Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Naomba anayeweza kuweka picha ya mtangaziji huyu wa Clouds fm-power breakfast Barbra Hasan, aiweke tafadhari. Kama nimekukera nipotezee.
0 Reactions
45 Replies
14K Views
PAMOJA na kukataa kumwanika hadharani mpenzi wake mpya, staa wa filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe amesema kuwa akipigwa chini na jamaa yake huyo, atatimka nchi na kwenda kuolewa...
0 Reactions
14 Replies
10K Views
UKWELI wa mambo juu ya msanii anayependa kulipuka pamba Hemed Suleiman ’Hemedi’ almaarufu kama PHD au Alejandro, umevuja kwani inadaiwa kuwa nguo zote anazoonekana anavaa huwa anachukua kwa...
0 Reactions
40 Replies
7K Views
Cdm sijawaona Nape kaongoza mazishi na eneo zima limepambwa kwa rangi za kijani...kulikoni?
0 Reactions
158 Replies
25K Views
Diamond ni celebrity wetu na ni wazi kuwa wadogo zetu wengi walioko mashuleni watakua wanamuona kama role model na watakua wanaichukulia mistari ya nyimbo zake seriously. Alipotoa nyimbo ya...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Dj Choka Well,leo ni one of the best days ever kwa Blogger pamoja na Dj maarufu wa bongo Flava na Hip Hop ya Kitanzania, Dj Choka, ambaye mapema leo, yeye na Baby mama wake wamejaaliwa mtoto...
1 Reactions
24 Replies
5K Views
Muigizaji wa tasnia ya Bongo Movie John Stephan Maganga ambaye filamu yake ya mwisho inayoweza kuwakumbusha watu wengi taswira yake, kwa wale wanaotaka kumjua ni “BAR AHMED” iliywashirikisha...
0 Reactions
19 Replies
6K Views
No. 1: Hasheem Thabeet: (The Untouchable) Fame favours the young. If you doubt that, just take a look at this man. He's only 24 years old and yet so rich. Hasheem Manka Thabeet, kijana...
6 Reactions
165 Replies
241K Views
The media has been abuzz lately after the story about former Kenyan based Tanzanian songstress Ray C was released. Ray C whose drug addiction exponentially spiralled in Kenya was some months ago...
0 Reactions
22 Replies
6K Views
Busty ... singer wore another cleavage-enhancing outfit INFphoto.com She teamed the busty garment with some military style trousers and added inches to her black hair with the help of long...
0 Reactions
26 Replies
21K Views
  • Closed
Kuna ukweli gani kati ya mzee majuto na sharo? Kuna sehemu nimesikia ya kwamba zaidi ya kuigiza pamoja king majuto na sharo wana mahusiano ya karibu(baba na mwana). Pia nilikwisha wai kusikia...
0 Reactions
31 Replies
6K Views
haya ni maneno ndani ya wimbo mpya wa nay wa mitego,unaitwa wamenichokoza,kuna msitali anasema,NDANI YA POCHI YA MALAYA.,HAPAKOSEKANI PODA NA WANJA.kuna verse kaponda wanasiasa kwamb wanachochea...
0 Reactions
17 Replies
18K Views
Na Mwandishi Wetu SIYO habari mpya kwamba ule uchumba wa kitajiri kati ya staa wa filamu Bongo, Jacqueline Wolper Massawe na mfanyabiashara ‘mjanjamjanja', Abdallah Mtoro ‘Dallas'...
0 Reactions
10 Replies
6K Views
  • Closed
Msanii wa bongo movie na bongo fleva,flora Mvungi ameibuka na kudai kuwa ana majina 10 ya wabunge ambao tayari washatembea na irene uwoya na atayaanika majina ayo wakati wowote. amesema anajua...
0 Reactions
28 Replies
8K Views
Mara nyingi nimekuwa nikifuatilia performance ya wanamuziki wetu hasa wa Bongo flava wanapokuwa stejini, kwa ujumla inakera. Inafikia hatua mpaka unajiuliza hivi huyu ndiye mwenye wimbo ninao...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Dada huyooo anaolewa, mahari ishatolewa... aaah dada huyo anaolewa. Shilole akiwa katika vazi la harusi.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Barnaba Boy Msanii Barnaba Elias ambaye anajulikana kwa sasa kama Baba Steve amekumbwa na maswahibu mfululizo ambayo itambidi kuwa makini la sivyo na yeye ataingia kwenye vitabu vya wasanii...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
MSANII wa muziki wa kizazi kipya ambaye amejikita kwenye muziki wa mduara zaidi Ally Ramadhani ‘AT’, sasa anaitwa baba, kwani mke wake ambaye alifunga naye pingu za maisha amejifungua mtoto wa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Muhammad Ali -Then And Now (Documentary with David Frost) - YouTube Ni mevutiwa na maelezo yake
1 Reactions
2 Replies
2K Views
The tennis champ posted these photos on her instagram page. Pictures taken during a trip to the Caribbean Isle...
0 Reactions
3 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…