Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

  • Closed
Jacqueline Ntuyabaliwe Kwa wapenzi wafuatiliaji wa Miss Tanzania 2000, habari kutoka kwa Sports Lady, Dina Ismail zinasema -- MISS Tanzania 2000 Jacquiline Ntuyabaliwe amefanikiwa kujifungua...
1 Reactions
52 Replies
28K Views
  • Closed
Wema sepetu akiwa ndani ya mjengo wake wa nguvu maeneo ya K'nyama. Anadai ni yake amenunua, mapambo tu yanagharimu zaidi ya milioni 50 za kitanzania. usikose kusikiliza kipindi cha take one clouds...
3 Reactions
79 Replies
26K Views
Jana mtu mzima AY katokelezea kwenye segment ya copy and paste kwenye kipind cha orijino commedy -TBC 1,shukrani zimwendee joti kwa kuwafichua vilaza wote wanaojiita wanamziki,
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Hivi huyu Rita poulsen ameolewa? au kaposwa? kwa sbb ana ukosha sn moyo wng yupo bomba mbaya najpanga kufanya mipango lkn kabla cjafanya mipango ya kumfata naomba mwenye kujua details zake anipe...
0 Reactions
32 Replies
14K Views
Nilikua na hamu kweli ya kuangalia mahojiano ya Mrisho Mpoto 'Mjomba' na Salama kwenye kipindi cha Mkasi nikitegemea kukutana na Kiswahili kilichonyooka na misemo mitamumitamu ya Kiswahili...
0 Reactions
19 Replies
9K Views
Wameachia wimbo mkali unaitwa Morogoro,hii imetokana na wimbo walioutoa wana kigoma na wao wakaamua kuwapiga bao!! Big up Morogoro allstars!
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Mbunge wa MBEYA MJINI,MH.JOSEPH MBILINYI,jana amebarikiwa kupata mtoto wa kike alompa jina la SASHA-DESDERIA,na mama wa mtoto huyo anaitwa FAIZA..
0 Reactions
31 Replies
6K Views
Clouds haiwathamini wasanii wa bongo,wamerusha hewani show ya wasanii wa bongo halafu hawakuonyesha ya Rick Ross,wangeonyesha show zote au wasionyeshe zote.
0 Reactions
25 Replies
4K Views
  • Closed
STAA wa filamu Bongo, Lulu Mathias ‘Aunty Lulu' ametoa la moyoni kuwa, anaumizwa na kitendo cha baadhi ya wanaume kumtumia kimwili kisha kumtosa. Akizungumza kwa masikitiko hivi karibuni...
0 Reactions
35 Replies
12K Views
Yaani too much .
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nimehudhuria show nyingi za pamoja kama Fiesta zinazowakutanisha wasanii wa muziki wa aina tofauti.Nimegundua wasanii wa Bongofleva a.k.a wabana pua huwa wanapotezwa vibaya na wasanii wa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Aisee fiesta fell out of expectation, watu ni wachache, na wengi wao waliopo ni watoto wa secondary, ukiviona vidogo ,vinakunywa bia na fegi. Wale vijana wanaofeli fom 4 ndo wateja wa fiesta...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Mnao dai wema sepetu ni masonic hakuna kitu kama hicho,baadhi ya mastaa hapa bongo hupenda kujifanya ni freemasons kwamba ni fashion.. A WOMAN CAN NEVER BE A FREEMASON...NEVER Kama unamjua...
0 Reactions
42 Replies
10K Views
MSANII ndani ya tasnia ya filamu na tamthilia za kibongo Rayuu, azidi kujichora tattoo kwenye mwili wake ambapo sasa aamua kuchora kiunoni na sehemu nyingine nyeti.
1 Reactions
33 Replies
7K Views
Heshima mbele wakuu. Duh, yani naangalia show ya fiesta live kutoka clouds tv. Nadiriki kusema Joh Makini amefunika mbaya. Nahisi kama yeye ndo kadumu stejini muda mrefu zaidi ya wasanii wote na...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Miss Tanzania 1994-2001
0 Reactions
20 Replies
30K Views
Heshima kwenu wadau.. Rita Paulsen anamiliki Benchmark productions ambayo ni kampuni ya kutengeneza music videos, matangazo na engineyo.. Kuonyesha kwamba productions zake ni magumashi na hata...
0 Reactions
39 Replies
10K Views
Msanii wa bongo fleva aliye kuwa anajiita q chief, sasa hivi anajiita CHICHI. Hii a.k.a yake mpya ya chichi imeleta gumzo kitaa baada ya kuonekana hilo jina la chichi linatumika kuwatambulisha...
0 Reactions
23 Replies
6K Views
Nimesoma mahali kwamba siku chache zilizopita huyu mdada ametimiza miaka 22, yet mwaka 2006 alishiriki shindano la kumtafuta Miss Tanzania, na akatwaa hilo taji hivyo akawakilisha jina la Tanzania...
1 Reactions
39 Replies
12K Views
Aliyekuwa Mtangazaji wa kipindi cha Jahazi kupitia Redio Clouds Fm Gadna hivi karibuni anatarajiwa kusikika tena kupitia Redio zetu hapa Tanzania. Inasemekana kuwa Gadna atarudi kivingine...
0 Reactions
45 Replies
9K Views
Back
Top Bottom