Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Amesema ayo kutokana na JB kuambatana na kina Aunt kwenye majukwaa ya fiesta na kutoa burudani ya kukata viuno.
0 Reactions
22 Replies
6K Views
Kioo cha jamii kikionyesha taswira yake halisi... Picha kwa hisani ya Shigongo (Global Publishers)
0 Reactions
18 Replies
8K Views
Ndugu zangu kwa muda sasa toka niusikie ule wimbo wa diamond nimpende nani nimekuwa na hakika kuwa ameiba mapingo ya nyimbo ile kutoka kwa mpiga tarumbeta yami sax. Naomba muusikilize huu muziki...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakati wadau wa filamu na kazi za wasanii wakimtolea macho Aunty Ezekiel baada ya picha zake za nusu uchi kusambaa huku zikidaiwa kuvunja maadili ya kitanzania msanii mwenzake Salma Jabu'NISHA'...
0 Reactions
9 Replies
7K Views
Rama Dee kwa uhakika hana mpinzani katika tasnia ya muziki wa kuimba, hapigi kelele kama masharobaro, na wala wala habani pua Kawashirikisha Kulwa na Dotto wa Mapacha, kisha niambie Mapacha...
1 Reactions
19 Replies
7K Views
Jana nilisikia habari zilizonisikitisha sana kuhusu mwimbaji anayenivutia sana katika kazi zake Mwalimu wa Walimu Banza Stone kwamba alikiri katika radio hiyo amekata tamaa ya maisha na sasa...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
  • Closed
Amesema maneno hayo kwenye kipindi chake cha hala za roho.
0 Reactions
106 Replies
21K Views
  • Closed
Hizi ni tweets za diva wa clouds. Members mmefanya nini mpaka kaandika hivi "@Divaakamimi: Jamii Forums z Some stupid mother****ers!. U shuld go and **** your ass, Go **** yourself!."...
0 Reactions
34 Replies
6K Views
MENEJA WA 50 CENT NA MARIAH CAREY AJIUA Meneja wa muda mrefu wa 50 Cent, Diddy, Ja Rule, na Mariah Carey, Chris Lighty amepatikana akiwa amekufa jana asubuhi jijini New York...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Kwa wale wanofuatilia Vipindi vya Clouds TV, kile kipande cha Vichekesho "Nimekubamba" cha The Vuvuzela Comedy Show ya Evans Bukuku ni mambo ya "Copy n Paste" na save changes . Kazi za sanaa...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Katika Pita pita zangu Mitandaoni nikakutana na Tangazo hilI La Obama atakuwa na anAfAnyiwA Fund Rising sijuI nDio Harambee leo Usiku (saa za Huku)Katika Club ya 40/40,NY Club hii inamilikiwa...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Ana miaka 11 tu lakini ameshaanza kuwashangaza watu wengi kutokana na jinsi anavyohubiri neno la Mungu. Ezekiel Stoddard mtoto anayedai kuwa alipata wito wa kumtumikia Mungu miaka miwili...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
sisi watanzania tumekuwa tukilia lia kuwa wakenya wanatudhulumu vitu vingi sana kama vile mlima kilimanjaro, madini ya tanzanite na kadhalika, lakini leo nimeshangaa baada ya kumuona AY amevaa...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Duh First Lady mtarajiwa, kaazi kweli kweli!!!
0 Reactions
39 Replies
7K Views
Jamani hivi yule mtu anayelia kwenye tangazo linalojulikana kama "wamekata" huwa anazungumza kitu gani maana najitahidi ili nielewe kuhusu hilo tangazo hasa kwenye hicho kipengele lakini siambulii...
0 Reactions
42 Replies
6K Views
Nimekua nikiwasikiliza mchomvu muda mrefu akimwambia fetty kwamba vogue lake kalitoa wapi? Je ni kweli Huyu Fatma Hassan(DJ Fetty) anatembelea vogue?
0 Reactions
47 Replies
18K Views
M'kiti wa freemasonry akihojiwa na Gerald Hando wa clouds TV asema kuwa freemason hamna ubaya na hamna mahela km wengi wanavyodhani bali it's all about networking na kusaidia jamii.Kaipamba...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
TBC1:kila J2 saa 9:30PM,Never miseeee!! Ukitaka ku-hang na selebu unayempenda ebu kodolea macho hicho kipindi na uweze jua jinsi ya kushiriki.
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Mpendwa, Wema Sepetu, Ukweli utokao moyoni ni kwamba nakupenda saaaaana, wewe mwenyewe,kazi zako n.k. Lakini lengo hasa la kuandika barua hii na vile navyohisi juu yako yani...
2 Reactions
41 Replies
9K Views
Mchekeshaji Steve Mangere(steve nyerere) amefiwa na mwanaye, mtoto huyo aliyefariki ni huyu wa kiume wa sasa, ambaye pia ni watatu kwake yeye na mkewe Zawadi, wa kwanza alifariki, wa pili yupo na...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Back
Top Bottom