Zuchu unazingua, wimbo wako wa honey ni mbaya

Zuchu unazingua, wimbo wako wa honey ni mbaya

Mkumbuke mziki ni hisia na kila mmoja wetu ana zake. Ukiacha chuki bunafsi ushabiki na upenzi mziki mzuri utakubalika sana ndio maana mtu anaweza akawa team kiba ila kuna ngoma za mondi kibao anazikubali pia etc.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] zuhura ameshaishiwa kitamboo, afanye kuimba taarabu km mama ake tyuu.
 
Anzaaana na kuwataja upinde

LG anarudia tena LG

Ila wajinga hawajaelewa ule wimbo amewaimbia wakina nani Zuhura ndio anajua amewaimbia wakina nani km wewe ni LG utaupenda km sio LG huwezi ukaupenda ule wimbo
 
Back
Top Bottom