Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Amakweli tunia imeniacha na mbio, maana sijui hata ni akina nani hao wanajadiliwa hapa...[emoji848][emoji848]
Yawezekana comrade, maana minilidhani ni wagombea ubunge hawa...[emoji23][emoji23]Amigo itakuwa wacheza tenesi [emoji848]
Hasa huyu anayeimba taarabu utamlingamisha na Nandy, Kwa kipi hasa?Kwa leo story kubwa ni pambano linaloendelea uko YouTube kati ya Zuchu na Nandy.
Vipi wadau ikitokea Nandy kashindwa kumpita Zuchu mnadhani ndio itakuwa ushahidi kuwa Nandy ameshapotezwa na Zuchu? View attachment 1604185
Nandy kafunikwa na Zuchu muimba taarab, ni aibu kubwa.Usirudie tena kumfananisha Nandy na vitu vya kijinga
Namba zinasema muimba taarab kamfunika nandela. Safari ya nandela imefika mwisho.Hasa huyu anayeimba taarabu utamlingamisha na Nandy, Kwa kipi hasa?
Sasa mkuu inakuaje muimba taarabu anatrend mpaka YouTube worldwide? Na kweny digital platformHasa huyu anayeimba taarabu utamlingamisha na Nandy, Kwa kipi hasa?
Exactly 😊zuchu kaingia namba 1 baada ya masaa mangap jiulze[emoji3] ...hapo winner unamjua tayar..lakin pia views zinasoma ngapi tayar jibu unalo....
By the way kuwafananisha hawa watu wawil ni makosa...mziki anaofanya Nandy na zuchu ni tofaut...kila mtu ana ladha yake..
Huu ujinga wa ku compare watu unafanya mwingine atembelee kiki ya mwenzie...tuache kila mtu apambane na hali yake.
Ndo yale yale ya Diamond kufananishwa na walala hoi..mwisho na wao wanatembelea kiki sasa bila kazi....
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
🤣🤣Maisha yako unayakosea mwenyewe oct 28 haiwezi badili ugumu wa maisha yako pambana mdogo wangu usishikwe maskio.
Wakati zuchu anabebwa na misukule yooteeee ya wachafu koge(kile chumba saiv kipo motoo kompyuta simu zikifanya kazi kuongeza vieeeeewwwwwssss). Nandy yupo na mashabiki wake na bill pekee
Mkuu Ni watia nia hao wa ubunge jimbo la mjini youtube kupitia CHAUMAAmakweli tunia imeniacha na mbio, maana sijui hata ni akina nani hao wanajadiliwa hapa...[emoji848][emoji848]
HUJUI HATA UNACHOKIANDIKA NI NINI,MABIBI WENZIO WANALEA WAJUKUU WEWE UNALEA CHUKIWakati zuchu anabebwa na misukule yooteeee ya wachafu koge(kile chumba saiv kipo motoo kompyuta simu zikifanya kazi kuongeza vieeeeewwwwwssss). Nandy yupo na mashabiki wake na bill pekee
Wanatanzania hapa ndipo tunapokosea
wasanii wote ni watanzania
Lengo lao ni kutoa burudani kwa wasikilizaji ili tupate burudani
Sasa hii tabia ya kulinganisha na kupambanisha wasanii ina lengo gani?
Tuache ushamba "musiki ni burudani"
HUJUI HATA UNACHOKIANDIKA NI NINI,MABIBI WENZIO WANALEA WAJUKUU WEWE UNALEA CHUKI
Pole sana.Wakati zuchu anabebwa na misukule yooteeee ya wachafu koge(kile chumba saiv kipo motoo kompyuta simu zikifanya kazi kuongeza vieeeeewwwwwssss). Nandy yupo na mashabiki wake na bill pekee