britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Mwanadada mtanzania,ambaye anafanya kazi n.a. shirika la utangazaji la Uingereza BBC amekuwa mahiri katika kufanya mahojiano ya kuchokonoa , na kufanya duku duku la msikilizaji kuisha endapo anayehojiwa atatoa majibu fasaha,
Mwaka 2015 alimbana Lowassa kwa maswali baada ya Lowassa kujitapa akiwa rais atafuta rushwa na ufisadi, aliulizwa swali moja tu kwamba "Ulipata kuwa waziri mkuu Moja ya ngazi kubwa za uongozi Tanzania na ulikuwa na nafasi kwanini hukuyafanya kipindi hicho na useme utafanya sasa?"
Ngoyai aliishia kusema unanionea
Mwaka huu kaulizwa maswali bwana Tundu Antipass Lissu kwamba unaituhumu serikali kwamba ndo wamekushambulia na serikali hiyo hiyo kupitia wabunge wa CCM walichangia mpaka kukueezesha kufika Nairobi wakati chama chako hakijapata hela inakuwaje hii, Lissu akasema unajua mazingira yanaonesha ni serikali,
akaulizwa mbona alipokutembelea Mama samia Hassan Nairobi hukukataa na ukasema amsalimie rais na unashukuru kwa ujumbe wake hii imekaaje? Lissu mnajua alochojibu
Sasa ni zamu ya Bob Wine anaulizwa hapa sikiliza
anaulizwa unataka kumpindua M7? Bob anajibu hapana sitaki, je una mpango wa kuwa rais? Bob anasema tunachoangalia siyo nani ni rais, tunaangalia waganda kuwa free,
zuhura anauliza utasemaje uganda si free wakati uhuru wa mahakama ndo umeipinga serikali na kusema utibiwe nje?? Sikiliza majibu ya Bob Wine
Mwaka 2015 alimbana Lowassa kwa maswali baada ya Lowassa kujitapa akiwa rais atafuta rushwa na ufisadi, aliulizwa swali moja tu kwamba "Ulipata kuwa waziri mkuu Moja ya ngazi kubwa za uongozi Tanzania na ulikuwa na nafasi kwanini hukuyafanya kipindi hicho na useme utafanya sasa?"
Ngoyai aliishia kusema unanionea
Mwaka huu kaulizwa maswali bwana Tundu Antipass Lissu kwamba unaituhumu serikali kwamba ndo wamekushambulia na serikali hiyo hiyo kupitia wabunge wa CCM walichangia mpaka kukueezesha kufika Nairobi wakati chama chako hakijapata hela inakuwaje hii, Lissu akasema unajua mazingira yanaonesha ni serikali,
akaulizwa mbona alipokutembelea Mama samia Hassan Nairobi hukukataa na ukasema amsalimie rais na unashukuru kwa ujumbe wake hii imekaaje? Lissu mnajua alochojibu
Sasa ni zamu ya Bob Wine anaulizwa hapa sikiliza
anaulizwa unataka kumpindua M7? Bob anajibu hapana sitaki, je una mpango wa kuwa rais? Bob anasema tunachoangalia siyo nani ni rais, tunaangalia waganda kuwa free,
zuhura anauliza utasemaje uganda si free wakati uhuru wa mahakama ndo umeipinga serikali na kusema utibiwe nje?? Sikiliza majibu ya Bob Wine