fogoh2
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 5,305
- 5,355
Na ukaamini[emoji23][emoji23]Mi nimeona Kuna uwanja mpana usio na mwisho, wazee 24, maserafi na makerubi wakiinama na kuinuka kumtukuza Mungu.[emoji4]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ukaamini[emoji23][emoji23]Mi nimeona Kuna uwanja mpana usio na mwisho, wazee 24, maserafi na makerubi wakiinama na kuinuka kumtukuza Mungu.[emoji4]
Akishakua mkristo manake hawezi kuanzisha dini yake ,tayari ameshajiita mkristo,inabidi abuni jina la imani yake yeyeUnawajua Mormon?
Kajifunze ni watu gani hao. Wana biblia yao sambamba na biblia ya kawaida na ni wakristo.
Wasabato pia, vitabu vya Elen G white ni sawa na biblia na bado ni wakristo.
Hakuna ubaya wa Zumaridi kua na biblia yake sambamba na hii ya kawaida na bado akawa mkiristo
Muhamad hilo halina ubishi ,kama utabisha ulete ushahidi nje ya quran kama huko nyuma kulikua na dini inaitwa uslamuAlieanzisha uislamu ni nani mkuu?
Acha uongo ,lete ushahidi nje ya quran ya muhamad kama kulikua na dini inayoitwa uislam kabla muhamad hajazaliwaMuhamad hakuanzisha Uislam alikuja kuukamilisha ulikuwepo tangu enzi za Nabii Adam
Achana na imani yake jibu swaliMkuu Wewe ni Muilsam??! Tuanzie hapo
Nimemuuliza kwenye hao wazee 24 hakuniona? Maana mimi ni mojawapo ya hao wazee 24.Na ukaamini[emoji23][emoji23]