Kwa umri au urembo?Jack kamzidi Zari
Hahahhhhhh mara moja moja nakasirika hasa pale mtu atamdhalilisha au hatamthamini Mtanzania. Naipenda Tz yangu na watu wake.Dah! Pakawa tangu nikufahamu sijawahi kukusoma kukasirika kiasi hiki hata kule kwenye jukwaa la kuudhi.
Sasa najua kwamba Pakawa anajua kukasirika.
Kuna Dada mmoja wa kipare mie humuita huyu Halle Berry wa Kibongo lakini kamzidi uzuri Halle Berry kwa mbali sanaaaaa. Huyo dada ni mzuri jamani! Kila kitu chake kuanzia kwenye unyayo hadi utosini. Kwao wote wamezaliwa wazuri mno lakini yeye ni funga kazi. Mungu aliamua kumuumba.
Anaitwa Nani huyu mkuu?
Sikuwa najua, kumbe! Na zari je, kwenye 198 ngapi vile?Yaani ukimwona Jack huwezi amini ni mwanamke anaingia 40 mwaka ujao utafikiri ni msichana wa late twentiesJack kazaliwa 1978
Utakuwa na matege ya macho wewe!Sio kwamba natafta kiki au nasifia sana au vipi, ila nasema hivi zunguka tanzania nzima ukikutana na mwanamke wa miaka zaidi ya 34 ambae anamwonekano au uzuri kumzidi huyu zari basi naomba nidai milioni moja, sutaniii, tuwekee picha ya huyo mwanamke hapa na sisi tutalinganisha kama kweli amemzidi zari,
Mtoto mashallah...
Mkuu, Jackie wa Mengi ana umri kumzidi Zari?Sidhani.[/QUOTE
34 yrs..... Ukibisha nakuda data.. Zari akajikusanye kwanza kwa hiki chuma halaf arud hapa kuomba pooo
❤Pumbavu kabisa zari ni Mtanzania mpaka umfananishe na wanawake wa Kitanzania
Nenda kwenye Forum za waganda ukapeleke upuuzi wako
Kwa hivi na mama yako aliyekuzaa hamfikii huyu ma....a
Watanzania aliywaloga nani???
Mkamfananishe na Waganda wenzie tuondolee huu upupu zari zari nyambafu kabisa
I value myself n every Tanzanian Woman******* I mean Tanzanians
teh..teh..umetoa povu lakini umeandika vizuriPumbavu kabisa zari ni Mtanzania mpaka umfananishe na wanawake wa Kitanzania
Nenda kwenye Forum za waganda ukapeleke upuuzi wako
Kwa hivi na mama yako aliyekuzaa hamfikii huyu ma....a
Watanzania aliywaloga nani???
Mkamfananishe na Waganda wenzie tuondolee huu upupu zari zari nyambafu kabisa
I value myself n every Tanzanian Woman******* I mean Tanzanians
kama mbaya mbaya tuu, hata ukitoa povuPumbavu kabisa zari ni Mtanzania mpaka umfananishe na wanawake wa Kitanzania
Nenda kwenye Forum za waganda ukapeleke upuuzi wako
Kwa hivi na mama yako aliyekuzaa hamfikii huyu ma....a
Watanzania aliywaloga nani???
Mkamfananishe na Waganda wenzie tuondolee huu upupu zari zari nyambafu kabisa
I value myself n every Tanzanian Woman******* I mean Tanzanians
Kwa taarifa yako, hakuna mwanamke mzuri kama mama yangu, na picha yake siiweki hapa.!!Sio kwamba natafta kiki au nasifia sana au vipi, ila nasema hivi zunguka tanzania nzima ukikutana na mwanamke wa miaka zaidi ya 34 ambae anamwonekano au uzuri kumzidi huyu zari basi naomba nidai milioni moja, sutaniii, tuwekee picha ya huyo mwanamke hapa na sisi tutalinganisha kama kweli amemzidi zari,
Mtoto mashallah...
Mi nilidhani akili yenyewe hana kabisaMbona umedumaa akili