Mnyenz
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 2,933
- 8,112
Ikifika zamu ya kiba niiteHajafikisha ata miezi miwili kashafunika wasanii wote wa kike east afrca, sasa ameanza nyoosha wakiume mmoja mmoja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikifika zamu ya kiba niiteHajafikisha ata miezi miwili kashafunika wasanii wote wa kike east afrca, sasa ameanza nyoosha wakiume mmoja mmoja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hajafikisha ata miezi miwili kashafunika wasanii wote wa kike east afrca, sasa ameanza nyoosha wakiume mmoja mmoja.
Sent using Jamii Forums mobile app
sawa bi khadija.Ni mtoto wa Bi Khadija muislam swafi kabisa, funga yake naona inapaswa tumuachie yeye na Mungu wake, au tukuachie wewe hukumu yake?
Sent using Jamii Forums mobile app
narudia kusema HAMNA KITU PALEMtoto alivyokuwa mtaalam amekuchanganyia bongofleva akakuwekea taarab kidogo na radha za muscat kwa mbaaali kama wurylain... Basi ilimradi Africa imeinuliwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
😅😍
Konde boy chali Kwa huyu manzi , sa sjui angeweka wimbo kwenye channel ya ibra nafkr ingekuwa majanga kabisa angekuwa namba 40 trending huko....yaan konde boya na umaarufu wake ana went down Kwa huyu manzi , something is wrong, WCB wakiamua kukusupport bhana , wapinzani Hata wafanyeje utapaa tuuu 😁
Mkuu huu muda ungeutumia kujifunza kuandikaHajafikisha ata miezi miwili kashafunika wasanii wote wa kike east afrca, sasa ameanza nyoosha wakiume mmoja mmoja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua msañii anatambulishwa kipindi hiki cha corona halaf bila backup ya media kubwa tatu nchini na bado anapenya hadi nchi za magharibi ya afrika,ujue huyo ni mashine haswa kwa io ana
Jamaa kaongea kishabiki Sana zuchu sio msanii number 1 kwa sasa iwe kwa upande wa kike au in general sema Ni kwamba kwa sasa anafanya vizuri lakini hajafika level ya kuwa number 1innocent dependent unasemaje kuhusu hili
Wimbo una siku 5 hata 1m haujafikisha huu ni utopoloKwa mujibu wa YouTube ambayo ndio platform fair kwa sasa Tanzania kupima nguvu ya msanii.
Zuchu ndio msanii namba moja kwa sasa.
Amefanikiwa kukamata chati za youtube kwa akaunti yake mwenyewe na nyimbo yake mwenyewe bila mbeleko.
Nilisikia mtaalam mmoja wa mambo ya muziki akisema Zuchu amekuja kuichukua bongofleva yake.
"Chozi dibwi dibwi nachanganyikiwa navilio sishikiki/ Nipo magharibi lizamapo jua wewe upo mashariki."
Moja ya mistari ninayoipenda sana kwenye ngoma yake ya Nisamehe.View attachment 1456630
Sent using Jamii Forums mobile app
anafata nyayo za king kibaWimbo una siku 5 hata 1m haujafikisha huu ni utopolo
Jamaa kaongea kishabiki Sana zuchu sio msanii number 1 kwa sasa iwe kwa upande wa kike au in general sema Ni kwamba kwa sasa anafanya vizuri lakini hajafika level ya kuwa number 1
Mkuu mbna kuna nyimbo nying za Kondeboy zinakaa Hata 2 weeks hazjafika 1mil , Kwa uchanga alio nao huyo manzi si haba, kuna dude la quarantine zuchu kaua mle , ibra akasome , 😀Wimbo una siku 5 hata 1m haujafikisha huu ni utopolo
Huyo vee money ana ngoma gani saivi!??Semeni yote Ila kuja kumfunika vee money wallah dunia itageuka, hat yey huyo zuchu analijua Hilo.
Sent using Jamii Forums mobile app