Zuhura Yunusu wa BBC, ambana maswali Bob wine

Zuhura Yunusu wa BBC, ambana maswali Bob wine

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
Mwanadada mtanzania,ambaye anafanya kazi n.a. shirika la utangazaji la Uingereza BBC amekuwa mahiri katika kufanya mahojiano ya kuchokonoa , na kufanya duku duku la msikilizaji kuisha endapo anayehojiwa atatoa majibu fasaha,

Mwaka 2015 alimbana Lowassa kwa maswali baada ya Lowassa kujitapa akiwa rais atafuta rushwa na ufisadi, aliulizwa swali moja tu kwamba "Ulipata kuwa waziri mkuu Moja ya ngazi kubwa za uongozi Tanzania na ulikuwa na nafasi kwanini hukuyafanya kipindi hicho na useme utafanya sasa?"

Ngoyai aliishia kusema unanionea

Mwaka huu kaulizwa maswali bwana Tundu Antipass Lissu kwamba unaituhumu serikali kwamba ndo wamekushambulia na serikali hiyo hiyo kupitia wabunge wa CCM walichangia mpaka kukueezesha kufika Nairobi wakati chama chako hakijapata hela inakuwaje hii, Lissu akasema unajua mazingira yanaonesha ni serikali,

akaulizwa mbona alipokutembelea Mama samia Hassan Nairobi hukukataa na ukasema amsalimie rais na unashukuru kwa ujumbe wake hii imekaaje? Lissu mnajua alochojibu


Sasa ni zamu ya Bob Wine anaulizwa hapa sikiliza

anaulizwa unataka kumpindua M7? Bob anajibu hapana sitaki, je una mpango wa kuwa rais? Bob anasema tunachoangalia siyo nani ni rais, tunaangalia waganda kuwa free,
zuhura anauliza utasemaje uganda si free wakati uhuru wa mahakama ndo umeipinga serikali na kusema utibiwe nje?? Sikiliza majibu ya Bob Wine



 
Mwanadada mtanzania,ambaye anafanya kazi n.a. shirika la utangazaji la Uingereza BBC amekuwa mahiri katika kufanya mahojiano ya kuchokonoa , na kufanya duku duku la msikilizaji kuisha endapo anayehojiwa atatoa majibu fasaha,

Mwaka 2015 alimbana Lowassa kwa maswali baada ya Lowassa kujitapa akiwa rais atafuta rushwa na ufisadi, aliulizwa swali moja tu kwamba "Ulipata kuwa waziri mkuu Moja ya ngazi kubwa za uongozi Tanzania na ulikuwa na nafasi kwanini hukuyafanya kipindi hicho na useme utafanya sasa?"

Ngoyai aliishia kusema unanionea

Mwaka huu kaulizwa maswali bwana Tundu Antipass Lissu kwamba unaituhumu serikali kwamba ndo wamekushambulia na serikali hiyo hiyo kupitia wabunge wa CCM walichangia mpaka kukueezesha kufika Nairobi wakati chama chako hakijapata hela inakuwaje hii, Lissu akasema unajua mazingira yanaonesha ni serikali,

akaulizwa mbona alipokutembelea Mama samia Hassan Nairobi hukukataa na ukasema amsalimie rais na unashukuru kwa ujumbe wake hii imekaaje? Lissu mnajua alochojibu


Sasa ni zamu ya Bob Wine anaulizwa hapa sikiliza

anaulizwa unataka kumpindua M7? Bob anajibu hapana sitaki, je una mpango wa kuwa rais? Bob anasema tunachoangalia siyo nani ni rais, tunaangalia waganda kuwa free,
zuhura anauliza utasemaje uganda si free wakati uhuru wa mahakama ndo umeipinga serikali na kusema utibiwe nje?? Sikiliza majibu ya Bob Wine




We huna akili kwani wabunge wa ccm kumchangia lisu matibabu ndo kunaiondolea tuhuma selikari, mbona mume akimuumiza mke kwenye ugomvi humpeleka hosipitali atibiwe, kwa hiyo mume hana.Hatia,
 
Mkuu mmi si nanhii,2lifanya mahojiano kuhusiana na mambo ya kilimo na siyo siasa....
Am not interested in politics
Kumbe nimekupata, habari ya biharamulo mkuu??
 
Mwanadada mtanzania,ambaye anafanya kazi n.a. shirika la utangazaji la Uingereza BBC amekuwa mahiri katika kufanya mahojiano ya kuchokonoa , na kufanya duku duku la msikilizaji kuisha endapo anayehojiwa atatoa majibu fasaha,

Mwaka 2015 alimbana Lowassa kwa maswali baada ya Lowassa kujitapa akiwa rais atafuta rushwa na ufisadi, aliulizwa swali moja tu kwamba "Ulipata kuwa waziri mkuu Moja ya ngazi kubwa za uongozi Tanzania na ulikuwa na nafasi kwanini hukuyafanya kipindi hicho na useme utafanya sasa?"

Ngoyai aliishia kusema unanionea

Mwaka huu kaulizwa maswali bwana Tundu Antipass Lissu kwamba unaituhumu serikali kwamba ndo wamekushambulia na serikali hiyo hiyo kupitia wabunge wa CCM walichangia mpaka kukueezesha kufika Nairobi wakati chama chako hakijapata hela inakuwaje hii, Lissu akasema unajua mazingira yanaonesha ni serikali,

akaulizwa mbona alipokutembelea Mama samia Hassan Nairobi hukukataa na ukasema amsalimie rais na unashukuru kwa ujumbe wake hii imekaaje? Lissu mnajua alochojibu


Sasa ni zamu ya Bob Wine anaulizwa hapa sikiliza

anaulizwa unataka kumpindua M7? Bob anajibu hapana sitaki, je una mpango wa kuwa rais? Bob anasema tunachoangalia siyo nani ni rais, tunaangalia waganda kuwa free,
zuhura anauliza utasemaje uganda si free wakati uhuru wa mahakama ndo umeipinga serikali na kusema utibiwe nje?? Sikiliza majibu ya Bob Wine




Zuhura Yunus yuko vizuri sana katika mahojianao na maswali yake tata, ukiwa mwepesi wa hasira unaweza kumpigia kibao
 
Lissu kweli aliyumba. Elimu zetu za kukariri hizi ni shida sana.

Nasubiri siku ya mahojiano ya Zuhura na Mh. Mbowe. [emoji23]


Mbowe alishakataa, akatoa masharti aletewe maswali miezi mitatu kabla ili ajiandae.
 
Back
Top Bottom