Zumaridi aandike Biblia yake mwenyewe kama walivyofanya manabii wa zamani

Akishakua mkristo manake hawezi kuanzisha dini yake ,tayari ameshajiita mkristo,inabidi abuni jina la imani yake yeye
 
Muhamad hakuanzisha Uislam alikuja kuukamilisha ulikuwepo tangu enzi za Nabii Adam
Acha uongo ,lete ushahidi nje ya quran ya muhamad kama kulikua na dini inayoitwa uislam kabla muhamad hajazaliwa
 
Na ukaamini[emoji23][emoji23]
Nimemuuliza kwenye hao wazee 24 hakuniona? Maana mimi ni mojawapo ya hao wazee 24.

Ufunuo wa Yohana una tofauti gani na ufunuo wa Umaridi?😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…