Zuchu unazingua, wimbo wako wa honey ni mbaya

Zuchu unazingua, wimbo wako wa honey ni mbaya

We chawa wa zuchu unawashwa matackle nini?
Unasema jukwaa huru afu mi nimetoa maoni yangu unapanic wapi nimesema nyimbo ni mbovu, wapi nimeitaja hiyo nyimbo ya Zuchu kwenye comment,
Mi nimezungumzia mijimbo ya kisasa kiujumla ndo ilivyo, kufanyiwa promo kibongobongo hiyo iko wazi kama nyeti ya mbuzi.
Eti najishtukia kusikiliza 90s na 20s, naskiliza ndio kwa sababu vibe yangu ipo huko, kiufupi playlist yangu haina hizo nyimbo zenu za kis*nge na wala sizifuatilii.
Punguza shobo kwa mtu usiyemjua au zuchu mke mwenza.
Sasa nani kapanick? Wewe ndiye mpuuzi uliye amua kureply comments ya mwanaume,si ungepita na kuachana nayo ni nyege zako za makalioni ndizo zilikufanya ureply comments na uzuri siku-mprovoke wala kumtukana mleta mada,ila nyege zako wewe ndizo zimekufanya ureply comment yangu.

Sasa swala la promo mbona kawaida mziki biashara na mwenye biashara yake ndiye anaye amua either aipeleke kimya kimya au promo au kwa akili yako fupi kufanya promo ni kosa?

Asake,Fireboy na wasanii wote wa YBNL ya Olamide wakitoa nyimbo wanalipia promo mbona kawaida na msanii hajakataza kutoa promo.

Wewe comments yangu kama ingekuwa kuwa inakukera ungeipita na si kuanza kutukana,husinge pungukiwa na kitu.

Husi shobokee comment za wanaume kama zina kukera au ndio Manula katoka,sema kuna member wapo humu jitangaze wakale jicho.
 
Sasa nani kapanick? Wewe ndiye mpuuzi uliye amua kureply comments ya mwanaume,si ungepita na kuachana nayo ni nyege zako za makalioni ndizo zilikufanya ureply comments na uzuri siku-mprovoke wala kumtukana mleta mada,ila nyege zako wewe ndizo zimekufanya ureply comment yangu.

Sasa swala la promo mbona kawaida mziki biashara na mwenye biashara yake ndiye anaye amua either aipeleke kimya kimya au promo au kwa akili yako fupi kufanya promo ni kosa?

Asake,Fireboy na wasanii wote wa YBNL ya Olamide wakitoa nyimbo wanalipia promo mbona kawaida na msanii hajakataza kutoa promo.

Wewe comments yangu kama ingekuwa kuwa inakukera ungeipita na si kuanza kutukana,husinge pungukiwa na kitu.

Husi shobokee comment za wanaume kama zina kukera au ndio Manula katoka,sema kuna member wapo humu jitangaze wakale jicho.
Nilikuwa na kuelimisha kuhusu views na streams haziashirii wengi wamrupenda wimbo, sijashobokea point ya mwanaume, we nae mwanaume au bwabwa, mwanaume hawezi kuwa chawa we shoga tu.
 
Nilikuwa na kuelimisha kuhusu views na streams haziashirii wengi wamrupenda wimbo, sijashobokea point ya mwanaume, we nae mwanaume au bwabwa, mwanaume hawezi kuwa chawa we shoga tu.
Unanielimisha kwani ww unanijua,mimi mbona bado unaendelea kushobokea wanaume.

Humu jamii Forum hamna sehemu ya ku-upload vyeti,bali ni hoja na sio matusi uliyo ya anzisha.Uhuni tuna ujua na ndio maana tuna iheshimu hii platforms kwa kutoa hoja bila kumtukana mtu, so ukiendelea kushobokea comments za wanaume utafumuliwa marinda.

Jifunze kureply comments za watu bila kutukana,kama unaona kichwa chako ni kidogo kustahimili nilicho kianandika unaweza ukaacha.

HALAFU WASOMI HUWAGA HAWATU KANAGI BALI NI HOJA na ndio maana comments yangu uliyo reply hukuona tusi.So wewe kichwa panzi huna cha kunielimisha mimi zaidi ya matusi.

NB:Kuwa na heshima ili uheshimiwe, simple tu.
 
Huku mtaani watoto ni balaa,

Sijaisikia hiyo nyimbo wala kuiona lkn nasikia watoto waimba haniiiiii,

Anaharibi watoto
Mi labda ntakutana nayo siku nikienda club kula mma, wabongo flava nshawachoka siwezi kupoteza muda kuwagoogle
 
Hiyo ni hit tayari, bongo ukiimba mambo ya kuumizwa kichwa unapata sifa badala ya hela.

Nakutolea mfano ile nyimbo ya zuchu kwikwi ndo nyimbo yake yake yenye streams nyingi zaidi kuliko nyimbo zake zote toka aanza mziki mpaka sasa. Ina stream milion 40 alafu kaimba ujinga ujinga.

Hata hii utaona itauza sana, kikubwa yeye analijua soko Lake na anajaua anachofanya, me binafsi siwezi kukaa nikasikiliza huo upuuzi. Lkn binti anapambana sana huyo.
Wapi huko mkuuu???
 
Back
Top Bottom