Zunguka Tanzania nzima ukipata mwanamke mrembo kumzidi huyu nidai milioni

Zunguka Tanzania nzima ukipata mwanamke mrembo kumzidi huyu nidai milioni

Acha kuongea pumba wewe...tena jifiche watu wasiuone USO wako...mbona hata mke wangu ni mzuri zaidi yake?
 
Yaan nizunguke tanzania nzima natafuta mwanamke aliemzidi zari ili iwe nini? Basi nitakuwa nimewehuka nikapimwe akili aisee huyo wa kawaida sana tembea singida, manyara, arusha, kondoa, tanga kuna wanawake wana uzuri wa asili sio vipodozi
 
Acha kuongea pumba wewe...tena jifiche watu wasiuone USO wako...mbona hata mke wangu ni mzuri zaidi yake?
sikatai mke wako ni mzuri ila weka picha yake bas ili tuamini maneno yako, lasivyo utakua unabwatuka tu bila ushahidi
 
Umechanganywa na hizo make ups plus fake hairs... Ukimuona akiwa natural, hutotamani umwangalie mara mbili...
 
Sio kwamba natafta kiki au nasifia sana au vipi, ila nasema hivi zunguka tanzania nzima ukikutana na mwanamke wa miaka zaidi ya 34 ambae anamwonekano au uzuri kumzidi huyu zari basi naomba nidai milioni moja, sutaniii, tuwekee picha ya huyo mwanamke hapa na sisi tutalinganisha kama kweli amemzidi zari,

Mtoto mashallah...

Wanakuja dada zetu na mapovu! ukiambiwa ana watoto 5 hutaamini naoona na ile kitu chini itakuwa imebaba
 
Umechanganywa na hizo make ups plus fake hairs... Ukimuona akiwa natural, hutotamani umwangalie mara mbili...
natural kama huyu.dada zetu ni hawa hata miaka 20 hana
dada zetu.jpg
 
Wewe unamuona zari kwenye mapicha picha tu unansifia. Mtafte kile uone.
 
Tupia kapicha kake asubuhi akiamka tuthaminishe,hizo makeup mbwembwe tu!mwanamke asiyeweza hata kumlilia mama yake kwa kuhofia podari kuporomoka ana uzuri gani!so afadhali hata Nyamayao tu. Tchaaa.
 
Sio kwamba natafta kiki au nasifia sana au vipi, ila nasema hivi zunguka tanzania nzima ukikutana na mwanamke wa miaka zaidi ya 34 ambae anamwonekano au uzuri kumzidi huyu zari basi naomba nidai milioni moja, sutaniii, tuwekee picha ya huyo mwanamke hapa na sisi tutalinganisha kama kweli amemzidi zari,

Mtoto mashallah...

Uzuri wa Zari ni kwa standards (vigezo) vya kizungu. Kwa vigezo vyangu vya kiafrika zari si mrembo........ hana mzigo wa maana ana shepu ya kizungu! (sorry diamond)
 
Pigisha kura mkuu.

images


images

images



images



Huyu ana umri zaidi ya Zari lakini una mwona?

Lakini pia yawezekana mjukuu wangu Zari akafubaa mwonekano kwa ajili ya stress za maisha ya upuuzi wa mumewe!. Angelikuwa na mtu kam aMzee Mengi, bila shaka angelikuw atofauti. Asingeonekan mtu wa huzuni na mashaka kila wakati.
Mkuu, Jackie wa Mengi ana umri kumzidi Zari?Sidhani.
 
hahahahaha huu uzi mtamu kweli watu wamekereka sana hahaha jf raha sana
 
Sio kwamba natafta kiki au nasifia sana au vipi, ila nasema hivi zunguka tanzania nzima ukikutana na mwanamke wa miaka zaidi ya 34 ambae anamwonekano au uzuri kumzidi huyu zari basi naomba nidai milioni moja, sutaniii, tuwekee picha ya huyo mwanamke hapa na sisi tutalinganisha kama kweli amemzidi zari,

Mtoto mashallah...

Waganda ukiwaambia kuhusu Zari huwa wanasema .....Zari Umkalu, ....Zari atanaamanzi......Uliza maana ya hayo maneno halafu urudi kumsifia Zari wako.
 
Back
Top Bottom