Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu yeye haoni shida kwenye Imani ya dini yake. Lkn kuitangaza pombe ndiyo shidaBwana weeee nguo hiyo 😬😬😬😬😬
Mambo ya imani angeweka pembeni, maana analeta ukakasi kweli kweli..Halafu yeye haoni shida kwenye Imani ya dini yake. Lkn kuitangaza pombe ndiyo shida
To add on wasanii walio wengi ni malaya! wazinzi, pombe,. Ustaa wa bongo ni kufanya mambo kinyume na NORMS OF A SOCIETY PUBLICALLYMusician
Huyu mbona km sio zuchu jaman huyu mtoto anavinyama kabisaa..Angalia alivyovaa na kujiachia! Lkn ni huyu huyu Zuchu aliyekataa kufanya tangazo la pombe (siyo kunywa pombe) kwa madai kuwa ni kinyume cha matakwa ya dini yake.
Kungwi Sexless hajafurahishwa na undumila kuwili huu.
View attachment 2336885