Povu linakutoka ukiwa wapi Mkuu, kama nimekosea rekebisha.... Kutoka Ikulu mpaka kuwa Naibu Katibu Mkuu chini ya Waziri Mkuu anakuwa amepanda?
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Ww hamna kitu kichwan!.
Ipo hv
1.Waziri
2.Naibu waziri
3.Katibu mkuu
4.Naibu katibu mkuu
5.Mkurugenzi(Kama alivyokuwa zuhura)
6.Naibu mkurugenzi
 
Umeeleza vizuri ila hapo kwamba akitoka hapo anakwenda kuwa Naibu Waziri ni Uongo
 
Umeeleza vizuri ila hapo kwamba akitoka hapo anakwenda kuwa Naibu Waziri ni Uongo
Sijasema akitoka hapo anaeenda kuwa Naibu Waziri, na hata hivyo pia inawezekana akawa Naibu Waziri, muda sio mrefu anaenda kugombea ubunge huko kwao Zenj, na ni kama kumsukuma mlevi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…