Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Scandal inayohusiana na wimbo mpya wa Diamond ‘Nataka Kulewa’ imeendelea kuchukua sura mpya baada ya H.Baba leo kuuambia mtandao huu kuwa Diamond Platnumz ameanza kutuma watu wake ili waiibe flash...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Bibie Abti Ezekiel akiwa na wapambe wake na nguo maalum za kukatia mauno kwenye Ngoma ya Kibao kata Mauno yakizungushwa kabla ya kuchanganya Mauno yalipomkolea akalala chini na kuzungusha...
0 Reactions
40 Replies
33K Views
Haaaahaaaaaaaaaa mungu mkubwa kweli anaposema wawili wataunganika na kuwa kitu kimoja aijalishi we ni kituko kiasi gan mbele ya jamiii bado neno la mungu litasimama pale pale na hatimae aunt...
0 Reactions
31 Replies
17K Views
mwana dada kakamua si mchezo. mi nlijua yupo kwenye siasa tu kumbe hata kwenye mziki anabamba kinyama. kaza buti dada. mia
1 Reactions
30 Replies
5K Views
MAMA mzazi wa staa wa Bongo Fleva mwenye skendo ya kubwia madawa ya kulevya, Rehema Chalamila ‘Ray C’, Magret Mtweve ametoa tamko kali dhidi ya aliyekuwa mpenzi wa mwanae, Isaac Makuto ‘Lord...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
TBC1:kila J2 saa 3:30PM,Never miseeee!! Ukitaka ku-hang na selebu unayempenda ebu kodolea macho hicho kipindi na uweze jua jinsi ya kushiriki.
0 Reactions
23 Replies
6K Views
WAKATI ikidaiwa kuwa msanii wa muziki wa kizazi kipya Matonya, alifungiwa ndani kimapenzi na mmoja ya wasanii wa bongo movie na kulizwa shilingi za kitanzania milioni 6, sasa ameamua kuweka wazi...
0 Reactions
21 Replies
5K Views
Hashim Thabit: Enzi hizo tukiwa naye dodoma 90's yeye na mama yake walikuwa wakijikimu kimaisha kwa kuuza kahawa na kashata,hashim ndio aliyekuwa muuzaji,kweli maisha yana badirika,kwahyo vijana...
0 Reactions
36 Replies
7K Views
hata kusimama inaanza kuwa shida si upumzike na unataka uraisi 2015 tena jamani?
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wanajamii Hivi karibuni kumeibuka wizi wa vifaa vya magari maeneo mbalimbali,especially jiji la Dar.Wizi huu umekuwa ukifanyika kwenya maeneo ya maegesho na hata majumbani nyakati tofauti tofauti...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mimi napata taabu sana kulielewa hili kwa maStar wa bongo, especially wanawake.... Hivi hamuoni kuwa mnajidhalilisha kwa kuonyesha nyeti zenu mbele ya kadamnasi, au msipofanya hivyo mtapunguza...
0 Reactions
16 Replies
6K Views
abari kubwa weekend hii kwenye website, blogs za burudani na mitandao ya kijamii nchini ni kuhusiana na tukio la rapper wa kundi la Nako 2 Nako, Lord Eyez kudaiwa kuhusika kwenye wizi wa baadhi...
0 Reactions
27 Replies
9K Views
Msanii wa filamu na muziki wa kizazi kipya bongo Baby Madaha, yupo katika huzuni kubwa baada ya kumpoteza mama yake mazazi jana usiku baada ya kuumwa kwa muda. Mwili wa marehemu...
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Irene Uwoya apata msiba wa baba yake mdogo ambaye ni padre, huyu padre ndo alisafiri toka moshi kuja dar kufungisha ndoa ya Irene na ndikumana, mungu amrehemu padre uwoya, kafariki jana katika...
0 Reactions
16 Replies
6K Views
Jana kuna vijana kama wanne walikuwa na tiketi za VIP B,lakini wao wakataka kuingia VIP A,polisi wakawakatalia,jamaa wakaanza vurugu za hapa na pale,lakini wakatolewa kwene lile eneo la VIP...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Ney wa Mitego, yupo kwenye hatihati ya kufungiwa na Baraza la Sanaa Tanzania (Basata) baada ya kuachia remix ya wimbo wake wa Nasema Nao iliyojaa matusi na...
0 Reactions
37 Replies
13K Views
Dogo kafanya matusi makubwa, Wema alihudhuria, inadaiwea ndiye aliyemgharamia vitu kibao, wanawake wa mjini wale wanapenda sifa wote walikuwepo, jamani dogo atawamaliza au ndude yake ita-expire...
0 Reactions
35 Replies
10K Views
  • Closed
Kweli mzee kautumia ubunge wake vizuri.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
ndio nimegundua leo kuwa Ngeleja ni mwanasheria alimaliza sheria mwaka 1994 pale udsm akiwa na mh. Tundu Lisu, Dr.Eliezer Mbuki Feleshi (dpp)...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Back
Top Bottom