Zuchu unazingua, wimbo wako wa honey ni mbaya

Zuchu unazingua, wimbo wako wa honey ni mbaya

Kuna kitu kinaitwa CREATIVITY ukishindwa kuelewa upana wa hili neno basi utateseka sana na unaweza ukawa unakisema vibaya kila kitu.

Tatizo Tanzania huwa tunacomplicate kwenye kila kitu kwa kutaka kulinganisha na akina fulani.

Unatakiwa kwanza kuelewa LENGO la huo wimbo ni lipi? Hizo ni aina ya nyimbo zinazo takiwa sana TIKTOK hasa kuburudisha....lengo lake sio Elimu, kukosoa, nk ila KUBURUDISHA na ndiyo maana ukienda tiktok unakuta inaenda saaaaana....Lengo lake limetimia kwa 100% na unakuta anapiga pesa zake safi.

Watu wako stressed vibaya mno wanahitaji furaha, vitu kama hivyo vinawaletea furaha wengine na kuwapa tabasamu kwa vile vituko vinavyo onekana ndani na ndiyo sababu kwenye Fasihi kuna MELO DRAMA ambayo kazi yake ni kuentertain.

Sijui bongo wakisikia CREATIVITY huwa wanatafsiri kwamba lazima utoe Calm Down kama ya Lema?


Unahisi why imeenda sana? Yes ofcoz POWER OF BRANDING inahusika lakini je kwa walengwa wake ambao aliwakusudia imekuwaje? Lengo limefanikiwa.

Kuna kitu kinaitwa TARGET CUSTOMER kwenye business....ndo hapo huyo dada na bosi wake sijui mumewe wanawazidi watu kwenye upigaji wa pesa.....

Ukiona hauielewi TEKNO usiconclude kwamba ni mbaya jua wewe sio mtu husika wa Tekno na ambaye ndiye target customer atainunua tu au ataipenda [emoji28]

Take easy mkuu....SANAA ni pana sana....so far Zuhura ni artist mzuri sana ila usitegemee kila muda atakuletea Cheche, mara no body.....let's enjoy maisha hayataki uwe serious kupita kiasi.
 


Yaani nimekaa mahala unapigwa wimbo wako unaitwa "HONEY"aisee ni mbayaaaa....najua utavuma Kwa vile wabongo tuna hulka ya kupenda vitu vya hovyo hovyo.

Hivyo tu.

Kuna 2 eidha Una miaka mingi kuanzia 35+ halafu unataka uishi kama Una miaka 18.
Pili ujue soko la muziki linavyoenda.
Nyimbo inapigwa kila mahali mpaka maharusini.
Top 10 zote radio ipo.
 
Kuna 2 eidha Una miaka mingi kuanzia 35+ halafu unataka uishi kama Una miaka 18.
Pili ujue soko la muziki linavyoenda.
Nyimbo inapigwa kila mahali mpaka maharusini.
Top 10 zote radio ipo.
Hujasikia waziri wajinsia na watoto akiuzungumzia huu ushubwada?hujasikia ulivyosababisha watoto wakatazwe kuhudhuria maharusini usiku?kwani hizo radio ndio unaziona zina akili timamu?mibange mitupu
 
Hujasikia waziri wajinsia na watoto akiuzungumzia huu ushubwada?hujasikia ulivyosababisha watoto wakatazwe kuhudhuria maharusini usiku?kwani hizo radio ndio unaziona zina akili timamu?mibange mitupu
Watoto tangu zamani walikuwa hawarusiwi kuhudhuria maharusini usiku wala kucheza sema Tz kunauzembe wa kusimamia sheria.
Mimi naongelea nyimbo ilivyopokelewa na inavyokubalika Kwa wapenda starehe na muziki na wasio na stress za maisha.
Zuchu kafanikiwa Kwa 100% kazi kwao wenye fikra za Msondo na Sikinde Ngoma.
Muziki kwasasa ni biashara msanii anaangalia soko lake linataka nini.
Wengine nendeni kwenye kwaya na kaswida na zilipendwa.
Huku mtuache
 
Watoto tangu zamani walikuwa hawarusiwi kuhudhuria maharusini usiku wala kucheza sema Tz kunauzembe wa kusimamia sheria.
Mimi naongelea nyimbo ilivyopokelewa na inavyokubalika Kwa wapenda starehe na muziki na wasio na stress za maisha.
Zuchu kafanikiwa Kwa 100% kazi kwao wenye fikra za Msondo na Sikinde Ngoma.
Muziki kwasasa ni biashara msanii anaangalia soko lake linataka nini.
Wengine nendeni kwenye kwaya na kaswida na zilipendwa.
Huku mtuache
Kwa hiyo we ndio Zuchu nikuache?
 
Kwenye hili game la mziki huwezi kutoa ngoma kali na ikapendwa na watu wote kwa muda wote,kuna kipindi lazima utaboronga tu hata hao wasanii unaowakubali naamini pia wana ngoma za hovyo so ni kawaida tu kama vle kubet tu leo unachana na kesho unamkanda kanji
Diamond toka ajipate hajawahi kuboronga
 
Nenda kajifunze maana ya opinions, personal perspectives na preferences.
Kama ukielewa hivyo basi utakuja kufuta hii thread, ukilinganisha hujatoa sababu za msingi za kudislike such content basi utajiona big L.
 
Back
Top Bottom