screpa
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 10,857
- 15,866
Analia ila pia ana ngoma nyingi za amshapopoHata Rayvanny analia lia
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Analia ila pia ana ngoma nyingi za amshapopoHata Rayvanny analia lia
Hana lolote zaidi ya makelele tu
Una tatizo la wivu mkuuSijui mimi ndio sijui Mziki. Ila kiukweli wafuatao sijawai kuelewa wanachoimba
Ve Money
Lavalava
Rayvan
Maromboso sijui Mboso khan
Wapo wengi sanaa
Piga kelele na wewe uone kama utaweza kutengeneza 'tetema'Hana lolote zaidi ya makelele tu
Hata ile ya kuitwa 'Alee' ni ya duniaIle kazi yake ya Kuitwa 'Ntade ' ni moja ya kazi bora kabisa za Muda wotee
Nimeponda wapi mkuu au na wewe umeanza kuchanganyikiwa?Yaani mtu kabla hujamsikia USHAMWELEWA na ushaanza KUMPONDA,huo si UCHIZI hata kama unaichukia WCB ila zako wewe TOO MUCH.
Ha ha hawanachonikera WCB yani hata wamtambulishe jiwe atakua super staa tu
Mbona uliowataja ni wasanii wanaofanya vizuri ukimtoa Vanessa mdee ambaye amewekeza kwenye mapenziSijui mimi ndio sijui Mziki. Ila kiukweli wafuatao sijawai kuelewa wanachoimba
Ve Money
Lavalava
Rayvan
Maromboso sijui Mboso khan
Wapo wengi sanaa
Rayvanny anabadilikabadilika wiki iliyopita katoa ngoma ya kisingeli miss buza Kuna wakati anafanya ngoma za kuchangamka Kuna wakati anafanya ngoma za kubembeleza ila kwa Mario na aslay wanafanya ngoma za kulia liaHata Rayvanny analia lia
Mbona uliowataja ni wasanii wanaofanya vizuri ukimtoa Vanessa mdee ambaye amewekeza kwenye mapenzi
😀😀. Sometimes mamoderator wanavyofuta thread zako huwaga wapo sawa sababu UNAPAYUKA SANA.Nimeponda wapi mkuu au na wewe umeanza kuchanganyikiwa?
Si tu label inawasaidia lakini pia Wana vipaji vikaliNguvu ya label inawasaidia
😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😀😀. Sometimes mamoderator wanavyofuta thread zako huwaga wapo sawa sababu UNAPAYUKA SANA.
Ndiyo hako, ile yenye tune ya wimbo wa "in the jungle the mighty jungle the lion sleeps tonight".Huyu sio kale kabinti kameimba jingo ya wasafi fm?
Sahihi kabisaIle kazi yake ya Kuitwa 'Ntade ' ni moja ya kazi bora kabisa za Muda wotee
Yeah Vee Money kinachomsaidia pia ni exposure aliyonayo, ila kwa sauti nzuri bongo sijaona kama Ruby sema tu kiburi chake ndiyo kinamfifisha.Vanessa kafika mbali ila kwa kipaji cha ruby, akikubali kujishusha plus nice management. Anaweza kupita alipofika vee..
hata Yemi alikubali kuwa Ruby is a great vocalist "hope you know what it means"
Poleeeeh San Tena saan humuelew vee money khaaaahSijui mimi ndio sijui Mziki. Ila kiukweli wafuatao sijawai kuelewa wanachoimba
Ve Money
Lavalava
Rayvan
Maromboso sijui Mboso khan
Wapo wengi sanaa