Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna siku nikaropoka kwikwiii khaa[emoji3][emoji3][emoji3] Mapepo haya[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nimekuta mibaba mijitu mizima inaimba haniiiiiiiiiii nikatamani niwape kerebu Moja!
Yaani nimeusikiliza ikabidi niuchek u tube video yake nikasema huyu ndio alishindanishwa na Burns boy Kweli?😓😓😓😓😓
Yaani hiyo ndio wanachojiamini.Mimi sijausikiliza, ila nahis wamekariri kuwa kwa sababu ya umaarufu wao watatoa nyimbo za ovyoovyo wakiamin zitapokelewa tu
Ha haaa mi burna Nakuelewa sanaMe naona wote wanaimba vibaya huyo Zuchu na burna boy.
[emoji23][emoji23][emoji23]Namsakaa haniii simuoni... Haniii wangu haonekanii... haniiiiii....haniiii[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] ***** yni bongo ni ngumu sanaaa...!!
Yaani hiyo ndio wanachojiamini.
Ha haaa mi burna Nakuelewa sana
Nyimbo haieleweki[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Minyimbo ina mapepo hii na wew unaweza jikuta unaropokaa sikuu..haniii
Wewe sio LG
Wewe ni mfuasi wa LG?Nimeiona sahizi hapa clouds wameipiga,
Sijaielewa
Yes of courseMambo yake muachie mwenyewe...