Alicia Keys kuna nyimbo zake niliwahi muona anapiga piano hivyo yes ni musician, R Kelly naye nahisi ni musician kama kuna musical instrument anapiga ila sina uhakika.Kati ya hawa wafuatao kuna musician ?
1. Chris Brown
2. Drake
3. Justin Timberlake
4. R Kelly
5. Alicia Keys
Zuchu amekuja kuwashika,kaeni mkao wa kulaView attachment 1413101
Sent using Jamii Forums mobile app
Pitia kwa mangi pata 1 baridiiiiih nakuja kulipa, upo sahihi haswaaaaaahMnamu-overrate Sana Ruby na akiskia hivo ndo Bichwa Linazidi Yaani. .... Kipaji anacho ndiyo hatujakataa ila it's Too Much! Kwani Sauti ndo Nini? Yaani unaanzaje kumweka Vee na Ruby Kwenye kundi moja?
Suala La sauti ni "Subjective" kulingana na taste ya msikilizaji ndo maana hta Davido na sauti Yake km Chura Wa Bwawani lakini We Can Say Kwa Sasa Ndo Ameshikilia Keys za Mziki wa Afrika.
Bongo hakuna msanii mkubwa wa kike kama Vee. Period. Japo namueshimu Sana Jide.
Alafu mtoa Mada Pale Wasafi Una hisa Kiasi Gani?
Poleeeeeeeeeeh go veeeee mapesaaaahTukiongelea mwanamuziki wa kike, hakuna kama yeye ila wasanii wa kike wapo wengi sana
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwa dharau, vee mapesa n # nyingneeee, wee umia had upasuke ila hat huyo unayomsifia ukwel anaujuaKuna msanii na Mwanamuziki..
Kwa Msanii la Hasha hakuna kama Vanessa Mdee ila kwa mwanamuziki Hapajawahi kutokea kama Ruby.
Sent using Jamii Forums mobile app
Woyoooooooooh wapeeeh hawa ukweli wajue, unajua kunifurahishaMnazareth Hamna Utofauti wa hivyo mzee. NI Propaganda Tu Hizo Na Twisting Ya Language.
Kwa hyo Ruby Ni Mwanamuziki mzuri Kumshinda Vee kwa sababu Ruby Ana sauti Kali kuliko Vee? Does that even make sense?
Ukiwa Mwanamuziki upende usipende utaingia tu kwenye Kundi La wasanii. Msanii ni general term comprising wachoraji, wachongaji, waigizaji, wanamuziki etc. Kwa hyo Uwezi Kuwa Mwanamuziki ukakataa Cheo Cha Usanii.
Both Vee na Ruby ni wanamuziki na wasanii utofauti ni Ile branding Tu na Fan base ambayo Vee Kamuacha Huyo Ruby A Mile Away.
Talking Of Sauti Kuna Wimbo Vee Kaimba Unaitwa "Never Ever" Opera Version kaicheki umetoka last year I think alafu utaona ye ni Mwanamuziki au msanii.
Vee is Underrated.
Mieeeeeh huku burudaaaaniiii, go veeeee mtonyoooohVee exposure kubwa,visionary na hustler kiukweli..
Anajua kuinvest sana. Yaani isingekuwa upuuzi wa mateam bhasi alitakiwa apewe hadhi kubwa next to diamond
Kwa ujio huu, natamka rasmi huyu ndiyo malikia mpya wa Bongo flavourMapema sana kumlinganisha na hao wasanii wa kike,ndio kwanza anaanza so acha tuuachie muda ,kwani muda wenyewe utaongea.
ππππ RobidinyoHakika sasa Alikiba a.k. Mfalme Elode amepata mpinzani!
Sent from my iPhone using Tapatalk
Ngoma ni Kali ila ajatoa officialKwa ujio huu, natamka rasmi huyu ndiyo malikia mpya wa Bongo flavour
Ngoma ya Msanii mpya wa WCB - Zuchu
Sent using Jamii Forums mobile app
We Lokole hujuagi lolote kuhusu Wcb sema uwa una kiherehere na kimbelembele Ngoma ina karibu masaa matatu we unasema hajatoaNgoma ni Kali ila ajatoa official
Ngoma ambayo ametoa official ni Wanna hiyo aliyopost huyo jamaa hajaitoa.We Lokole hujuagi lolote kuhusu Wcb sema uwa una kiherehere na kimbelembele Ngoma ina karibu masaa matatu we unasema hajatoa
Siyo hiyo jamaa aliyoiweka hapo
[emoji848][emoji848] kwani jina lake halisi ni ngani ??Ila jina kachagua baya nae, zuchu ndio jina gani sasa.
Sasa hao unawafananisha na kina Kituga?Lavalava, Kwin dalinyi nao ni mastaa?
Sijui.[emoji848][emoji848] kwani jina lake halisi ni ngani ??