Zuhura Yunus kudai uteuzi wake ulikuwa wa kushtukiza, hakuwa na taarifa ni kweli? Kwanini hakujuzwa?

Kwa Hiyo Anatupiga Fix?
Wabongo Shida Yetu Hatuko Wazi. Ingekuwa Kwa BIDEN, Unamteua Mtu, Unampa Taarifa Anakuambia "I'm Delighted, No Thanks" ... Bongo Sasa
Kusema hakujua anatuona SI wajinga kwakweli,mpaka mtu unajiuzulu BBC,baada ya siku moja unateuliwa halafu unasema hukujua, nitakuwa wamwisho kuamini hilo
 
Huyu ameanza uongo mapema sn, kabla ya kuteuliwa lazima ufanyiwe vetting ya personal na ya siri
 
Umelala unaamshwa unakumbana na teuzi

Safi sana

Ova
Wengine wanaamshwa na I think am done with you na block [emoji724] kila kona.

Unaamka unakumbushwa marejesho ya Mpawa.

Unaamka na simu unaambiwa aisee hatunaye Tena.. fanya haraka uje na pesa kwani huku hakuna kitu wala mtu..

MUNGU huyu
 
Wengine wanaamshwa na I think am done with you na block [emoji724] kila kona.

Unaamka unakumbushwa marejesho ya Mpawa.

Unaamka na simu unaambiwa aisee hatunaye Tena.. fanya haraka uje na pesa kwani huku hakuna kitu wala mtu..

MUNGU huyu
Teh teh

Ova
 
Hapo kwa kikeke ni kweli kabisa maana nae alianza kuaga kule bbc wakasema anarudi nyumbani!

Sema kikeke atakuwa alimuudhi mama kwenye yale maswali yake kuhusu mbowe siku ile anamhoji bi hangaya
 

Inatuhusuje?
 
Kama angehusisha huo uteuzi na jinsia yake au U-zanzibari wake huenda ungemuelewa ?
Sijalelewa maporini kwa kunifanya nione tofauti ya watu kupitia makabila yao, dini zao, au asili zao! Nimezaliwa na kukulia kwenye maeneo yenye mchanganyiko wa watu wenye dini, makabila, na asili tofauti!

Taabu ni kwa wale waliozaliwa na kukulia huku wakiwa wamezungukwa na watu wa asili yao pekee, wakiona mtu mwenye asili nyingine ndipo shida inaanza kwa sababu hawajazoea!



Tunam-judge mtu kutokana na utendaji! Sometimes unaweza kuwa wrong kutokana na vile unavyoamini wewe ikawa kinyume anavyofanya yeye!!
 
Hana mume wala mtoto, sijui ana shida gani.
Ukioa hapo ni mateso!
.
Wanawake wa hivyo hutaka na wao wawe na ndevu ndani ya nyumba.

Sasa hakuna mwanaume mwerevu atakubali hayo
 
Huyo nadhani yeye hajui kwamba watanzania wa sasa sio wale aliowaacha back on14 years past.

Ikulu hawawezi kufanya uteuzi bila kufanya mawasiliano ya kukuandaa.

Tena ukizingatia kwamba yuko United Kingdom[emoji636] .

Wasiwasi wangu usikute tayari anao uraia Pacha.
 
Michongo tu kupeana ulaji wapwani. Huyu alikua anamnanga jpm BBC sasa mama kampa kamba ya mbuzi refu ale hela ya umma.
 
Ulitaka asemeje?

Wabongo Kwa kupangiana vya kusema…. Hatujambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…