Zuhura Yunusu wa BBC, ambana maswali Bob wine

Zuhura Yunusu wa BBC, ambana maswali Bob wine

zuhura nae wenge.
Uganda INA Uhuru gani wakati kila uchaguzi anashinda MTU mmoja.
Matukio anayofanyiwa kiongozi wa upinzani huko Uganda yeye hayaoni?
MAHAKAMA IMEFANYA NINI KUTETEA HAKI NA USAWA KWA WAPINZANI?
 
zuhura nae wenge.
Uganda INA Uhuru gani wakati kila uchaguzi anashinda MTU mmoja.
Matukio anayofanyiwa kiongozi wa upinzani huko Uganda yeye hayaoni?
MAHAKAMA IMEFANYA NINI KUTETEA HAKI NA USAWA KWA WAPINZANI?
Yeye hujamuelewa nakuwa anachokonoa ufunguke
 
Nakumbuka Magufuli alikimbia mahojiano na Zuhura kwa speed ya 5G.
 
Mimi nilishawahi kupewa namba ya huyo dada na mtu ili nimtongoze aliniuliza maswali magumu Hadi nitamuuliza eti ukitaka kwenda mbinguni unapitia njia gani ??
 
Angalia Interview yake na Salama Jabir ndo utajua Kuwa Zuhura nae alikutana na mbabe wake
 
We huna akili kwani wabunge wa ccm kumchangia lisu matibabu ndo kunaiondolea tuhuma selikari, mbona mume akimuumiza mke kwenye ugomvi humpeleka hosipitali atibiwe, kwa hiyo mume hana.Hatia,
Kwahiyo Lisu alipigwa na mume?[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Mwanadada mtanzania,ambaye anafanya kazi n.a. shirika la utangazaji la Uingereza BBC amekuwa mahiri katika kufanya mahojiano ya kuchokonoa , na kufanya duku duku la msikilizaji kuisha endapo anayehojiwa atatoa majibu fasaha,

Mwaka 2015 alimbana Lowassa kwa maswali baada ya Lowassa kujitapa akiwa rais atafuta rushwa na ufisadi, aliulizwa swali moja tu kwamba "Ulipata kuwa waziri mkuu Moja ya ngazi kubwa za uongozi Tanzania na ulikuwa na nafasi kwanini hukuyafanya kipindi hicho na useme utafanya sasa?"

Ngoyai aliishia kusema unanionea

Mwaka huu kaulizwa maswali bwana Tundu Antipass Lissu kwamba unaituhumu serikali kwamba ndo wamekushambulia na serikali hiyo hiyo kupitia wabunge wa CCM walichangia mpaka kukueezesha kufika Nairobi wakati chama chako hakijapata hela inakuwaje hii, Lissu akasema unajua mazingira yanaonesha ni serikali,

akaulizwa mbona alipokutembelea Mama samia Hassan Nairobi hukukataa na ukasema amsalimie rais na unashukuru kwa ujumbe wake hii imekaaje? Lissu mnajua alochojibu


Sasa ni zamu ya Bob Wine anaulizwa hapa sikiliza

anaulizwa unataka kumpindua M7? Bob anajibu hapana sitaki, je una mpango wa kuwa rais? Bob anasema tunachoangalia siyo nani ni rais, tunaangalia waganda kuwa free,
zuhura anauliza utasemaje uganda si free wakati uhuru wa mahakama ndo umeipinga serikali na kusema utibiwe nje?? Sikiliza majibu ya Bob Wine



Britannica hivi unaweza kutetea kwanini CCM na mgombea wake waligoma kufanya mahojiano na BBC 2015 ?!. Kama una akili vizuri tetea na hilo?! Bora kina Wine, Lissu na Lowassa wamekubali kufanya mahojiano pamoja na maswali yao chokonozi
 
Back
Top Bottom