Zunguka Tanzania nzima ukipata mwanamke mrembo kumzidi huyu nidai milioni

Dada inaonekana una sura mbovu , mbona umetokwa sana povu[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
mkuu Traveller X wanasema uzuri upo katika macho ya anaeona. Unachokiona wewe kizuri kwa wenzanko ni cha kawaida sana. Siku zote usipendelee kulinganisha uzuri wa baina ya mtu na mtu ama kabila hili na lile. Binafsi mwaka 2015 niliwahi kukutana na dada mmoja above 40, pale Mwanza hotel na kusafiri kwangu kote sijawahi kukutana na kiumbe kama kile.
 
Mkuu kama umewahi kwenda kuzika misiba ya waislamu,chukua hili.UZURI WA JENEZA NDANI KUNA MAITI. Jeneza linapambwa na Nguo nzuri huku nje ndani kalala kiumbe ambae haongei huo ni mfano ambao umuonavyo Z wako, ajuaye siri yake ni anaemvua nguo ya kwanza kuvaliwa na ya mwisho kuvuliwa mwilini mwa mwanadamu siku zote,Huyo ndio anajua uzuri na ubovu wake
 
Wazuri hawajipost post mitandaoni...chema chajiuza kibaya chajitembeza...
Huyo urembo ni baraka ya pesa kununua vipodozi original sio vyetu vya mia 5 kesho vinatutoa chunusi.. awe hana pesa kabisaaaa mwezi tu halafu tuletee tena hapa...
Mi mzuriii mara elfu ya huyo[emoji108] [emoji108] ...kama hutaki kaa hapo hapo!
 
hiv kiwango chako cha elimu dalasa la ngapi maana unafikilia ujinga sana watu kama nyie wanaume ndio mashoga
 
Mboni masimba anamiaka mingapi naye kisu namkubali
 
Tatizo la Zari hana tak.o kabisa.. Mwanamke bila ta.ko bana hanogi tusilazimishe mambo..
 
Duh sio kwa kupanic hivi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…