Zuchu kuimba 'matusi', nimeghafirika sana...

Zuchu kuimba 'matusi', nimeghafirika sana...

Mnasema kizazi hiki kinapenda ngono
[emoji23][emoji23][emoji23]

kwa yanayoendelea kwenye entertainment industry, subiri hiki kinachobalehe sasa hivi
Zuchu pamoja na umaarufu wake na balehe yake bado kimakuzi ni mtoto anayehitaji miongozo mingi hasa kwenye hii ajira yake ya sasa
Na pia tusisahau Zuchu ni zao la single mom ambaye muda mwingi alikuwa kwenye sanaa hasa nyakati za usiku. Hata Zuchu kufika hapo alipo ni jambo la kumshukuru Mungu sana.. Wengi wamefeli.. Hivyo basi Zuchu anahitaji miongozo hasa ya watu wazima wenye weledi na hekima
 
Ukimtoa rose muhando, bahati bukuku na wasanii wengine wa gospel ni msanii gani mwingine ambaye haimbi matusi??
Ukumuacha niga j, prof nae anatukana kwenye nyimbo zake? Marlaw? Daz Nundaz? Mr Nice, Ebo?
 
Zuchu pamoja na umaarufu wake na balehe yake bado kimakuzi ni mtoto anayehitaji miongozo mingi hasa kwenye hii ajira yake ya sasa
Na pia tusisahau Zuchu ni zao la single mom ambaye muda mwingi alikuwa kwenye sanaa hasa nyakati za usiku. Hata Zuchu kufika hapo alipo ni jambo la kumshukuru Mungu sana.. Wengi wamefeli.. Hivyo basi Zuchu anahitaji miongozo hasa ya watu wazima wenye weledi na hekima
Yule mama alivyo mswahili ukimwambia hivi unatungiwa nyimbo yakukusuta
 
Mziki wa Kishetani unataka mistari isifie Mbingu,uliona wapi.
Huko walipo na wanachoimba wako sahihi,Sisi watakatifu tuna nyimbo zetu za injili za kusikiliza.
Karibu usikilize hizo
 
Zuchu pamoja na umaarufu wake na balehe yake bado kimakuzi ni mtoto anayehitaji miongozo mingi hasa kwenye hii ajira yake ya sasa
Na pia tusisahau Zuchu ni zao la single mom ambaye muda mwingi alikuwa kwenye sanaa hasa nyakati za usiku. Hata Zuchu kufika hapo alipo ni jambo la kumshukuru Mungu sana.. Wengi wamefeli.. Hivyo basi Zuchu anahitaji miongozo hasa ya watu wazima wenye weledi na hekima
Watu wazima wenye weledi na hekima ila hawana hela, wanaishi kwenye chumba cha kupanga na kuomba hela kwa watoto zao wakanywe kahawa.
 
Haka kadada niliposikia kwamba kamekataa deal la billions kutoka kampuni ya bia kwa sababu dini yake airuhusu,!nilishangaa sana huu unafiki,yaani uislam wake unaruhusu aimbe mashairi yenye matusi,ila kugusa bia haukubali!
Uislam dini moja ya ajabu sana,
Uislam umehalamisha kuimba muziki,
Nawe pia acha unafiki! Hata wewe inawezekana yapo mambo unayoacha kwa kuona ni dhambi kwa mujibu wa imani yako lakini haimaanish hutendi dhambi zingine. Hata hao viongozi wa dini na wenyewe huwa wanajiepusha na dhambi hii na kufanya dhambi ile! Yeye amechagua kutotenda dhambi ya kutangaza vileo!!
 
Zuchu pamoja na umaarufu wake na balehe yake bado kimakuzi ni mtoto anayehitaji miongozo mingi hasa kwenye hii ajira yake ya sasa
Na pia tusisahau Zuchu ni zao la single mom ambaye muda mwingi alikuwa kwenye sanaa hasa nyakati za usiku. Hata Zuchu kufika hapo alipo ni jambo la kumshukuru Mungu sana.. Wengi wamefeli.. Hivyo basi Zuchu anahitaji miongozo hasa ya watu wazima wenye weledi na hekima

Brother fuatilia mambo ya record labels duniani pote utaona anachokifanya zuchu aidha kwa hiyari yake au pasipo hiyari yake ni kawaida

Msanii katika record label ni bidhaa, kinachohitajika ni mauzo kupitia njia yoyote ile aidha kumtengenezea drama, kuimba nyimbo za aina flani au kumtengenezea image flani.

ukitegemea record label ijali maadili na miongozo kuliko kutengeneza pesa..utakuwa hujazijua vizuri kaka
 
I'm highly disappointed in her. She is too young to be this stupid.. It is too early..

Wakati mwingine najiuliza WCB wana mikataba na nguvu gani... Yanaimba matusi lakini bado wanasurvive.

Hovyo kabisa...

....kula kichwa hadi mkia... naipaka mate naifanyeje sijui...

Takataka kabisa
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji23]Sasa mbona sijaelewa ni wimbo gani hasa una hayo matusi.

Em uandike wote ili tuweze kuchanganua
 
Back
Top Bottom