Zuhura Yunus kaboronga wapi mpaka kutolewa Ikulu?
Wakati mnamlaumu ,tambueni zuhura kafaidika na mengi

Kupata mume
Kapanda cheo kutoka usemaji mpaka katibu mkuu msaidiz
 
Mama anajua kulipa visasi kimya kimya. Alichukia Alivyohojiwa na Watu wa bbc swahili. Akamdanganya Zuhura aache kazi aje huku kupewa cheo. Sasa ameanza kumtema kidogo kidodo. Kinachufuata ni ukuu wa wilaya porini Huko hadi atakapostaafu. Hiyo ndio CCM tuijuayo. Wanakunyonga huku wanakulipa mshahara 😂️😂️😂️
Wakuu salama?

Nadhani mmeona mkeka wa mama, Zuhura Yunus kaondolewa kutoka kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu mpaka kuwa Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu).

Zuhura atakuwa kamkorofisha wapi mama mpaka katolewa Ikulu? Au ndio anapikwa kuja kuwa Waziri baadaye?

Kuna mtu alidokeza X Zuhura anataka kuondolewa... je, kuna fukuto nyuma yake? Baadhi ya majirani zetu Kenya walimpa za uso Zuhura baada ya details za mkopo wa Korea kuvuja. Je, hii ndio inaweza kuwa sababu?



=====

Pia soma: Rais Samia afanya uteuzi na mabadiliko ya watendaji wa Serikali. Zuhura Yunus aondolewa Ukurugenzi wa Mawasiliano I
 
Ukishajua itakusaidia nini mbona tunakuwa taifa la hovyo sana yani tunajadili zuhura kutolewa ikulu so tukijua ina msaada gani katika ustawi wa maisha ya jamii yetu kiujula nchi ya hovyo sana hii
 
Ila ni mzuri sana.... She is a woman... Very beautiful..... Nampendaga sana
 
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ni cheo Kikubwa kuliko Mkurugenzi-ki msingi amepanda cheo.
Katibu Mkuu>>Naibu Katibu Mkuu>>>Mkurugenzi>>>>Mkurugenzi Msaidizi.
Hivi km ujui kitu Kwann hukai kimya?

Huyo katibu mkuu, naibu katibu mkuu, mkurugenz n masaidz wake hao wote appointment zao hutangazwa na Nani?

Inshort mkurugenzi wa mawasiliano Ikulu ni cheo kikubwa sn, wao ndo wazee wa itifaki y raisi na usisahau ikulu n jikoni. Pia ukiwa n hicho cheo, unakuwa na access ya kumuona rais frequently.

Ss huko wizarani anaonana nae lini? Next time think kabla y kubwabwaja.
 
😂😂😂😂 Ww hamna kitu kichwan!.
Ipo hv
1.Waziri
2.Naibu waziri
3.Katibu mkuu
4.Naibu katibu mkuu
5.Mkurugenzi(Kama alivyokuwa zuhura)
6.Naibu mkurugenzi
Hujui kitu ww…
Huyo zuhura kashushwa sn cheo…

Zen kumbuka ile ni ikulu n sio wizara,

Director of communication ikulu Ana access y kuonana n rais frequently, posho na marupurupu yake ogopa.

Na usisahau kuwa ule ndo mdomo wa rais, teuzi zote, ziara n safari zote yy ndo reporter zen ufananishe cheo chake na naibu katibu mkuu wizara?

Stupid
 
Wakati mnamlaumu ,tambueni zuhura kafaidika na mengi

Kupata mume
Kapanda cheo kutoka usemaji mpaka katibu mkuu msaidiz
Ila hii Dunia kizungumti kakaa uingereza ulaya miaka kibao usichana wake wote hakupata mume huko kastaafu kaja bongo kikongwe uzeeni kapata mume chapchap
 
Ila hii Dunia kizungumti kakaa uingereza ulaya miaka kibao usichana wake hakupata mume kastaafu kaja bongo kikongwe uzeeni kapata mume chapchap
Tatizo watanzania uwezo wa kufikiri hatuna…

Ile nafasi aliyokuwanayo ikulu n Nyeti sn, kuwa n mume ilikuwa lazima kwa ajili y repetitions
 
Kule alikoenda hakuna kazi. Atasugua benchi sana. Ikulu kuna mkwanja mrefu. Kila Rais akiondoka kwenda safari tu ni dollar na hata safari za ndani ni per diem ndefu.
Kutoka ikulu n kushushwa cheo, hakuna definition nyingine
 
Back
Top Bottom