Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Siku hizi hatutumi, ukifika ndio tunalipaeti anasema tule nauli zenu mkituma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku hizi hatutumi, ukifika ndio tunalipaeti anasema tule nauli zenu mkituma
Role model wako nani?Matusi😂😎
hatuji ng'ooo kufeni na upwiru wenu kooniSiku hizi hatutumi, ukifika ndio tunalipa
Zuhura na maua samaRole model wako nani?
Enzi hizi kufa na upwiru ni maamuzi yako, zipo mpaka za bure.hatuji ng'ooo kufeni na upwiru wenu kooni
Maua sama wangu katukana wapiZuhura na maua sama
sasa hao wabakaji vip hawapewi bure,,,, enewei tusitoke nje ya mada,,,ila zuchu wife materialEnzi hizi kufa na upwiru ni maamuzi yako, zipo mpaka za bure.
zuchu mara ya kwanza anakuambia anaingia WCB kipindi bado hajatangazwa akaingiziwa Milioni7 kwenye akaunti yake, Halafu alikuwa yupo mlimani city alipiga kelele vibaya baada ya kuona meseji. ILA ni msanii mzuri sana wakike, anachomahinda ayra Star ni lugha tu anayotumia inafika mbali na kusikika na wengiThe best female musician in east and central Africa
Gusanisha nyama kwa nyama aaaahMaua sama wangu katukana wapi
sema uyo avatar si kapga goti kwa masanja juz tu apa,,kajipatia wife material modo kama zuchuNikimwangaliaga nahis atakua mtamu sana
NB; Kwa kupiga tu ni Mali nzuri ila kuoa mmh kila Mtu abaki na mtazamo wake
Wabakaji ni wagonjwa wa akili, hawako timamu.sasa hao wabakaji vip hawapewi bure,,,, enewei tusitoke nje ya mada,,,ila zuchu wife material
WachawiWabakaji ni wagonjwa wa akili, hawako timamu.
Muache maua sama, huwa namkubali sana.Gusanisha nyama kwa nyama aaaah
Kwichi kwichi chumbani haziishi kichwani hasa pale unapokua mbali namiiii
chochea kuni kwa kishindo jiko lako ni miiiii
unipe jotojoto bebi kwenye baaridiiiii
nionyeshe niweke......
By the way,,wife material
Huko hapanaWachawi
Asante Zuchusiendi wanangu siendi, katuma na ya kutolea lakini siendi, na hela yake nakula lakini siendi, aiii
Hv kumbe ndo maana Jana sijui juzi Half american alikua ananiambia ulikua Kwa masanja mm Hata sikumuelewa 😁😁 kumbe Ringo kauaga ubachelasema uyo avatar si kapga goti kwa masanja juz tu apa,,kajipatia wife material modo kama zuchu
Hahahaha kama huyo alivomkubali zuchuMuache maua sama, huwa namkubali sana.