Zuhura Yunusu wa BBC, ambana maswali Bob wine

Unawapenda madikteta?
 
Alijibu kuwa mahakama na serikali wameruhusu kwa sababu ya presha ya wananchi ndani ya Uganda na nje ya Uganda, kitu ambacho ni kweli, sasa sijui huko kubana kukoje!
 
Awali wanaume walikuwa wanamuogopa kwa kuwa anajiamini ila ni mke wangu wa ndoa. nani aliyekuambia hajaolewa?
 
Maswali yanaandaliwa kwa msaada wa mhariri kwenye postmortem ya waandishi huku mwandishi mtarajiwa aliyechaguliwa kwenda kufanya interview akiwepo kuchangia haina ya MASWALI atakayokwenda kumuuliza mgeni wake.

Naona wengi wa wadau humu mnamuona Zuhura Yunus kama ni kichwa kutokana na maswali anayo wahoji wageni wake, kumbukeni BBC siyo Blog kwamba mhariri, mpiga picha, mwandishi, mrusha story ndiye huyo huyo, hana postmortem.
 
Hao ndio waandishi wanaojua wanachokifanya. Sio wakina kitenge wanaobwabwaja tu
 
Waandishi wa Tanzania wana la kujifunza toka kwa bibie Zuhra Yunusi.

Unakuta mwandishi / mtangazaji wa habari anauliza maswali ya kipumbavu mpaka unatamani kuvunja TV!!

Wajifunze.
 
We huna akili kwani wabunge wa ccm kumchangia lisu matibabu ndo kunaiondolea tuhuma selikari, mbona mume akimuumiza mke kwenye ugomvi humpeleka hosipitali atibiwe, kwa hiyo mume hana.Hatia,
Zuhura au alietoa post?
 
anajitahidi ku balance story . radio inasikilizwa na makundi mawili wanaopinga na wanaoafiki . maswali yote lazima uulize
 
Huyu Dada ana maswali magumu sana,alushawahi kunihoji asee nlpata tabu sana...ila uctake kujua alnihoji kama nani...
tushakujua Eddo, ila pole sana maana ulipata tabu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…