Tetesi: Zuhra Yunus ndiye Mkurugenzi mpya wa Azam TV

Hata kama ni tetesi ila ni KAMBA
 
Hahahahaha!!!1 Wabongo wape tittle tu halafu kaa pembeni uone mtifuano wake πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
Wanazingua sana aisee, yan meseji inakuwa distorted completelyπŸ˜€
 
Niliskia zuhura ni bikra Hana mume wala mtoto... Nikaanza kujiuliza moyoni inawezekanaje hataki kabisa wanaume? Au ni shemale nini?
 
Yani palag

Yani palagamanda Mzee wa asili ya jalala naye Ni mtu maarufu kuhojiwa?
 
Mabaharia wa bongo wamefurahi sana walishidwa kumzamia alivyo kua ngambo sasa amakuja mwenyewe
Kama kuna kaukweli hivi kwa mbali! [emoji848] Maana hata huu uzi wenyewe umeletwa na Baharia mwenzao tpaul! [emoji3062]

Inawezekana kweli wamefurahia!
 
Sijui, unatoka first world unakuja kwenye "mavi". Labda mshahara ni mkubwa kuliko BBC and this is most likely anyway!
Umahiri wake unakoma atakapo tua Tanzania maana uhuru hata wa kumhoji mtu utakuwa umepungua by 80% kwa politics za hapa na Samia
 
Hayati Magufuli aliwahi kukimbia kuhojiwa na zuchu, wakati mwenzake Lowassa akaishia kusema Zuchu anamuonea baada ya maswali magumu kumkalia kooni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…