kwamba kamekataa deal la billions kutoka kampuni ya bia kwa sababu dini yake airuhusu,!nilishangaa sana huu unafiki,yaani uislam wake unaruhusu aimbe mashairi yenye matusi,ila kugusa bia haukubali!
Uislam dini moja ya ajabu sana,
Uislam umehalamisha kuimba muziki,
Siyo dini yake ni majini/mapepo yake hayaruhusu bia. Kama ingekuwa ni dini asingeimba mziki wa kidunia asingevaa nusu uchi wala asingeimba uzinzi
 
Amezaliwa Mwananyamala kwa Kopa eenh? Kama ni hivyo wala usimshangae mkuu. Wakulaumiwa ni BASATA na vyombo vyake
 
Halafu si ndio walisema hatangazi pombe sababu ni dhambi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mbona alikataa dili la TBL kuwa linakinzana na dini Yake ?

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app

siwezi kujua kama ni kweli au ni kitu tu wametengeneza ili kumpandisha thamani mfano makampuni mengine yakimtaka hayawezi kuja na deal za milioni 10

kuna assumptions nyingi zaidi ya hizo ila mwisho wa siku ukweli wanaujua wenyewe
 
Kwani wale Mungu aliwateketeza kwa Moto na maji kilikuwa kizazi gani?

kwani unaweza kukielezea kiwango cha dhambi zao ??..

ni sawa na chetu, kilichopita au hicho nilichokiongelea
 
Back
Top Bottom