Zunguka Tanzania nzima ukipata mwanamke mrembo kumzidi huyu nidai milioni

Tanzania ipi ilozunguka ww ?huyo zali kakulia maisha yashida hela kapata ukubwani .kuna wanawake wanamwili laini toka azaliwe hajawai kuchomwa najua .hajui kukosa hajui shida ninini .unaishi Tanzania gani ww ?? Wapo wanawake wazuri huyo zari falatu .sema hatuwezi kuweka pichazao sowauza sura .
 
Tanzania ipi ilozunguka ww ?huyo zali kakulia maisha yashida hela kapata ukubwani .kuna wanawake wanamwili laini toka azaliwe hajawai kuchomwa najua .hajui kukosa hajui shida ninini .unaishi Tanzania gani ww ?? Wapo wanawake wazuri huyo zari falatu .sema hatuwezi kuweka pichazao sowauza sura .
 
Wala sishangai ni maono yako tu
 
vitoto vya siku hiz vijingajinga tuu!..unamchukua mganda unamfananisha na mTz!!...
hivi zari anawafikia kwa uzuri madam rita na @J.N Mengi au ndo mahaba ya diamond wenu mnafikia kashfu all beautiful ladies in Tanzania!..
 

Rita Paulsen
 
Dah! Pakawa tangu nikufahamu sijawahi kukusoma kukasirika kiasi hiki hata kule kwenye jukwaa la kuudhi.
Sasa najua kwamba Pakawa anajua kukasirika.

Kuna Dada mmoja wa kipare mie humuita huyu Halle Berry wa Kibongo lakini kamzidi uzuri Halle Berry kwa mbali sanaaaaa. Huyo dada ni mzuri jamani! Kila kitu chake kuanzia kwenye unyayo hadi utosini. Kwao wote wamezaliwa wazuri mno lakini yeye ni funga kazi. Mungu aliamua kumuumba.

 
Perception of beauty is subjective. Kwako wewe inawezekana akawa ni mrembo kama jini kwa wengine hafai. Kisha ushawahi kumuona make up free ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…